Ubalozi wa Marekani nchini umeendelea kuwasisitizia Wananchi wake waliopo nchini kuwa uwezekano wa kupata Corona nchini ni mkubwa

Ubalozi wa Marekani nchini umeendelea kuwasisitizia Wananchi wake waliopo nchini kuwa uwezekano wa kupata Corona nchini ni mkubwa

Ulichokieleza hakimo kwenye tangazo hilo la Ubalozi. Hakuna waliposema kuwa hospitali zimejaa wagonjwa wa corona. Soma vizuri, ulielewe hilo tangazo.

Kiuhalisia sioni ubaya wa hiyo tahadhari. Wameeleza kuwa hakuna takwimu zozote za hali ya ugonjwa. Hivyo hawawezi kuwaelekeza watu wao juu ya hali ya ugonjwa ilivyo nchini mwetu.

Ni kweli hakuna takwimu kwa sababu hatupimi.

Na kwa vile hakuna takwimu, huwezi kusema kwa uhakika kuwa ugonjwa umekwisha.

Wanaoumwa wakiwa na dalili za corona, wakienda vituoni, wanaambiwa waende wakaugulie majumbani mwao.

Hospitali hazina wagonjwa kwa sababu wagonjwa wanarudishwa majumbani kwao, halafu baada ya hapo, tunasema hospitali hazina wagonjwa!!

Hali ya ugonjwa na vifo inawezekana siyo ya kutisha sana, lakini ugonjwa bado upo, na wapo wanaokufa. Serikali haitaki kusikia mtu amekufa kwa corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi niliposema nilichoeleza kipo kwenye hilo tangazo? Mimi nimezungumzia suala la kusema kwamba wana vyanzo vya uhakika ndipo nikakumbushia suala la wao kusemaga kwamba Tanzania hospitali zimezidiwa kwa kujaa wagonjwa wa corona.

Bora waje kuwasomba wawarudishe huko kwao palipo salama wakaongeze nguvu ya maandamano, kuliko kila mara kutoa matangazo na hao watu wao nao wanang'ang'ania hapa Tanzania.
 
Wewe si ni CCM nami sishangai kuandika hivyo. Kwahiyo Mungu ana upendeleo. Nilitegemea ulete scientific arguments kumbe unaleta talalila za Ndugai! Na most likely waliokuwa kwenye bus ni CCM! wanasikliza Jiwe anasema nini . sensible people like CDM will never do that!
Chadema hii hii ambayo inashindwa kukeep wabunge wake? Wote wanahama kwa sababu za kipuuzi kabisa, haiwezekani mkaondokewa na wabunge wengi hivyo and bado mkajiita sensible
 
Watu wenye

independent thinking people.! kama Chadema.... watu wanafikir na si kusikiliza mkubwa anasema nin na kufuatilizia humo! Leo Magufuli akisema nilikosea tuweke lockdown, watapanga maandamano ya kumpongeza..
Mkuu issue ya Lowassa haikutosha kuonesha rangi za hao unaowasifia?
 
Inawezekana hali siyo mbaya sana lakini ukweli ni kuwa Corona bado ipo kwa kiasi kikubwa Tanzania.

Mpaka muda huu kuna ndugu yangu Mwanza, familia nzima wanaumwa. Mama alizidiwa, akaamua kwenda kituo cha Buswelu, akakataliwa. Akaambiwa kuwa kwa dalili alizozitaja, na wanavyomwona, itakuwa ni Corona, lakini wamezuiwa kupokea wagonjwa. Aende akaugulie nyumbani. Wakampa namba ya simu na kumwambia kuwa akizidiwa zaidi awapigie, wataenda kumhudumia nyumbani.

Rafiki yangu wa Dar, leo ni siku ya 5 tu tangu arudi nyumbani. Amekaa ICU kwa wiki nzima. Ndugu walilazimika kumpeleka private hospital.

Wagonjwa hawapokelewi vituoni ili ionekana hakuna wagonjwa!!

Wanajua kabisa kuwa corona ipo, ndiyo maana hawathubutu kuamua kuchukua vipimo randomly ili waithibitishie Dunia kuwa hakuna Corona. Tumeamua kuishi kama tunavyoishi. Atakayepitiwa na kuondoka, basi ni bahati mbaya lakini tusijidanganye kuwa eti corona imekwisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mkuu, kumbe kweli Wapo, Mimi buana Hadi hivi navoandika hapa sjaona kabisa eneo la kwetu huku
 
Influenza,
Ni kweli...kuna outbreak Tanzania ya COVID-19 halafu tunaambiwa na watu wanaotoka Ghamboshi kwamba Covid-19 umekwisha, hatujaambiwa umeishaje? Lakini huku mtaani tunao marafiki wanaougua. TANZANIA IS NOT SAFE, DO NOT COME TO TANZANIA.
Huko marekani ndio safe?
 
