MAGO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,278
- 3,023
Una ventilators ngapi mahospital yako yote nchini!!!!Kwani kwetu huwezi kupata maji ya moto ukaweka kipande cha limau ukanywa au ukala machungwa kwa wingi,sema wenzetu ni wavivu wa kula matunda!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app