Ubalozi wa Marekani kuwaondoa raia wake Tanzania kwasababu ya Corona na kuwarudisha kwao

Ubalozi wa Marekani kuwaondoa raia wake Tanzania kwasababu ya Corona na kuwarudisha kwao

Kwaio mnataka mlazimishe tuseme tunawagonjwa laki mbil ili muone Raha mbona hata NCH zingine zote za Africa hazina idad kubwa pia tofaut na SA
Hivi upstair kwako kuko vizuri kweli?
Marekani ndio inaongoza kwa kuwa na case nyingi sasa hivi.

Nikupe ukweli:
Marekani anaona Serikali yetu haipo serious.
Inadanganya data na hakuna step yoyote inayochukuliwa.
Kwa hio wameshaona kuwa hili dude litakuja kuua watu hapa hadi kila mtu atashangaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhakika wa sisi kua safe upo mkubwa sana, heka heka za vifo zinazotkana na Covid19 ni kama hakuna...



Cc: mahondaw
Huu ugonjwa ndivyo ulivyo. Hata Trump alisema ni mpango feki wa Democrats ili kumhujumu. Sasa anajuta. Ni kitu gani kinachokufanya uone kuwa uko safe sana? Heka heka za vifo hazianzi kwa siku moja.
Pili, siyo wote wagonjwa wamepimwa. Kuna taarifa za vifo ambavyo vinasadikiwa kusababishwa na corona. Kipimo ni kimoja tu Taifa zima. Subiri kama mwezi hivi au miezi miwili ndo uongee haya.
 
Utaratibu wa karantini si ukae ulipo?
Watoke huku kwenye maambukizi kidogo
Waende kwenye maambukizi makubwa?
Ina make sense?
Hata kama nchi yetu ya mwisho Kwa huduma za afya ..bado kwangu hai make sense.. unless.kwao kungekuwa hakuna maambukizi
Marekani ni kubwa, kuna sehemu nyingi hakuna maambukizi kabisa.

Na watu wengine wanaona tatizo si kufa, tatizo ni kufa mbali na nyumbani kwao.

Zaidi, hii habari hailazimishi, inatahadharisha kwamba ndege zinaacha kutoa huduma.

Kuna siku nilikuwa ubalozi wa Marekani, nikaona Wameweka kibao kinapiga marufuku raia kwenda kuomba hela ubalozini.

Sasa pengine wanawaandaa raia warudi nyumbani ili wasije kuwa stuck Bongo na hawana sehemu ya kwenda.
 
Inawezekana kabisa maambukizi ya Corona yakawa ni zaidi ya yale Serikali inatoa taarifa zake na si kwamba inapanga kufanya hivyo bali hizi ndio cases zilizofika kwenye formal channels.

Sababu kubwa ni kuwa watanzania tumezoea kuishi na magonjwa kwani asilimia kubwa ya watanzania hatujui hali zetu za kiafya kwa wakati huu ilimradi mtu ameweza kuamka na kufanya shughuli zake basi anajihesabu ni mzima.

Watu wanaishi kwenye mazingira duni kiasi kwamba kuharisha,homa ,kuumwa kichwa,mafua na mengineyo si dalili au magonjwa tena kwa wastani haupiti mwenzi lazima ataumwa kichwa au tumbo au kuharisha na litapona bila kufika hospitali sana sana atatumia panadol au dawa nyingine zinazopatikana kwa urahisi.

Hali zetu za kimaisha zimetufanya kuwa na roho ngumu na kutojali kesho yetu kwani Imani yetu tumeiweka mikononi mwa Mungu kuwa yeye ndio mlinzi na muweza wa yote ,”Attitude” kama hii ndio inafanya watu waendelee na shughuli zao bila kujali uwepo wa Corona .

Si kwamba wanapuuza au hatujali au hatusikii na kuona yanayoendelea duniani bali SISI NI MASIKINI na umasikini si kukosa fedha hapana bali “LACK OF OPTIONS AND ALTERNATIVES” watu wanaishi kwa daily hustling hawezi kukaa ndani mtu wa aina hii au kununua vitu vya kujikinga kwani kwake muda ni mali na kila siku kwake ni blue Monday kiasi hata akiwa na malaria kali atajilazimisha kuamka na kufika kwenye mkate wake.

Serikali ni lazima itumie different approach kwenye kukabiliana na Corona Tanzania hatuwezi kutumia njia za wenzetu kwani haziwezi kufua dafu kwenye ulimwengu huu wa kwetu .


Sent from my iPhone using JamiiForums
Point [emoji109][emoji109][emoji109]
 
Unajua ni kwanini raia hao hawataki kurudi nyumbani kuungana na familia zao?
Marekani ni kubwa, kuna sehemu nyingi hakuna maambukizi kabisa.

Na watu wengine wanaona tatizo si kufa, tatizo ni kufa mbali na nyumbani kwao.

Zaidi, hii habari hailazimishi, inatahadharisha kwamba ndege zinaacha kutoa huduma.

Kuna siku nilikuwa ubalozi wa Marekani, nikaona Wameweka kibao kinapiga marufuku raia kwenda kuomba hela ubalozini.

Sasa pengine wanawaandaa raia warudi nyumbani ili wasije kuwa stuck Bongo na hawana sehemu ya kwenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Corona HAITUMII NGUVU KUONEKANA kama mimba vile itaonekana TU.
Hata Hao waitaliano na Spain ingekuwa rahisi kuificha corona NA WAO WANGEIFICHA.
ila corona HAIFICHIKI.