Watu wenye

independent thinking people.! kama Chadema.... watu wanafikir na si kusikiliza mkubwa anasema nin na kufuatilizia humo! Leo Magufuli akisema nilikosea tuweke lockdown, watapanga maandamano ya kumpongeza..

Aisee!

CHADEMA hii hii ya Lijualikali.?
 
Nadhani hofu ya wamarekani ni kua mtu akipata corona hapa Tanzania kwa sababu ya huduma za afya zisizo imara anaweza kufa haraka hasa kama ana matatizo mengine ya kiafya, labda.

Marekani huleta karibu 20% ya watalii hapa Tanzania. Kenya huleta karibu 6% ya watalii.

Ila hizi nchi masiniki ni changamoto sana.

Ukitaka kujua huko kwao wagonjwa wote ambao ni serious hupoteza maisha pamoja na kuwa wapo kwenye ventilation lakini asilimia kubwa hupoteza maisha, tafuta youtube uone wauguzi wanavyosema,
Kule ukizidiwa lazima ufe. Sasa hapa wanaogopa nini?
Kama walitegemea tutakufa kwa wingi ikashindikana bado wanajifanya wana uwezo?
Hili liliwashinda na kwa busara tu wangekubali kushindwa.
 
Aisee!

CHADEMA hii hii ya Lijualikali.?
Lijua likali alikuwa na akili, njaa imeiondoa yote. Masikini anatafuta pa kumbeba. Maprofesa wanafika mahali wanajiita wa jalalani ili waweze kwenda chooni, like wise na Lijua! Lkn alipokuwa CDM alikuwa katika thinking environment.. he was able to think!
 
Lijua likali alikuwa na akili, njaa imeiondoa yote. Masikini anatafuta pa kumbeba. Maprofesa wanafika mahali wanajiita wa jalalani ili waweze kwenda chooni, like wise na Lijua! Lkn alipokuwa CDM alikuwa katika thinking environment.. he was able to think!

Nimepata ujumbe mpana sana kwenye maelezo yako haya, nimepata mwanga wa kinachoendelea kwenye chama tajwa... nitaufanyia ‘rejea’ ujumbe huo kwenye mijadala mingi mingine.
 
Hahaaaa! Hawa watu bana!

Huko Marekani sasa hivi hakuna cha Corona wala bibi yake Korona.

Sasa hawa watu wa ubalozi wanaleta za kuleta.

Watanzania endeleeni na maisha yenu kama kawaida.

George Floyd kaimaliza hiyo Corona.
Wamarekani wana monitor through mass testing, Tanzania wao ni zero monitoring watu wanajiuguza na kujifia majumbani mwao.

that's a glaring difference even a kindergarten kid can tell!
 
Corona ipo Dar nimemzika juzi Shangazi yangu kipenzi aliezaliwa na baba yangu. Alikua awezi kupumua kabisa. Bado najiuliza ameipataje..? Hata mimi kohoni nasikia sipaelewi leo. Siasa zao za kutaka pesa za watalii, zinatumalizia wazee wetu.
Nenda kapimwe mkuu. Sasa kama shangazi yako hakwenda kwenye vituo vya afya nani wa kumlaumu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe si ni CCM nami sishangai kuandika hivyo. Kwahiyo Mungu ana upendeleo. Nilitegemea ulete scientific arguments kumbe unaleta talalila za Ndugai! Na most likely waliokuwa kwenye bus ni CCM! wanasikliza Jiwe anasema nini . sensible people like CDM will never do that!
Acha uchama mkuu. Ni ushamba wa namna fulani vile!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yan marekan Sasa ndio Kuna Corona mpaka bas Yan kule Kuna Corona kichaa
 
Mtoto wa Mbowe na maunyama uzembe yake kapona sembuse hao wazungu vimbau mbau
Nadhani hofu ya wamarekani ni kua mtu akipata corona hapa Tanzania kwa sababu ya huduma za afya zisizo imara anaweza kufa haraka hasa kama ana matatizo mengine ya kiafya, labda.

Marekani huleta karibu 20% ya watalii hapa Tanzania. Kenya huleta karibu 6% ya watalii.

Ila hizi nchi masiniki ni changamoto sana.
 
Back
Top Bottom