Afadhali walikucheka! UmezidiHuu ni ukweli na wala si siasa! Tena transmission iko very high, maana measures to contain transmission zimekuwa abandoned! Hapa kwetu jana nilikuwa kituko maana the whole bus nilikuwa peke yangu nimevaa mask! Walinicheka actually!
AIBU KWA WALE VIONGOZI WALIOJIFANYA WANAENDA KUMTISHIA MTU NYAU. MESEJI SENTISolution ni kwamba waje wawasombe tu na kuwarudisha huko paliko salama wakakusanyane ili kuongeze nguvu ya maandamano.
Kila familia inajua nakafariki kwenye familia yao kwa hiyo tusisambaze uongo kuwa watu wanakufa . Misiba huwa inaripotiwa na familia tu.Huu ni ukweli na wala si siasa! Tena transmission iko very high, maana measures to contain transmission zimekuwa abandoned! Hapa kwetu jana nilikuwa kituko maana the whole bus nilikuwa peke yangu nimevaa mask! Walinicheka actually!
Safi kabisa! Kama kwao ni salama Si warudi kwao ?Hahaaaa! Hawa watu bana!
Huko Marekani sasa hivi hakuna cha Corona wala bibi yake Korona.
Sasa hawa watu wa ubalozi wanaleta za kuleta.
Watanzania endeleeni na maisha yenu kama kawaida.
George Floyd kaimaliza hiyo Corona.
Akili za ccm utazijua tu! kama za ndugai..rais wa mileleKila familia inajua nakafariki kwenye familia yao kwa hiyo tusisambaze uongo kuwa watu wanakufa . Misiba huwa inaripotiwa na familia tu.
Haaa yaani we ujifananishe na US kwenye kupata taarifa?Hawawezi kuwa na chanzo cha uhakika kumzidi mwenye nyumba
Wewe inaonekana huelewi kabisa kinachojadiliwa!!Ila hawa Wamarekani ni kama wamechanganyikiwa, juzi hapa karibia Taifa lao zima lilikuwa na maandamano dhidi ya ukatili wa mauaji lakini hakuna aliyewaigilia juu ya mkusanyiko mkubwa wa watu tena mbaya zaidi wao ndio wanakesi nyingi dhidi ya COVID 19. Yani walivyo washenzi wanaangalia ya watu wakati kwao hali ni Tete kutokana na maandamano wamepata kesi elfu 19.
Hakuna aliyesema kitu ila ya watu wanayajua sana, wazuie kwanza maandamano dhidi ya ubaguzi ndio waje waseme hovyo kabisa hawa.
Mkuu kwenu kuna aliye na Corona?Haaa yaani we ujifananishe na US kwenye kupata taarifa?
Kwani wamesema msikusanyike?Ila hawa Wamarekani ni kama wamechanganyikiwa, juzi hapa karibia Taifa lao zima lilikuwa na maandamano dhidi ya ukatili wa mauaji lakini hakuna aliyewaigilia juu ya mkusanyiko mkubwa wa watu tena mbaya zaidi wao ndio wanakesi nyingi dhidi ya COVID 19. Yani walivyo washenzi wanaangalia ya watu wakati kwao hali ni Tete kutokana na maandamano wamepata kesi elfu 19.
Hakuna aliyesema kitu ila ya watu wanayajua sana, wazuie kwanza maandamano dhidi ya ubaguzi ndio waje waseme hovyo kabisa hawa.
Unafahamu English?Kwamba Tz hospitali zimejaa wagonjwa wa corona hadi zimezidiwa ndio unasema watu hao wana vyanzo vya uhakika?
Hapa unamwambia nani asije Tanzania sasa? Bibi yako au?Influenza,
Ni kweli...kuna outbreak Tanzania ya COVID-19 halafu tunaambiwa na watu wanaotoka Ghamboshi kwamba Covid-19 umekwisha, hatujaambiwa umeishaje? Lakini huku mtaani tunao marafiki wanaougua. TANZANIA IS NOT SAFE, DO NOT COME TO TANZANIA.
Kilichofanya uniulize hilo swali ni kipi?
Wewe si ni CCM nami sishangai kuandika hivyo. Kwahiyo Mungu ana upendeleo. Nilitegemea ulete scientific arguments kumbe unaleta talalila za Ndugai! Na most likely waliokuwa kwenye bus ni CCM! wanasikliza Jiwe anasema nini . sensible people like CDM will never do that!
Inawezekana hali siyo mbaya sana lakini ukweli ni kuwa Corona bado ipo kwa kiasi kikubwa Tanzania.Mkuu kwenu kuna aliye na Corona?
Wanavyanzo vya tarifa vya uhakika Sawa Ila ni vya kiuonezi
Ulichokieleza hakimo kwenye tangazo hilo la Ubalozi. Hakuna waliposema kuwa hospitali zimejaa wagonjwa wa corona. Soma vizuri, ulielewe hilo tangazo.Kilichofanya uniulize hilo swali ni kipi?
independent thinking people.! kama Chadema.... watu wanafikir na si kusikiliza mkubwa anasema nin na kufuatilizia humo! Leo Magufuli akisema nilikosea tuweke lockdown, watapanga maandamano ya kumpongeza..Hoja ya kiafya kuingiza siasa ni kuinajisi.
Hiyo ‘CDM’ unamaanisha nini kusema ni like ‘sensible’ people.?