Pre GE2025 Ubalozi wa Marekani watoa tamko baada ya Viongozi wa CHADEMA na waandishi kuachiwa. Je, ndio walioshinikiza kuachiwa?

Pre GE2025 Ubalozi wa Marekani watoa tamko baada ya Viongozi wa CHADEMA na waandishi kuachiwa. Je, ndio walioshinikiza kuachiwa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
U
Usiwapuuze wala kuwabeza. Marekani wana nguvu kubwa Sana, wakiamua kwa dhati kabisa kufanya lolote Wala hakutakuwa na uwezo wa ndani wa kuweza kuwazuia. Wana mbinu nyingi sana za kuweza kutudhibiti sisi.
Umenikumbusha Juan Orlando Hernández, rais wa zamani wa Honduras aliyefedheheka, amehukumiwa kifungo cha miaka 45 jela kwa kuwawezesha walanguzi wa dawa za kulevya kutumia jeshi lake la polisi na polisi wa taifa kusaidia kusafirisha toni za kokeini hadi Marekani.
 
Marekani siyo wa kutufundisha sisi maana ya democrasia na utawala bora
Kule kwao kuna Project 2025 manifesto ya Trump. Isome uelewe. Pia Biden amekuwa akizungumzia Red Line ya Nyata Nyau. Ametekeleza?
Kima! Mmeiga kila kitu kutoka kwao kuanzia muundo wa serikali yako na misaada mnapokea juu halafu unasema wasiwafundishe
 
Hamna kitu hapo
Ni mbaambaa tu hizo za kiprotokali

1723569925594.png
 
Sawa.....

Ila Tanzania ni HURU....inajiamulia mambo kivyake na kutanguliza vyake kama ambavyo Marekani inavyojiamulia mambo yake na kutotaka KUINGILIWA....

#Tanzania Kwanza[emoji7]
 
Marekani siyo wa kutufundisha sisi maana ya democrasia na utawala bora
Kule kwao kuna Project 2025 manifesto ya Trump. Isome uelewe. Pia Biden amekuwa akizungumzia Red Line ya Nyata Nyau. Ametekeleza?
Sawa.....

Ila Tanzania ni HURU....inajiamulia mambo kivyake na kutanguliza vyake kama ambavyo Marekani inavyojiamulia mambo yake na kutotaka KUINGILIWA....

#Tanzania Kwanza[emoji7]
Ukiwa maskini hauwezi kuwa huru.

Marekani wanatujua zaidi kuliko sisi tunavyowajua.
 
Pamoja na bunge la marekani(Congress) kumtaka asiende Iraq kuhusu silaha za maangamizi (WMD)....George Bush alikwenda kwa kusema "asiye na sisi ,yuko na magaidi"....

Tanzania is a sovereign country [emoji7]
 
Another crap comment from another crippled mind.
Kamala Harris analaumiwa kwa kusema watu wanaoingia nchini bila passport hawana makosa,
Wanastahili health care..
Wanastahili kupata education.
Huo ndio ukatili wa Marekani.
Wamarekani wanayatazama matendo yetu na prism hiyo .
Mtu kateswa na Polisi,katamka,"Tufanye maandamano kama Kenya"
Yaani,hiyo ndiyo imekuwa chanzo cha fracas yote hii
Sasa unadhani mtu akiteswa na polisi ataongea vipi?
Mtu yeyote anaweza kusema 'Kesho nitaipindua Serikali "
Lakini kabla kuona threat ni lazima u- assess uwezo wa yule mtu.
Inakuwaje umemuona paka unasema umemuona chui?
Tufanye maandamano kama Kenya maana yake wakifafanya maandamano whether violent or peaceful,watakuwa wamefanya maandamano kama Kenya: kwa sababu Kenya walifanya maandamano na wao wamefanya maandamano.
Kitu wanachopinga,kwa mfano,Ubalozi wa Marekani,ni mtu chawa kuzuia maandamano kwa kudhania ndio anampendeza bosi wake aliyempa kazi.
 
Scott Ritter ni MmarekanI ambaye anakosoa sera ya kigeni ya serikali yake. Juzi mashushu wa FBI wamesachi nyumba yake na kuchua nyaraka kadha. Anasema anatishwa kwa sababu ya maoni yake. Hiyo ni demokrasia ya Marekani
 
Back
Top Bottom