Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #21
Itafika tu wala usijali. Uwe na subira tu na uvumilivuFebruary 25 2025?
Hio tarehe mbona haijafika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itafika tu wala usijali. Uwe na subira tu na uvumilivuFebruary 25 2025?
Hio tarehe mbona haijafika?
Inasikitisha nini. Au inasikitisha kwa wewe kutoelewa kiingerezaInasikitisha sana
Nimeishia kwenye tareheInasikitisha nini. Au inasikitisha kwa wewe kutoelewa kiingereza
Ubalozini hawawezi kukosea tarehe kiasi hicho, eti February 25.Ubalozi Wa Saudi Arabia Nchini Tanzania Watoa Maelezo ya Kina juu ya Upotoshaji unaoendelea Mitandaoni.
Ufisadi upi ndugu yangu. Au umeshaanza Ramli kama kawaida yenuUbalozini hawawezi kukosea tarehe kiasi hicho, eti February 25.
Hii itakuwa ni barua ya mchongo ya machawa wa Lumumba wakijaribu kuokoa jahazi baada ya UFISADI kujulikana
Broo,Ufisadi upi ndugu yangu. Au umeshaanza Ramli kama kawaida yenu
Acha kunifananisha mimi na watu wa ajabu ajabu hapa. Mimi ni mtu makini sana.Yani uyu Tundulisuu kafanya adi chawa Lucas kachanganyikiwa siku izi.
CCM ni chama safi Chenye kupinga vitendo vyote vya rushwa na ufisadi.Broo,
Kwani wewe ni mgeni?!!
Ccm na Ufisadi ni kama Samaki na Maji
Ndugu zangu Watanzania,
Ubalozi wa Saudi Arabia Nchini Tanzania umetoa tamko au maelezo ya kina au ufafanuzi wa kukanusha upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu mitandaoni.
Ambao wana lengo la kuchafua mahusiano mazuri na ya muda mrefu na yaliyoleta na kuzaa matokeo Chanya kati ya mataifa haya mawili.
Taarifa yenyewe ni hii hapa chini. imeandikwa kwa kiingereza . Kwa hiyo wewe kama hujui kiingereza ni bora upite kimya kimya kuliko kujifanya unaleta ujuaji wako wakati hujui kilichoandikwa.
Lakini pia kama kiingereza chako ni cha The The zisi iz au cha kukariri kariri ni bora pia na wewe ukatulia vizuri kabla ya kuanza kutoa maoni yako halafu ukaonekana kituko tu hapa.
Matusi hayahitajiki katika Taarifa hii maana hakuna taarifa ilipotoa matusi. Kwa hiyo mtu ukianza matusi hapa itakuwa ni dalili ya kutoelewa kilichoandikwa hapa.View attachment 3235781
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huyu Balozi wa Saudi Arabia wa hapa Tanzania ni Muongo, Ushahidi huu umemuumbua
Duh,
Hii barua imeandikwa tarehe 25/2/2025 hapo wamechemka "kweri kweri". UVCCM wanapambana kushona kiraka. Hili taifa limekuwa chaka la wanyang'anyi (robbers) hakuna kitu kitabaki hapa.tarehe ya barua haijafika nadhani ingekuwa vyema ungesubiri muda wa kuitoa hiyo taarifa kwa umma vinginevyo tuamini watu walipiga kwenye mshono ndiyo maana mmepoteana.