Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania: Uwezekano wa kupata Corona Dar ni mkubwa


Hama nchi hujafungwa.
 

Mtu anaumwa corona anapiga gia toka Dar hadi mipakani, sasa hiyo corona mnaiogopea nini?
 
si mwende kwenu ambako hakuna corona ???

unakumbuka hawa wapumbavu waliwahi kuwatahadharisha wananchi wake kuhusu hali ya usalama nchini ???
Hawa watoto wasio na Elimu wana I cost sana Nchi yetu. Ukiona Marekani wanaondoka ujue thamani ya pesa yenu itashuka tu muda siyo mrefu. Wanaondoka na dollars which means wana create more need for the this badly needed forex. Wajinga ninyi mnadhani ni rahisi kama kupost thread JF.
 
wanazengo hebu naomba ufafanuzi wa hili neno Global Level 4 Health Advisory for COVID-19

Zipo levels nne, yaani kuanzia level-1 hadi level-4, hiyo hapo level-4 ndio nyekundu na ya mwisho, hutolewa kwa nchi ambayo hali ni hovyoo kabisa, na ndio mliyowekewa. Hawajatoa level-4 kwa taifa lingine lolote duniani hata China kule kirusi kilianzia.
 
hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii baghosha
 
Wanatafuta kiki
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Birashaka utakua chedema manaa chadema maneno yao yanajulikana ya kipropaganda ,hivi wewe ulitaka serikali ifanye nini ili uone imechukua hatua au ndo sababu hiyo lockdown ee ndio maana unalalamika cjui who wamefanyaje cjui , hivi nikuulize kwani lockdown ndio njia sahihi ya kupambana na korona ? Kama unayo akili jiulize maswali haya kwanini Nchi hizo za ulaya zinaondoa lockdown huku kukiwa bado maambukiz nmakubwa? Swali la pili: wewe Kama unajitegemea je ndani au benki una akiba ya sh ngapi? Kama unayo laki kadhaa ndizo zinazo kuzuzua jiulize hivi ingekua huu ugonjwa umefika kipindi unaakiba ya elfu 30 tu ungeishije? Maana ujue kipindi wewe unalilia lockdown wenzako hawana chochote ndani.ila Kama wewe kula kulala hautopata picha haric ya maswali haya hata ukijiuliza, punguzeni ushabiki ulalamike tumefungiwa mipaka kipindi hiki kwani huko ulaya munakoona Kuna watu wenye akili kilakitu wanafanya lazima nac tufanye wanafanya biashara? NB : ugonjwa wa corona haijulikani utaisha lini Sasa Kama unalilia lockdown useme kabisa unataka ya mwaka au miaka 2
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani bado kuna wamarekani wapo bongo? Jana kariakoo nimemuona mzungu kavaa mask yuko busy tu anaingia huku anatokea kule nikashangaa huyu mzungu haogopi corona ya Dar alitakiwa ajifungie ndani au awe amekwishaondoka kwao.
 
Jamani huku watu wanamapovu wao wametoa alert kwa raia wao wanaishiwa Tz sio wa Tanzania .Sasa nyie mnakasirika nini.Ukitaka kujua kitu ni cha kweli ,angalia jinsi watu wanavyokua wakali.
 
Persona non grata! inakuja kesho
 
Tanzania inaenda kuwakomboa watanzania waliokwama India, bora kufia Mwananyamala kuliko Bangalore India.
Inategema na mtaa unaoishi, mimi nimesoma digrii ya pili NA KUISHI CHADRAKA, nikzuri kuliko Masaki, Sawa na mtanzania aliefika Nairobi akaenda kishi kibera ni tofauti na aliyeishi WESTLANDS
 
Persona non grata! inakuja kesho
LONDON (Reuters) - Prime Minister Boris Johnson said on Wednesday that increasing rates of infection in other countries which have relaxed some rules to tackle the coronavirus outbreak was a warning to Britain not to move too fast.


“We are watching intently what is happening in other countries and it is very notable that in some other countries where relaxations have been introduced there are signs of the R (reproduction number) going up again, and that is a very clear warning to us not to proceed too fast or too recklessly,” Johnson told parliament.

Boris ameamua hata uchumi udorore lakini maisha ya raia ni kipaumbele.
 
Hama nchi hujafungwa.
wauaji ni wananchi, wanashangilia wenzao wakiteseka, kama si mipaka kufungwa hakuna kiongozi angekufa kwa korona, wote wangeenda nje hasa india ila Mungu kauia iwanyooshe na wao.
 
thanks counsel, you are brilliant, not likr JIWE and kabudi
 

Kwa yanayoonekana mipakani na dereva wa malori (wala si wa mabasi) ni ushahidi tosha kwa hali ya dar.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…