Huko unapotaka tufike tufe kama kuku wenye kibeli USIJALI TUTAFIKA TU.
ila kwa sasa BADO.

HUO NDO UKWELI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo wako mkuu, corona haiwezi kuua mtu Afrika
 
Hivi upstair kwako kuko vizuri kweli?
Marekani ndio inaongoza kwa kuwa na case nyingi sasa hivi.

Nikupe ukweli:
Marekani anaona Serikali yetu haipo serious.
Inadanganya data na hakuna step yoyote inayochukuliwa.
Kwa hio wameshaona kuwa hili dude litakuja kuua watu hapa hadi kila mtu atashangaa

Unaweza ficha wagonjwa elf 80?
Gonjwa halifichi nani alikwambia linafichwa? sema labda kama unataka kulazimisha data zako mwenyewe ama huyo mmarekani anataka data zake mwenyewe.

Wangekuwa wanaficha hospitali sahivi zingekuwa zimejaa mpaka zimetema wagonjwa wanalala nje.
 
Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umetoa wito kwa raia wake kurejea Marekani, kufuatia uwepo wa maambukizi ya virusi vya #COVID19

Ubalozi umewataka raia wake wote wanaotaka kuondoka kufanya hivyo mapema kutokana na mashirika mengi ya ndege kusitisha safari. Umesema, hadi kufikia Machi 29, 2020 Shirika la Ndege pekee litakalokuwa na ndege za kutoka nje ya Tanzania ni Shirika la Ethiopia

Ubalozi huo umesema kwa sasa haushughuliki na kuwatoa raia hao nje ya Tanzania kuwarudisha Marekani, ila kama hatua hiyo itafikiwa umewataka wale wote watakaotaka kutafutwa na Ubalozi huo kutuma taarifa zao muhimu za utambulisho

Hadi sasa Marekani ambayo ndio nchi yenye maambukizi mengi zaidi, ina jumla ya maambukizi 85,594 yaliyorekodiwa na vifo 1,300

Bora kubakia tz kuliko amerika ya trump. Maana anajidai tu huku ugonjwa unasambaa kwa kasi na kuua watu kwa mwendo kasi.
 
Inawezekana kabisa maambukizi ya Corona yakawa ni zaidi ya yale Serikali inatoa taarifa zake na si kwamba inapanga kufanya hivyo bali hizi ndio cases zilizofika kwenye formal channels.

Sababu kubwa ni kuwa watanzania tumezoea kuishi na magonjwa kwani asilimia kubwa ya watanzania hatujui hali zetu za kiafya kwa wakati huu ilimradi mtu ameweza kuamka na kufanya shughuli zake basi anajihesabu ni mzima.

Watu wanaishi kwenye mazingira duni kiasi kwamba kuharisha,homa ,kuumwa kichwa,mafua na mengineyo si dalili au magonjwa tena kwa wastani haupiti mwenzi lazima ataumwa kichwa au tumbo au kuharisha na litapona bila kufika hospitali sana sana atatumia panadol au dawa nyingine zinazopatikana kwa urahisi.

Hali zetu za kimaisha zimetufanya kuwa na roho ngumu na kutojali kesho yetu kwani Imani yetu tumeiweka mikononi mwa Mungu kuwa yeye ndio mlinzi na muweza wa yote ,”Attitude” kama hii ndio inafanya watu waendelee na shughuli zao bila kujali uwepo wa Corona .

Si kwamba wanapuuza au hatujali au hatusikii na kuona yanayoendelea duniani bali SISI NI MASIKINI na umasikini si kukosa fedha hapana bali “LACK OF OPTIONS AND ALTERNATIVES” watu wanaishi kwa daily hustling hawezi kukaa ndani mtu wa aina hii au kununua vitu vya kujikinga kwani kwake muda ni mali na kila siku kwake ni blue Monday kiasi hata akiwa na malaria kali atajilazimisha kuamka na kufika kwenye mkate wake.

Serikali ni lazima itumie different approach kwenye kukabiliana na Corona Tanzania hatuwezi kutumia njia za wenzetu kwani haziwezi kufua dafu kwenye ulimwengu huu wa kwetu .


Sent from my iPhone using JamiiForums

mkuu umenena vyemA sanA applicationa ambazo wanazitumia kwenye nchi zao tz haziapply kabisa

pili hlo tatzo la cover ya ugonjwa ni janja tu ila walikuwa na sabb zao tu wala c ugonjwa... ukitazama taarifa yao(kama mkarimani ametafsri vyema) tangazo ni kal kuliko hali yenyewe...

may b US haiamini uwepo wa Mungu hvyo wanaona rais kutumia njia ya kuwaambia wananchi waendelee kuabudu kwao ni kukiuka Haki za binadamu.. au walikuwa na lundo la mambo huko nguma walikuwa wanatafutA kichaka..
 
Wanachofanya ni kuzuia lawama watu wao wakihitaji evacuation, maana imebaki ndege moja tu! Hawataweza kuja kuwafanyia evacuation plan (kuwaletea ndege binafsi) ili iwaondoe, so wanawakumbusha kama ni kuondoka waondoke

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndio sababu kuu. Hawataki lawama kwanini hawakusaidia raia wao. Si Tanzania tu,washawaambia raia wao wote wakiweza warudi nyumbani.
 
Back
Top Bottom