Ubalozi Wa Saudi Arabia Nchini Tanzania Watoa Maelezo ya Kina juu ya Upotoshaji unaoendelea Mitandaoni

Ubalozi Wa Saudi Arabia Nchini Tanzania Watoa Maelezo ya Kina juu ya Upotoshaji unaoendelea Mitandaoni

Nafikiri hii ndio fake news sasa
Kukosea tarehe tena anaandika mtu mwingine na kumpelekea Balozi kusaini ni aibu kubwa
Inawezekana Saudia kuchukua bandari kwa mkataba ila kuna watu wameitoa kabla
Kweli hatuna matusi ila rudi ubalozini kawaambie watoa barua nyingine tena ya kuomba radhi kwa tarehe
 
Pakuanzia ni hapa..

Screenshot_20250213_224011.jpg
 
Ubalozini hawawezi kukosea tarehe kiasi hicho, eti February 25.

Hii itakuwa ni barua ya mchongo ya machawa wa Lumumba wakijaribu kuokoa jahazi baada ya UFISADI kujulikana
Ufisadi upi ndugu yangu. Au umeshaanza Ramli kama kawaida yenu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ubalozi wa Saudi Arabia Nchini Tanzania umetoa tamko au maelezo ya kina au ufafanuzi wa kukanusha upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu mitandaoni.

Ambao wana lengo la kuchafua mahusiano mazuri na ya muda mrefu na yaliyoleta na kuzaa matokeo Chanya kati ya mataifa haya mawili.

Taarifa yenyewe ni hii hapa chini. imeandikwa kwa kiingereza . Kwa hiyo wewe kama hujui kiingereza ni bora upite kimya kimya kuliko kujifanya unaleta ujuaji wako wakati hujui kilichoandikwa.

Lakini pia kama kiingereza chako ni cha The The zisi iz au cha kukariri kariri ni bora pia na wewe ukatulia vizuri kabla ya kuanza kutoa maoni yako halafu ukaonekana kituko tu hapa.

Matusi hayahitajiki katika Taarifa hii maana hakuna taarifa ilipotoa matusi. Kwa hiyo mtu ukianza matusi hapa itakuwa ni dalili ya kutoelewa kilichoandikwa hapa.View attachment 3235781

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Wajomba wanaifaidi sana Tanzania awamu hii.
 
Kwa nini tusome press kutoka Saudi wakati Tanzania tuna kitengo cha habari Serikalini. Akina msemaji wa serikali ndo waje na taarifa ndo namna sahihi kwa watanzania
 
tarehe ya barua haijafika nadhani ingekuwa vyema ungesubiri muda wa kuitoa hiyo taarifa kwa umma vinginevyo tuamini watu walipiga kwenye mshono ndiyo maana mmepoteana.
Hii barua imeandikwa tarehe 25/2/2025 hapo wamechemka "kweri kweri". UVCCM wanapambana kushona kiraka. Hili taifa limekuwa chaka la wanyang'anyi (robbers) hakuna kitu kitabaki hapa.
 
Back
Top Bottom