#COVID19 Ubalozi wa Marekani, watoa tahadhari dhidi ya ongezeko kubwa la ugonjwa wa Covid-19

#COVID19 Ubalozi wa Marekani, watoa tahadhari dhidi ya ongezeko kubwa la ugonjwa wa Covid-19

Hebu watupumzishe! Wameshindwa kuzuia vifo100 vya kupigwa risasi kila siku halafu hapa wanataka kutuongopea wanajali uhai wetuwetu.

Tuko zetu busy na kazi huku tukichukua tahadhari na kumwomba Mungu sana.
Hivi ni kwanini hili limekuudhi kiasi hicho? Wanatoa tahadhari kwa wananchi wao walioko Tanzania au wanaotaka kuja Tanzania. Hilo ni jukumu lao.
Balozi za Tanzania pia zinatakiwa kututahadharisha watanzania kama kuna matatizo ya kiusalama au viashiria vilivyothibitika vya uvunjifu wa amani, katika nchi zinazotuwakilisha.
 
Kila siku ni mapambano, tunapigana vita vikuu na watakaopambana mpaka mwisho ndio watakao okoka!
Msipalilie woga
"There s Nothing to Fear but Fear Itself"
 
Hebu watupumzishe! Wameshindwa kuzuia vifo100 vya kupigwa risasi kila siku halafu hapa wanataka kutuongopea wanajali uhai wetuwetu.

Tuko zetu busy na kazi huku tukichukua tahadhari na kumwomba Mungu sana.
Kama wewe sio Jiwe mwenyewe basi ni waziri wake.
 
Corona inaua sio utani, rafiki kafariki tumemzika mchana, kaanza kuumwa asubuhi shida kupumua mchana kafariki saa tisa tumetoka kumzika, nilivyoona ile misafara ya Coaster inayosindikiza marehemu wao mikoani sina hamu kabisa.

Kama mpaka sasa bado kuna mtu asieamini Tanzania kuna Corona Mungu amrehemu.
Na wewe unaugua lini Corona au ni mtoa habari za Corona bila wewe kuugua?
 
Hebu watupumzishe! Wameshindwa kuzuia vifo100 vya kupigwa risasi kila siku halafu hapa wanataka kutuongopea wanajali uhai wetuwetu.

Tuko zetu busy na kazi huku tukichukua tahadhari na kumwomba Mungu sana.
Mhmm! Wehu kumbe bado wapo!
 
Hebu watupumzishe! Wameshindwa kuzuia vifo100 vya kupigwa risasi kila siku halafu hapa wanataka kutuongopea wanajali uhai wetuwetu.

Tuko zetu busy na kazi huku tukichukua tahadhari na kumwomba Mungu sana.
Unahitaji maombi
 
Wamarekani wapambane na covid 19 kivyao...wahudumu wa afya marekani wanalalamikia ukosefu wa vifas vya kujikinga namaambukizi .
USA waache kimbelembele cha kutoa matamko yasiyowahusu
 
Well said! Hata mimi namshangaa sana huyu mdada kwa vijikauli vyake hivi vya kujikomba kwa watu wanaojua kabisa kuwa CORONA ipo lakini wameamua kupiga siasa ili tu wapate nafuu ya kukwepa majukumu na mwishowe sisi wanannchi wa kawaida akiwemo yeye mama D ndo tunaangamia!
Nashangaa hata huyo Mungu wake anayemtaja ni Mungu yupi wa kusikiliza sala za watu wenye kebehi kama huyu? Ubalozi umetoa angalizo, hiki kitu ni sawa na msaada lakini yeye anaponda tu! Kuna wenzetu wengine kiukweli sijui wameumbwa na roho za aina gani???
Inawezekan a roho yake nzur ila uelewa mdogo hafu mahaba yanamfanya aende tu kama bendera- hufuata upepo.
 
Inakera unapoibiwa,,, na aliyekupigisha ni jirani
 
Wwe subiri msaada wa vilainishi kutoka kwa Mabeberu, maana hicho ndiyo unachopenda!!
Hiyo ni kazi ya wazazi wako ndiyo inayo wafanya waishi mjini maana hata kukuzaa wewe ilikuwa ni bahati mbaya
 
Hao hawana lolote zaidi ya kuleta msaada wa Vilainishi kwa wa Africa !
Vinawasaidia wazazi wako ili wajipatie mkate wao wa kila siku na kukufanya wewe kula kulala uendelee kurohoja
 
Back
Top Bottom