mzalendo iq1
JF-Expert Member
- Mar 10, 2020
- 1,257
- 1,543
Hivi upstair kwako kuko vizuri kweli?
Marekani ndio inaongoza kwa kuwa na case nyingi sasa hivi.
Nikupe ukweli:
Marekani anaona Serikali yetu haipo serious.
Inadanganya data na hakuna step yoyote inayochukuliwa.
Kwa hio wameshaona kuwa hili dude litakuja kuua watu hapa hadi kila mtu atashangaa
Wakwanza utakuwa weweHata ungekua wewe utabaki katika nchi hii ya mficha maradhi??
Subirini tutakavyoanza kudondoka kama kuku wa kideli
Huu ugonjwa ndivyo ulivyo. Hata Trump alisema ni mpango feki wa Democrats ili kumhujumu. Sasa anajuta. Ni kitu gani kinachokufanya uone kuwa uko safe sana? Heka heka za vifo hazianzi kwa siku moja.Uhakika wa sisi kua safe upo mkubwa sana, heka heka za vifo zinazotkana na Covid19 ni kama hakuna...
Cc: mahondaw
Kwetu wapo 12.Kwaio mnataka mlazimishe tuseme tunawagonjwa laki mbil ili muone Raha mbona hata NCH zingine zote za Africa hazina idad kubwa pia tofaut na SA
Sent using Jamii Forums mobile app
Marekani ni kubwa, kuna sehemu nyingi hakuna maambukizi kabisa.Utaratibu wa karantini si ukae ulipo?
Watoke huku kwenye maambukizi kidogo
Waende kwenye maambukizi makubwa?
Ina make sense?
Hata kama nchi yetu ya mwisho Kwa huduma za afya ..bado kwangu hai make sense.. unless.kwao kungekuwa hakuna maambukizi
Point [emoji109][emoji109][emoji109]Inawezekana kabisa maambukizi ya Corona yakawa ni zaidi ya yale Serikali inatoa taarifa zake na si kwamba inapanga kufanya hivyo bali hizi ndio cases zilizofika kwenye formal channels.
Sababu kubwa ni kuwa watanzania tumezoea kuishi na magonjwa kwani asilimia kubwa ya watanzania hatujui hali zetu za kiafya kwa wakati huu ilimradi mtu ameweza kuamka na kufanya shughuli zake basi anajihesabu ni mzima.
Watu wanaishi kwenye mazingira duni kiasi kwamba kuharisha,homa ,kuumwa kichwa,mafua na mengineyo si dalili au magonjwa tena kwa wastani haupiti mwenzi lazima ataumwa kichwa au tumbo au kuharisha na litapona bila kufika hospitali sana sana atatumia panadol au dawa nyingine zinazopatikana kwa urahisi.
Hali zetu za kimaisha zimetufanya kuwa na roho ngumu na kutojali kesho yetu kwani Imani yetu tumeiweka mikononi mwa Mungu kuwa yeye ndio mlinzi na muweza wa yote ,”Attitude” kama hii ndio inafanya watu waendelee na shughuli zao bila kujali uwepo wa Corona .
Si kwamba wanapuuza au hatujali au hatusikii na kuona yanayoendelea duniani bali SISI NI MASIKINI na umasikini si kukosa fedha hapana bali “LACK OF OPTIONS AND ALTERNATIVES” watu wanaishi kwa daily hustling hawezi kukaa ndani mtu wa aina hii au kununua vitu vya kujikinga kwani kwake muda ni mali na kila siku kwake ni blue Monday kiasi hata akiwa na malaria kali atajilazimisha kuamka na kufika kwenye mkate wake.
Serikali ni lazima itumie different approach kwenye kukabiliana na Corona Tanzania hatuwezi kutumia njia za wenzetu kwani haziwezi kufua dafu kwenye ulimwengu huu wa kwetu .
Sent from my iPhone using JamiiForums
Utaondoka we na familia yako. Serikali inatimiza wajibu wake na we timiza wako mzee. Sio unakata viuno na mdomo.Hata ungekua wewe utabaki katika nchi hii ya mficha maradhi??
Subirini tutakavyoanza kudondoka kama kuku wa kideli
Marekani ni kubwa, kuna sehemu nyingi hakuna maambukizi kabisa.
Na watu wengine wanaona tatizo si kufa, tatizo ni kufa mbali na nyumbani kwao.
Zaidi, hii habari hailazimishi, inatahadharisha kwamba ndege zinaacha kutoa huduma.
Kuna siku nilikuwa ubalozi wa Marekani, nikaona Wameweka kibao kinapiga marufuku raia kwenda kuomba hela ubalozini.
Sasa pengine wanawaandaa raia warudi nyumbani ili wasije kuwa stuck Bongo na hawana sehemu ya kwenda.
Acha uongo wako mkuu, corona haiwezi kuua mtu AfrikaCorona HAITUMII NGUVU KUONEKANA kama mimba vile itaonekana TU.
