namhurumia mkwe wangu Siro, safari za Ze Hegi zitamhusu sana ingawa maskini hana hatia mkatoliki huyu!!Ila kweli.
Polisi wanakosea sanaa.
Kuna mambo wanayafanya hayana umuhimu.
kama kuna kiongozi anawatuma wafanye hayo ajue sio sahihi..
Watu mmewakaba kila sehemu lakini bado mnawaogopa HAMJIAMINI?
Maana kuna malingo humu duniani ambayo wanatakiwa kuyaondoa kwa lazima!?
Kama una akili timamu na ni msomi uliye elimika na unaijua historia ya china vyema basi huwezi kusema china ni rafiki mzuri. ni hayo tu.Wapambane na iran kwanza hao makuwaidi wa ubeberu
Tanzania tuna marafiki wazuri km China na Russia hao USA hatuna muda nao
Dua la kuku hilo Hayo maneno yameanza kusemwa tangu 1996 hadi kwani hao unao ona wewe watakatifu hawafi??Kuna watu wana kibri kama wataishi milele,kumbuka kwa haya yote unayowafanyiya wenzako ipo siku utaachia madaraka, au utakufa.sijui kama kungekuwa kunakuishi milele ukatili wa binadamu ungepindukia kiasi gani
Jambo gani asee?,,Kuna jambo linafuata siku si nyingi na wengine tumeshaonya kupitia hapa JF.
Hata mimi hofu yangu kama yako.....kuna watu wanahisi ni matamko tu na hawawezi kufanya chochote..Kuna jambo linafuata siku si nyingi na wengine tumeshaonya kupitia hapa JF.
Sababu ya kumpiga MEKO dole la kati. Hivi huoni uozo unaendelea nchini mwako?Hawa jamaa ni kama wanatafuta sababu hivi.
Hee wameshahama kutoka Corona..... Hakuna cha babake corona wala mama yake au kaka yake wala mjomba wake corona. Yule mama uso umekuwa mdogo pamoja na washabiki wake bungeniWapambane na iran kwanza hao makuwaidi wa ubeberu
Tanzania tuna marafiki wazuri km China na Russia hao USA hatuna muda nao
Mama yako je?Mungu wabariki Wazungu
Mkuu usitukumbushe ya Gen. Soleman; eti "jenerali matata" ni mtata kwa wajingawajinga aliowaongoza sio kwa Marekani. Anyway, muhimu amebaki historia and shall never be seen again forever and ever!...
Yupo wapi Gaddafi?,na wengine wa karba yake......au yule General wa iran aliyeuliwa kama mbwa na Iran haijarusha hata risasi moja USA
...
Nasikia huyo aliyetafsiri huo ujumbe atatumbuliwa muda si muda. Ahaaaanna kweli udikteta huu lazima tufanye kitu mapema, imezidi.Wapambane na iran kwanza hao makuwaidi wa ubeberu
Tanzania tuna marafiki wazuri km China na Russia hao USA hatuna muda nao
Secretary anapata wapi uhalali kuandika maandiko ya kukosoa host country,hajui kama tunaweza tukamtia arudi kwao hukokwahiyo ofisi imefungwa?
Wamarekani hawana uwezo wa kutufanya chochoteKuna jambo linafuata siku si nyingi na wengine tumeshaonya kupitia hapa JF.
Nyie vibaraka wa mabeberu mtaisoma nambaKama Balozi na Kaimu hawapo haina maana Ubalozi umefungwa mpaka warudi. Ofisi ya Serikali haitembei na mfanyakazi yeyote wa ofisi hiyo hata asiporudi kabisa shughuli zote zitaendelea kama kawaida. Wajinga wengi, pamoja na wewe, wanafikiri Tanzania ni mfano mzuri wa kuigwa katika kuendesha mambo ambapo mtu mmoja anaamua kila kitu na asipokuwapo basi hakuna chochote kinachofanyika mpaka arudi. Balozi za wenzetu hazitekelezi kazi zao kwa kutegemea mkuu ameamkaje kila siku, wait hata asipoamka mambo yao yataenda Kama kawaidà. Wafanyakazi wote was Ubalozi wowote ni wakazi wa nchi ilipo ofisi yao na mengi yanayotokea kwenye nchi walipo yanawagusa kwa namna moja au nyingine. Kukiwa hakuna mafuta au sukari nao wanaadhirika.
Usifikiri hawa ni kama wanamgambo wa chattle. Nduli Magu anakosea mnatakiwa kumwambia ukweli au mnasubiri mpaka yampate ya akina Mobutu?Wamarekani hawana uwezo wa kutufanya chochote
Mtaota hizi ndoto hadi lini ?Huyu jiwe ati anajipima misuli na Marekani, ataondoka bila kuaga!! 2021 naiona kwa mbali Serikali ya Umoja wa kitaifa inanukia.
The Hague ataenda Obama.nayahesabu matamko yashafika 5 tayari... haya yanatosha kabisa kutuanzishia safari za Ze Hegi.