Ubalozi wa Marekani: Tumetiwa moyo na hakikisho la Rais Magufuli kwamba uchaguzi mkuu 2020 utakuwa huru, wa haki na wenye uwazi

Jiwe bila kujua, akajimezesha ndoano...tukisema mshikaji ni KILAZA muwe mnatuelewa
 
huku kijijini N'gwashilalage tulishahau kama kuna watu wanaitwa wanasiasa wa upinzani ila tunawakaribisha waje mapema na sio kusubiri msimu wa uchaguzi! Hata kama tume ya uchaguzi itateuliwa na Mnyika au Dovutwa kusema kweli huku tunajua maendeleo hayana chama na JPM ni raisi wa woote!
 
Hela za sosho umeshazimaliza?
Kumbuka leo 31st na zinatolewa mara mbili kwa mwezi. Mimi sili sosho ila mimi nachangia kwenye sosho kwa kulipa kodi.

Leo waliopokea sosho wanawapa ahueni security guards masupermarket no shoplifting. Acha ifike j5 itakapoisha sosho ama kupungua.
 
Kumbuka leo 31st na zinatolewa mara mbili kwa mwezi. Mimi sili sosho ila mimi nachangia kwenye sosho kwa kulipa kodi.

Leo waliopokea sosho wanawapa ahueni security guards masupermarket no shoplifting. Acha ifike j5 itakapoisha sosho ama kupungua.
Haya, sawa.
 
Mi nna hasra sana na JPM na serikali yake!haiwezekani anataka kuwaua wanangu kwa njaa hivihivi!!!toka 2015,hakuna nyongeza ya mishahara kwa watumishi wala increment!!!!
Hapa lazma niwaunge mkono USA!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyeingia choo cha kike ni zitto zuberi kabwe na genge lake.
Mmejiweka wazi kwa wapiga kura wazakendo wa nchi hii.

Na time will tell!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais wangu ana akili sana aliwaita mbarozi kumbe anataka kujijengea imani kwa mbarozi kuwa amebadilika kumbe alikuwa anatafuta udhamini ili akope kunako bank ya dunia.wamemshitukia haha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…