Hata Hao waitaliano na Spain ingekuwa rahisi kuificha corona NA WAO WANGEIFICHA.
ila corona HAIFICHIKI.
Huko unapotaka tufike tufe kama kuku wenye kibeli USIJALI TUTAFIKA TU.
ila kwa sasa BADO.
HUO NDO UKWELI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ati kwa kumfungia boss wa dar kuingia kwao; wakati wao wako hapa wanakula bata.Upumbavu wao ni nini?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hivi upstair kwako kuko vizuri kweli?
Marekani ndio inaongoza kwa kuwa na case nyingi sasa hivi.
Nikupe ukweli:
Marekani anaona Serikali yetu haipo serious.
Inadanganya data na hakuna step yoyote inayochukuliwa.
Kwa hio wameshaona kuwa hili dude litakuja kuua watu hapa hadi kila mtu atashangaa
Bora kubakia tz kuliko amerika ya trump. Maana anajidai tu huku ugonjwa unasambaa kwa kasi na kuua watu kwa mwendo kasi.Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umetoa wito kwa raia wake kurejea Marekani, kufuatia uwepo wa maambukizi ya virusi vya #COVID19
Ubalozi umewataka raia wake wote wanaotaka kuondoka kufanya hivyo mapema kutokana na mashirika mengi ya ndege kusitisha safari. Umesema, hadi kufikia Machi 29, 2020 Shirika la Ndege pekee litakalokuwa na ndege za kutoka nje ya Tanzania ni Shirika la Ethiopia
Ubalozi huo umesema kwa sasa haushughuliki na kuwatoa raia hao nje ya Tanzania kuwarudisha Marekani, ila kama hatua hiyo itafikiwa umewataka wale wote watakaotaka kutafutwa na Ubalozi huo kutuma taarifa zao muhimu za utambulisho
Hadi sasa Marekani ambayo ndio nchi yenye maambukizi mengi zaidi, ina jumla ya maambukizi 85,594 yaliyorekodiwa na vifo 1,300
Wewe umekwisha pima tayari ili wachukue data yako mkuu? Unataka apimwe nani, unavojiskia vzuri wewe ndivyo hivyo na wenzako wanavyo jisikia, ndio maana data zinabakia hivyo, unataka data zitoke wapi?Nina mashaka na data za maambukizi na vifo vya Corona, figisu figisu
Sent using Jamii Forums mobile app
85,000+
Inawezekana kabisa maambukizi ya Corona yakawa ni zaidi ya yale Serikali inatoa taarifa zake na si kwamba inapanga kufanya hivyo bali hizi ndio cases zilizofika kwenye formal channels.
Sababu kubwa ni kuwa watanzania tumezoea kuishi na magonjwa kwani asilimia kubwa ya watanzania hatujui hali zetu za kiafya kwa wakati huu ilimradi mtu ameweza kuamka na kufanya shughuli zake basi anajihesabu ni mzima.
Watu wanaishi kwenye mazingira duni kiasi kwamba kuharisha,homa ,kuumwa kichwa,mafua na mengineyo si dalili au magonjwa tena kwa wastani haupiti mwenzi lazima ataumwa kichwa au tumbo au kuharisha na litapona bila kufika hospitali sana sana atatumia panadol au dawa nyingine zinazopatikana kwa urahisi.
Hali zetu za kimaisha zimetufanya kuwa na roho ngumu na kutojali kesho yetu kwani Imani yetu tumeiweka mikononi mwa Mungu kuwa yeye ndio mlinzi na muweza wa yote ,”Attitude” kama hii ndio inafanya watu waendelee na shughuli zao bila kujali uwepo wa Corona .
Si kwamba wanapuuza au hatujali au hatusikii na kuona yanayoendelea duniani bali SISI NI MASIKINI na umasikini si kukosa fedha hapana bali “LACK OF OPTIONS AND ALTERNATIVES” watu wanaishi kwa daily hustling hawezi kukaa ndani mtu wa aina hii au kununua vitu vya kujikinga kwani kwake muda ni mali na kila siku kwake ni blue Monday kiasi hata akiwa na malaria kali atajilazimisha kuamka na kufika kwenye mkate wake.
Serikali ni lazima itumie different approach kwenye kukabiliana na Corona Tanzania hatuwezi kutumia njia za wenzetu kwani haziwezi kufua dafu kwenye ulimwengu huu wa kwetu .
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hii ndio sababu kuu. Hawataki lawama kwanini hawakusaidia raia wao. Si Tanzania tu,washawaambia raia wao wote wakiweza warudi nyumbani.Wanachofanya ni kuzuia lawama watu wao wakihitaji evacuation, maana imebaki ndege moja tu! Hawataweza kuja kuwafanyia evacuation plan (kuwaletea ndege binafsi) ili iwaondoe, so wanawakumbusha kama ni kuondoka waondoke
Sent using Jamii Forums mobile app