#COVID19 Ubalozi wa Marekani, watoa tahadhari dhidi ya ongezeko kubwa la ugonjwa wa Covid-19

Hela tunazochukua huko ni asilimia ndogo sana ya utajiri wetu waliochukua.

Kwa lugha nyingine sisi ndio tunawadai
Sasa mngebaki nazo zingewasaidia nini sio nyinyi mnakataza vijana kucheza bao sas babu zetu kama walikuwa wanachezea bao almasi huoni kama wamesaidiwa all revolution project kubwa zisingefanyika kama nyny mngeendelea kuchezea bao dhahabu maish ni kutegemeana. Afu nikupe ki2 mtu asie na akili hata akae kwenye resources hawez pata kitu ila mwenye akili alwayz atapata njia kwa hyo usilaumu kupitia simu ambayo wenzio wamechukua madini yako wakuletee upost jf hhhh

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Chanjo za ndui na polio uliwahi kuhoji?ccm awamu hii hamna tofauti na wodi ya vichaa mirembe
Unaujua utaratibu uliotumika hadi chanjo za ndui kutumika au unakurupuka tuu?
Kapimwe ubongo
 
Hawajawahi kuwa sawa na sisi usipotoshe wakisema africa hawamaanishi kila nchi kama hizi zetu ni nchi kama misri ethiopia ambazo mpaka bible inazitambua. Na kwa project za afya ambazo wamefanya na nyingne wakatufundisha huezi sema tulikuwa level moja hata siku moja..Halafu hivi wewe unaakili gani kweli hapo yani lipi bora taasisi kubwa kama ubalozi kuwapa alert wananchi wake au kuwaacha kila mtu ajipambanie wakati wewe mwenyewe unasema unafuata maelekezo ya serikali ko unataka hata mmarekani afuate msimamo wa serikali ya tanzania

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
mkuu una tumia hisia sana mpaka akili zako zimesimama.
kwahiyo marekani wakitoa tamko corona inaogopa ama vipi!!!!

ni kama sasa unahisi tamko la marekani ni silaha kamili dhidi ya ugonjwa huu.
 
lakini watu mna ujinga mwingi mpaka mnachanganya. haaaaa!!!

kwahiyo kuvaa barakoa
kunawa mikono
kujiepusha na misongamano
na kutulia ndano

ni mpaka uambiwe na rais!
 
Hebu watupumzishe! Wameshindwa kuzuia vifo100 vya kupigwa risasi kila siku halafu hapa wanataka kutuongopea wanajali uhai wetuwetu.

Tuko zetu busy na kazi huku tukichukua tahadhari na kumwomba Mungu sana.
You might be the next victim!! Let i pray for you dead man
 
Una stresss eeeee?!!
Basi kunywa maji ulale
Hovyo kuliko hovyo yenyewe
Afu mtu kama huyu anakuja kusema tumuombe Mungu atusaidie kwa ushabiki. Mtu wa Mungu anaweza kumjibu mtu hivi hata kama angekuwa kamkosea vipi? Now nimeelewa ulikuwa unamaanisha Mungu yupi.

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Hivi kumuita binadam Beberu ni sawa. Huu si ni ubaguzi kama ubaguzi mwingine. Ila ukiitwa nyani unaona si sawa. Binadam tuwe na adabu
 
tell american embassy that most of majority Tanzanians have no intention to go to Americav because America is not heaven
To Tanzania and Tanzanians USA may not be heaven but definitely as a country it is heavenly so it's not easy for earthly rural Sukumas to go there, for even famous cowboys of old are no more, afterall Kisukuma not spoken there. Chato is the limit for them!
 
Kwa hiyo walijikuta na hizo Teknolojia ghafla tuu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Jitahidi utumie ubongo japo kidogo tuu
 
You might be the next victim!! Let i pray for you dead man
Hata wewe unaweza kuwa next victim, usijione kuwa na maisha ya milele, ajuaye ni Mungu
Tuchukue tahadhari na tumwombe Mungu
 
Afu mtu kama huyu anakuja kusema tumuombe Mungu atusaidie kwa ushabiki. Mtu wa Mungu anaweza kumjibu mtu hivi hata kama angekuwa kamkosea vipi? Now nimeelewa ulikuwa unamaanisha Mungu yupi.

Unajua huyo mtu ameaongea nini hadi awe wa hovyo au na wewe unadakia tuu kama kasuku?
Mungu hapangiwi na mtu anajua atende nini lini na wapi ni wewe tuu ujue kumwomba

Usiache kuchukua tahadhari
 
Bila hizo measures walizochukua hali ingekua mbaya zaidi
 
Hebu watupumzishe! Wameshindwa kuzuia vifo100 vya kupigwa risasi kila siku halafu hapa wanataka kutuongopea wanajali uhai wetuwetu.

Tuko zetu busy na kazi huku tukichukua tahadhari na kumwomba Mungu sana.
Hata kama una kiwango kikubwa cha upumbavu kama chako jaribu hata kusimamisha upumbavu wako hata kwa dakika 3 na kutafakari uhalisia wa mambo kisha rudi kwenye upumbavu wako.
 
Hebu watupumzishe! Wameshindwa kuzuia vifo100 vya kupigwa risasi kila siku halafu hapa wanataka kutuongopea wanajali uhai wetuwetu.

Tuko zetu busy na kazi huku tukichukua tahadhari na kumwomba Mungu sana.
Hata kama una kiwango kikubwa cha upumbavu kama chako jaribu hata kusimamisha upumbavu wako hata kwa dakika 3 na kutafakari uhalisia wa mambo kisha rudi kwenye upumbavu wako.
 
Tena hiko kijitu kikipata corona hakimalizi hata dk 10 kinakufa kwa jinsi kilivyodhoofu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…