Pre GE2025 Ubalozi wa Marekani watoa tamko baada ya Viongozi wa CHADEMA na waandishi kuachiwa. Je, ndio walioshinikiza kuachiwa?

Pre GE2025 Ubalozi wa Marekani watoa tamko baada ya Viongozi wa CHADEMA na waandishi kuachiwa. Je, ndio walioshinikiza kuachiwa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Marekani siyo wa kutufundisha sisi maana ya democrasia na utawala bora
Kule kwao kuna Project 2025 manifesto ya Trump. Isome uelewe. Pia Biden amekuwa akizungumzia Red Line ya Nyata Nyau. Ametekeleza?
Sijaelewa mkuu iwe Project 2025 manifesto kufsnyaje sijui inahusisha kupiga Wapinzani na kuwasweka rumande kama huku kwetu?
 
Ubalozi wa Marekani pamoja na CCM hawataki kabisa uonevu, ndio maana Katibu Mkuu wa CCM jana alitoa maagizo kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, awaachie hao wapinzani, CCM haipendi kabisa uonevu na inachukizwa sana kuona mtu au Chama au taasisi yoyote nchini kuonewa kwa namna yoyote ile..!!


On other side of story..!! 👇
Ila nao CHADEMA, waache kiherehere, watii sheria bila shuruti, mambo ya kuwatishia Polisi wanatoa wapi? Wahuni tu wamekutana, hakuna Chama ? CHADEMA
Tunapenda sana kujadili matokeo kuloko chanzo. Kosa la CHADEMA ni lipi? Na kama wanamakosa kwanini wameachiwa bila masharti yoyote?
 
Hivi ni kwa nini sisi hatutoi tamko kuhusu marekani kuunga mkono na kusaidia genocide (mauaji ya kimbali) yanayofanywa na Israel dhidi ya Wapelestina? Tunaogopa nini?
Marekani ni taifa la wauaji, na wapenda kumwaga damu za binadamu duniani kote. Wanaanzisha vita ili damu za watu zimwagike na shetani anayewaongoza afurahi. Kwa nini sisi hatutoi matamko ya kuonyesha misimamo yetu? Hivi guts zetu tumepotezea wapi? Enzi za mwalimu tulikuwa tunaweza kusimama na kuwaambia hawa mabeberu "you're wrong"; kwa nini sasa hivi hatuwezi?
 
Huko USA Ndipo hadi wanataka kumuua mgombea Urais
 
Kamala Harris analaumiwa kwa kusema watu wanaoingia nchini bila passport hawana makosa,
Wanastahili health care..
Wanastahili kupata education.
Huo ndio ukatili wa Marekani.
Wamarekani wanayatazama matendo yetu na prism hiyo .
Mtu kateswa na Polisi,katamka,"Tufanye maandamano kama Kenya"
Yaani,hiyo ndiyo imekuwa chanzo cha fracas yote hii
Sasa unadhani mtu akiteswa na polisi ataongea vipi?
Mtu yeyote anaweza kusema 'Kesho nitaipindua Serikali "
Lakini kabla kuona threat ni lazima u- assess uwezo wa yule mtu.
Inakuwaje umemuona paka unasema umemuona chui?
Tufanye maandamano kama Kenya maana yake wakifafanya maandamano whether violent or peaceful,watakuwa wamefanya maandamano kama Kenya: kwa sababu Kenya walifanya maandamano na wao wamefanya maandamano.
Kitu wanachopinga,kwa mfano,Ubalozi wa Marekani,ni mtu chawa kuzuia maandamano kwa kudhania ndio anampendeza bosi wake aliyempa kazi.
Uko sawa bro???

Umezunguka sana kwenye hii post…. What is your point?
 
Back
Top Bottom