Ubalozi Wa Saudi Arabia Nchini Tanzania Watoa Maelezo ya Kina juu ya Upotoshaji unaoendelea Mitandaoni

Ubalozi Wa Saudi Arabia Nchini Tanzania Watoa Maelezo ya Kina juu ya Upotoshaji unaoendelea Mitandaoni

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Ubalozi wa Saudi Arabia Nchini Tanzania umetoa tamko au maelezo ya kina au ufafanuzi wa kukanusha upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu mitandaoni.

Ambao wana lengo la kuchafua mahusiano mazuri na ya muda mrefu na yaliyoleta na kuzaa matokeo Chanya kati ya mataifa haya mawili.

Taarifa yenyewe ni hii hapa chini. imeandikwa kwa kiingereza . Kwa hiyo wewe kama hujui kiingereza ni bora upite kimya kimya kuliko kujifanya unaleta ujuaji wako wakati hujui kilichoandikwa.

Lakini pia kama kiingereza chako ni cha The The zisi iz au cha kukariri kariri ni bora pia na wewe ukatulia vizuri kabla ya kuanza kutoa maoni yako halafu ukaonekana kituko tu hapa.

Matusi hayahitajiki katika Taarifa hii maana hakuna taarifa ilipotoa matusi. Kwa hiyo mtu ukianza matusi hapa itakuwa ni dalili ya kutoelewa kilichoandikwa hapa.
Screenshot_20250213-220400_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
As
Ndugu zangu Watanzania,

Ubalozi wa Saudi Arabia Nchini Tanzania umetoa tamko au maelezo ya kina au ufafanuzi wa kukanusha upotoshaji unaofanywa baadhi ya watu mitandaoni.

Ambao wana lengo la kuchafua mahusiano mazuri na ya muda mrefu na yalileta matokeo Chanya kati ya mataifa haya mawili.

Taarifa yenyewe ni hii hapa chini. imeandikwa kwa kiingereza . Kwa hiyo wewe kama hujui kiingereza ni bora upite kimya kimya kuliko kujifanya unaleta ujuaji wako wakati hujui kilichoandikwa.

Lakini pia kama kiingereza chako ni cha The The zisi iz au cha kukariri kariri ni bora pia na wewe ukatulia vizuri kabla ya kuanza kutoa maoni yako halafu ukaonekana kituko tu hapa.

Matusi hayahitajiki katika Taarifa hii maana hakuna taarifa ilipotoa matusi. Kwa hiyo mtu ukianza matusi hapa itakuwa ni dalali ya kutoelewa kilichoandikwa hapa.View attachment 3235781

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Asante Luca, najua upo katika kitengo cha propaganda za, katika zile picha ya maza zilizopo kwenye bidhaa mnazogawa ikiwemo boda boda, mitungi ya gesi n.k, ile picha izungushieni kiradi mikubwa aliyofanya na kuweka asilimia ya ukamilishaji, na miradi iwe ya kueleweka ile kitaifa kwa manufaa ya Taifa. Sio milion 5 za yanga na samba mnasema ni utekelezaji
 
As
Asante Luca, najua upo katika kitengo cha propaganda za, katika zile picha ya maza zilizopo kwenye bidhaa mnazogawa ikiwemo boda boda, mitungi ya gesi n.k, ile picha izungushieni kiradi mikubwa aliyofanya na kuweka asilimia ya ukamilishaji, na miradi iwe ya kueleweka ile kitaifa kwa manufaa ya Taifa. Sio milion 5 za yanga na samba mnasema ni utekelezaji
Kila mtanzania asiye na upofu wa macho na akili anatambua na ameona miradi mikubwa iliyotekelezwa na Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
 
Huko Rwanda tumempeleka Mtu na Nusu ili akatuwakilishe. Ni mtu makini na mwenye kila aina ya uzoefu. Kwa hakika uteuzi wake ni sahihi kabisa na umekuja kwa Wakati muafaka.
Aisee

Wakati mwafaka Kwani Kuna jambo gani Lucas
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ubalozi wa Saudi Arabia Nchini Tanzania umetoa tamko au maelezo ya kina au ufafanuzi wa kukanusha upotoshaji unaofanywa baadhi ya watu mitandaoni.

Ambao wana lengo la kuchafua mahusiano mazuri na ya muda mrefu na yalileta matokeo Chanya kati ya mataifa haya mawili.

Taarifa yenyewe ni hii hapa chini. imeandikwa kwa kiingereza . Kwa hiyo wewe kama hujui kiingereza ni bora upite kimya kimya kuliko kujifanya unaleta ujuaji wako wakati hujui kilichoandikwa.

Lakini pia kama kiingereza chako ni cha The The zisi iz au cha kukariri kariri ni bora pia na wewe ukatulia vizuri kabla ya kuanza kutoa maoni yako halafu ukaonekana kituko tu hapa.

Matusi hayahitajiki katika Taarifa hii maana hakuna taarifa ilipotoa matusi. Kwa hiyo mtu ukianza matusi hapa itakuwa ni dalali ya kutoelewa kilichoandikwa hapa.View attachment 3235781

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 

Attachments

  • IMG-20250213-WA0034.jpg
    IMG-20250213-WA0034.jpg
    57.5 KB · Views: 1
Back
Top Bottom