Zanika
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,316
- 752
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Its all about making money! Hawa wameona tushawaahtukiaHuko Marekani uwezekano wa kuambukizwa corovid 19 ni 99. 9%. Yaani wanakufa kama kuku wa broiler waliopata kideri. Wanaanza kuwa na hofu na Dar wakati kwao ndio hatari fire[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya kwenu hamjaiona?Zipo nne, yaani level-4 ndio maximum, ukiona mumetupiwa level four (yaani nyekundu) ujue hali mbovu kupita amelezo.
Zijue hapa level zote hapa
- Level 1: Blue – Exercise Normal Precautions
- Level 2: Yellow – Exercise Increased Caution
- Level 3: Orange – Reconsider Travel
- Level 4 : Red – Do Not Travel
https://www.usnews.com/news/best-co...e-us-government-warns-not-to-travel-right-now
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]Moderator hii takataka ina uhusiano gani na Kenya?
PUMBAV wewe, sasa mwanangu anaondoka kesho, ingia website ya EMIRATES uone ndege ya kesho kupitia armstedam.
Tatizo hata hujui Rwanda Air imekuja kubeba samaki mwanza wakaacha Air Tz, Mkulima yupo na minyororo anaisubiri popote itapotua ndiyo maana hata madagaska walipeleka ndege ya raisi kwakuwa hairuhusiwi kukamatwa.
Ni hatari zaidi kupata corona ukiishi Marekani kuliko Dar dada yangu. Labda kwenye ofisi za CDM kama hii.View attachment 1449232
Hakuna anaefahamu idadi kamili ya maambukizi na vifo vya corona Tanzania. Hospital zimefurika na wahudumu wanapambana pamoja na vitendea kazi kuwa hana.
Ubalozi wa Marekani una tahadharisha kuwa ni rahisi sana kupata maambukizi ya corona Tanzania hasa Dar.
Wafanya kazi wa Ubalozi wameshauriwa kubaki majumbani mwao, watoke kwa shughuli muhimu kama kununua mahitaji ya ndani na chakula. Pia wawe makini kukaribisha wageni nyumbani.
Yaah bila kufanya testing..n testing n testing kwa watu, or kufanya targeted mass testing kwenye epicenters kuweza kujua extent ya ugonjwa na kuisolate wagonjwa, basi nafikiri itakuwa kazi kubwa ku contain huu ugonjwa...Ni kweli marekani wanakufa lakini wanapambana, Vipi kuhusu wewe kila zinapokuja lawama unda-dil na hizo lawama tu bila ya kujitathmini wewe na hali yako, kuchukua hatua unabaki pale pale unaonaje hii hali inavyokwenda na matokeo yake baadae?
Toka tarehe 29 hakuna updates unaweza kupata hisia muko kawaida hakuna maambukizi ya Covid-19 nchini lakini jiulize swali dogo tu kwanini watoto hawaruhusiwi kurudi mashuleni na vyuoni? mnasema huu ugonjwa ni mdogo tu labda ut ashindwa kwa jina la yesu na kujifukiza majani ya miti na mumeagiza dawa toka madascar je akili yako inakupa hiyo dawa ya madagascar atakunywa nani aache nani box 13? lakini mpaka zifanyiwe utafiti.
Swali jengine je utafiti utachukua muda gani? vipi kuhusu kipindi hichi munatafiti dawa toka Madagascar ugonjwa umesismama hamna maambukizi?
Unafkiri kuvaa barakoa na kunawa maji tiririka kwa sabuni inatosha? China tayari wameanza kuruhusu kufungua miji yao lakini je wajuwa next wamefanya nini? utakuta watu wapo huru hivi kutembea na kufanya shughuli zao lakini nadhan tatizo kubwa hapa mumeshindwa kufahamu kwamba watu wapo kwenye mfumo (systeam) ikisaidiwa na vyombo vya usalama kama polisi kuwaelekeza watu lakini watu hupata ujumbe kupitia simu zao za mikononi kwamba hapo ulipo sasa mita 10 au mji ama mtaa huo kuna wagonjwa idadi hii labda fanya hivi na vile ama rudi ulikotoka na mfano wa hayo. Ndio mana hizi nchi wameondoa hizo tunazoita lock-down lakini kuna hatua nyengine wanachukua kila siku. Sasa jiulize huko kwenu hakuna lock-down hatua zinazochukuliwa ni zipi instead? jibu ni kunawa kwa maji tiririka kwa sabuni na kuvaa barakoa tu.
Jiulize kama madereva kadhaa wanaenda nchi jirani wamegundulika na corona vipi kuhusu huko mitaani na mijini?
Kwani siku hizi akifa basi ni corona tu. Basi hamia Marekani ambako hakuna corona?Taarifa hii na ile ambayo Moderator aliifuta sijaona tofauti kubwa japo hii haina takwimu na ile yangu ilikuwa na takwimu, tatizo ni kubwa sana jamani watanzania.
Angalia 👇
Dear all regrets to announce the passing of Amos Gerson Ndimurwanko, First Councellor at Burundi Embassy in Tanzania. He was admitted in one hospital in Arusha. He leaves a widow and six children.
View attachment 1449263
😷May his soul rest in eternal peace Ameen.
Acha upuuzi wewe na inaonekana hujui lolote, kaa usome comments...Kwani siku hizi akifa basi ni corona tu. Basi hamia Marekani ambako hakuna corona?
Acha biashara ya madawa mwenzako amekamatwa huko MbeyaAcha upuuzi wewe na inaonekana hujui lolote, kaa usome comments...
Unawaamini hao ubalozi wa USA? Mbona kwao wanakufa kama Kuku?
Utafikiri huko kwao corona haipo kabisa
Hapo Sasa..wakati wanakufa kama kuku mdondo.
Na afadhali wangekuwa wanakufa tu ila wanakufiana
Unawaamini hao ubalozi wa USA? Mbona kwao wanakufa kama Kuku?
Kwahiyo hatupimi na hatuugui japo tuna korona milini mwetuMtajuaje hawajaipata ama wamefanya na hampimi?
Beberu achana naye sisi huku mitaani hatuoni korona ikipukutisha watu hivyo watuweke level hata ya 8 sisi hatuna habariZipo nne, yaani level-4 ndio maximum, ukiona mumetupiwa level four (yaani nyekundu) ujue hali mbovu kupita amelezo.
Zijue hapa level zote hapa
- Level 1: Blue – Exercise Normal Precautions
- Level 2: Yellow – Exercise Increased Caution
- Level 3: Orange – Reconsider Travel
- Level 4 : Red – Do Not Travel
https://www.usnews.com/news/best-co...e-us-government-warns-not-to-travel-right-now
Yaani mi nipo huku Siioni hiyo hali anayosema Marekani, yaani nisiamini ninachokiona niamini anachosema Marekani cha kusikia...?!Umesababisha nimecheka japo ni majanga....yaani tu basi.