Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera kwa kumjibu huyo chumia tumbo wa lumumbaWakuingilie mambo yako ya ndani una kipi wewe hata net za wajawazito wanakupa msaada. Embu ondoa kelele hapa? Ati mambo ya ndani ? Kataa basi na ARV wanazokupa.na zile chanjo za wajawazito na watoto tengenezeni za miti shamba
Mnachukua tahadhali ya ugonjwa gani huo?Tahadhari tunachukua popote tulipo, kifo kinatisha, kinaweza kuwa chanzo cha umaskini kwa familia zetu lakini tuutafute ukweli wa madawa tunayopewa.
Usisahau mwanzo kabisa walishapendekeza kwamba majaribio yafanyike afrika kwa kigezo wanatupenda na kutuhurumia sana kwakuwa hatuna health facilities za kutosha.
Sasa na sisi tuwaambie tuu kwamba Afrika haijaathirika kama USA EU na Asia, waanze kuokoa idadi kubwa ya watu wao wanaokufa Upendo wa kweli huanzia nyumbani
Hakuna upendo wa kuwapa watoto wa jirani chakula wakati watoto wako wanakufa njaa
Wale wanaokaa sehemu chafu pale ufipa huku wakipokea mabilioni ya ruzuku kwa miaka29 ndio vichaa, wenye utimamu wanatambulika hata makazi yao miaka29 pale lumumbaVichaa wanajulikana nchi hii wapo sehemu gani kama siyo lumumba
Bakuli lenu wanawajazia hao hao mabeberu baada ya kwenda kuwapigia magotiEti Mashoga wanatuchimba Mkwara!? Ebu watuache kwanza waendelee na ndoa zao za njisia moja!!
Unarudi lini duniani toka kuzimu?Mnachukua tahadhali ya ugonjwa gani huo?
Kwahio ukiomba Mungu ndio utaishi milele ?Tuombe Mungu kifo hakina mjuaji
Wacha kutukana mamba wakati bado unahitaji kuchota maji mtoniKwani mlivyowaambia wasitoe pesa za elimu ndio ulikua mpango wa nini
Itawagegda nyinyi wote mnao idharauNani kasema corona hakuna[emoji28][emoji28] kwani Mungu alikupatia masikio ya nini? Si angekupea macho na vidole vya kutype tuu[emoji849][emoji849][emoji849]
Vichaa wamejazana lumumba kwa maana tayari walisha jitambulisha kuwa wao ni vichaa na wengine wakasema kuwa wana mafaili yao mirembe.Wale wanaokaa sehemu chafu pale ufipa huku wakipokea mabilioni ya ruzuku kwa miaka29 ndio vichaa, wenye utimamu wanatambulika hata makazi yao miaka29 pale lumumba
Mfyuuuu
Kuzimu yupo babakoUnarudi lini duniani toka kuzimu?
mkuu we binafsi una unapendekeza njia gani itakuwa sahihi katika kupambana na Corona.Sasa ni wazi kua covid Tanzania inaua watu vibaya sana. Magufuli yeye bora watu waendelee kufa kuliko kuwaambia wachukue tahadhari za kisayansi, yeye anahimiza njia za kienyeji na za kishirikina za kujifukiza, kunywa pilipili, sijui kachumbari.
Ni mambo ya ajabu.
Kwanza elewa kifo akikwepeki as long as umeandikiwa utafaliki kwa kitu flani. pili ao waliopata chanjo tupe maendeleo yao tuanzie U.S.AKwahio ukiomba Mungu ndio utaishi milele?...
Nani alikuambia nataka kuvuka mto, halafu hata nikivuka lazima niingie kwenye maji? Umepitwa na wakati wewe
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Wapo tena wengi niliingia kwenye daladala juzi peke yangu Nina barakoa yaani watu wananikata jicho niliuchuna sikuivua mpaka nikafika napoenda na wakati WA kurudi hivyohivyo. SASA hivi nikitoka nje ya Geti ni barakoa Tu. Ndugu wawili tumeshazika wiki 2 hizi.Corona inaua sio utani, rafiki kafariki tumemzika mchana, kaanza kuumwa asubuhi shida kupumua mchana kafariki saa tisa tumetoka kumzika, nilivyoona ile misafara ya Coaster inayosindikiza marehemu wao mikoani sina hamu kabisa.
Kama mpaka sasa bado kuna mtu asieamini Tanzania kuna Corona Mungu amrehemu.