😀 😀 😀 😀Mama keshafika level ya meko.
She doesn't care anymore
Hahaha-Asipoelewa ataeleweshwa aelewe, Meko mwenyewe mwishoni alishaonekana kupoteza direction kwa ile pressure aliyokuwa anapewa.Mama keshafika level ya meko.
She doesn't care anymore
Anatishia hata kumpita aisee!Mama keshafika level ya meko.
She doesn't care anymore
Nawashauri CCM hii kesi waachane nayo...inawaaibisha...watafute njia nyingine bora zaidi ya kumdhibiti Mh. Mbowe na mikutano yake ya kidai katiba mpya.Canada is closely following the case against the chairman of CHADEMA, Freeman Mbowe. A strong democracy requires: fair & transparent legal processes for all citizens; freedom of speech and assembly; and security forces that uphold human rights & ensure safety of all citizens.
Canada is closely following the case against the chairman of CHADEMA, Freeman Mbowe. A strong democracy requires: fair & transparent legal processes for all citizens; freedom of speech and assembly; and security forces that uphold human rights & ensure safety of all citizens.
Nawashauri CCM hii kesi waachane nayo...inawaaibisha...watafute njia nyingine bora zaidi ya kumdhibiti Mh. Mbowe na mikutano yake ya kiaai katiba mpya.
SoHahaha-Asipoelewa ataeleweshwa aelewe, Meko mwenyewe mwishoni alishaonekana kupoteza direction kwa ile pressure aliyokuwa anapewa.
Tuko kwenye auto-Pilot mkuu 🤣 🤣Nahisi anayeongoza nchi hii hio Samia, kuna watu walio nyuma yake wanafanya yao.
Hapana, mama maji mafupi, si unaona anavyowanyenyekea wazungu wampe mikopo na misaada, hapo hachomoi.Mama keshafika level ya meko.
She doesn't care anymore
Meko angeendelea miaka mitatu mbele lazima nchi ingemshinda-Kiufupi nchi alikuwa ameshaifanya bankrupt na hakuwa na way out-ndo maana leo unaona makodi ya kila aina kama mzalendo na makusanyo ya luku ili serikali iweze kujiendesha.Hapana, mama maji mafupi, si unaona anavyowanyenyekea wazungu wampe mikopo na misaada, hapo hachomoi.
Mama upinzani wa ndani na nje hatauweza, huku ndani rating yake imeporomoka kwa kiwango kikubwa kwa muda mfupi,nje nao wakizingua itakua shida zaidi...
Mambo ya kisheria huishia mahakamani. Kama ya sabaya mataga walipiga kelele weee hadi wakazoea nanyi pigeni makelele mtazoea tu.Nawashauri CCM hii kesi waachane nayo...inawaaibisha...watafute njia nyingine bora zaidi ya kumdhibiti Mh. Mbowe na mikutano yake ya kiaai katiba mpya.
Ndio matokeo ya kuzungukwa na waovu.Mama keshafika level ya meko.
She doesn't care anymore