Sasa mngebaki nazo zingewasaidia nini sio nyinyi mnakataza vijana kucheza bao sas babu zetu kama walikuwa wanachezea bao almasi huoni kama wamesaidiwa all revolution project kubwa zisingefanyika kama nyny mngeendelea kuchezea bao dhahabu maish ni kutegemeana. Afu nikupe ki2 mtu asie na akili hata akae kwenye resources hawez pata kitu ila mwenye akili alwayz atapata njia kwa hyo usilaumu kupitia simu ambayo wenzio wamechukua madini yako wakuletee upost jf hhhhHela tunazochukua huko ni asilimia ndogo sana ya utajiri wetu waliochukua.
Kwa lugha nyingine sisi ndio tunawadai
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app