Dialogist
JF-Expert Member
- Apr 14, 2014
- 1,167
- 1,872
Kipaumbele Cha Kwanza ElimuFebruary 25, imefika lini?
Punguza uchawa mama
Kipaumbele Cha Pili Elimu
Kipaumbele Cha Tatu Elimu..
Sasa Ushawahi Waona Waarabu wana Hiki Kipaumbele??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipaumbele Cha Kwanza ElimuFebruary 25, imefika lini?
Punguza uchawa mama
This Press release from Saudi Arabia Embassy in Tanzania is completely rubbish.Ndugu zangu Watanzania,
Ubalozi wa Saudi Arabia Nchini Tanzania umetoa tamko au maelezo ya kina au ufafanuzi wa kukanusha upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu mitandaoni.
Ambao wana lengo la kuchafua mahusiano mazuri na ya muda mrefu na yaliyoleta na kuzaa matokeo Chanya kati ya mataifa haya mawili.
Taarifa yenyewe ni hii hapa chini. imeandikwa kwa kiingereza . Kwa hiyo wewe kama hujui kiingereza ni bora upite kimya kimya kuliko kujifanya unaleta ujuaji wako wakati hujui kilichoandikwa.
Lakini pia kama kiingereza chako ni cha The The zisi iz au cha kukariri kariri ni bora pia na wewe ukatulia vizuri kabla ya kuanza kutoa maoni yako halafu ukaonekana kituko tu hapa.
Matusi hayahitajiki katika Taarifa hii maana hakuna taarifa ilipotoa matusi. Kwa hiyo mtu ukianza matusi hapa itakuwa ni dalili ya kutoelewa kilichoandikwa hapa.View attachment 3235781
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwani Balozi wa Marekani aliyekuwa akitolea matamko hapa Nchini unafikiri alikuwa hajui kuwa kuna hayupo ni Marekani? Je unaweza kuniambia taarifa hiyo ya Balozi imevunja sheria ipi ya nchiThis Press release from Saudi Arabia Embassy in Tanzania is completely rubbish.
Ofisi za Ubalozi zipo Tanzania, Balozi mwenyewe yupo Tanzania na nchi ya Tanzania pia ina Viongozi wake wengi tu ambao wapo ndani ya nchi hii ya Tanzania, kwa Nini huyo Balozi wa Saudi Arabia atoe taarifa ya Utawala wa nchi hii wakati wenyewe Wahusika wenye Mamlaka yote kabisa ya kufanya hivyo wapo? Wasemaji wa Serikali ya Tanzania wako wapi hasa hadi huyo Balozi wa Saudi Arabia atoe taarifa za Nchi hii kwa niaba yao? Huyo Balozi wa Saudi Arabia amekuwa Msemaji wa Serikali ya Tanzania?
Sasa wewe uliyeelewa kiingereza essence ya hiyo tarehe ni nini? Ama ni kubwbwaja tuu.. Shame wewe na hilo li chama lakoInasikitisha nini. Au inasikitisha kwa wewe kutoelewa kiingereza
Ndugu zangu Watanzania,
Ubalozi wa Saudi Arabia Nchini Tanzania umetoa tamko au maelezo ya kina au ufafanuzi wa kukanusha upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu mitandaoni.
Ambao wana lengo la kuchafua mahusiano mazuri na ya muda mrefu na yaliyoleta na kuzaa matokeo Chanya kati ya mataifa haya mawili.
Taarifa yenyewe ni hii hapa chini. imeandikwa kwa kiingereza . Kwa hiyo wewe kama hujui kiingereza ni bora upite kimya kimya kuliko kujifanya unaleta ujuaji wako wakati hujui kilichoandikwa.
Lakini pia kama kiingereza chako ni cha The The zisi iz au cha kukariri kariri ni bora pia na wewe ukatulia vizuri kabla ya kuanza kutoa maoni yako halafu ukaonekana kituko tu hapa.
Matusi hayahitajiki katika Taarifa hii maana hakuna taarifa ilipotoa matusi. Kwa hiyo mtu ukianza matusi hapa itakuwa ni dalili ya kutoelewa kilichoandikwa hapa.View attachment 3235781
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tarehe 25 Feb Mbona haijafika bado? Hili kanusho ni la kubumbaNdugu zangu Watanzania,
Ubalozi wa Saudi Arabia Nchini Tanzania umetoa tamko au maelezo ya kina au ufafanuzi wa kukanusha upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu mitandaoni.
Ambao wana lengo la kuchafua mahusiano mazuri na ya muda mrefu na yaliyoleta na kuzaa matokeo Chanya kati ya mataifa haya mawili.
Taarifa yenyewe ni hii hapa chini. imeandikwa kwa kiingereza . Kwa hiyo wewe kama hujui kiingereza ni bora upite kimya kimya kuliko kujifanya unaleta ujuaji wako wakati hujui kilichoandikwa.
Lakini pia kama kiingereza chako ni cha The The zisi iz au cha kukariri kariri ni bora pia na wewe ukatulia vizuri kabla ya kuanza kutoa maoni yako halafu ukaonekana kituko tu hapa.
Matusi hayahitajiki katika Taarifa hii maana hakuna taarifa ilipotoa matusi. Kwa hiyo mtu ukianza matusi hapa itakuwa ni dalili ya kutoelewa kilichoandikwa hapa.View attachment 3235781
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Feb 25-2025 Kuna kitu hakipo sawaNdugu zangu Watanzania,
Ubalozi wa Saudi Arabia Nchini Tanzania umetoa tamko au maelezo ya kina au ufafanuzi wa kukanusha upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu mitandaoni.
Ambao wana lengo la kuchafua mahusiano mazuri na ya muda mrefu na yaliyoleta na kuzaa matokeo Chanya kati ya mataifa haya mawili.
Taarifa yenyewe ni hii hapa chini. imeandikwa kwa kiingereza . Kwa hiyo wewe kama hujui kiingereza ni bora upite kimya kimya kuliko kujifanya unaleta ujuaji wako wakati hujui kilichoandikwa.
Lakini pia kama kiingereza chako ni cha The The zisi iz au cha kukariri kariri ni bora pia na wewe ukatulia vizuri kabla ya kuanza kutoa maoni yako halafu ukaonekana kituko tu hapa.
Matusi hayahitajiki katika Taarifa hii maana hakuna taarifa ilipotoa matusi. Kwa hiyo mtu ukianza matusi hapa itakuwa ni dalili ya kutoelewa kilichoandikwa hapa.View attachment 3235781
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mkuu,This Press release from Saudi Arabia Embassy in Tanzania is completely rubbish.
Ofisi za Ubalozi zipo Tanzania, Balozi mwenyewe yupo Tanzania na nchi ya Tanzania pia ina Viongozi wake wengi tu ambao wapo ndani ya nchi hii ya Tanzania, kwa Nini huyo Balozi wa Saudi Arabia atoe taarifa ya Utawala wa nchi hii wakati wenyewe Wahusika wenye Mamlaka yote kabisa ya kufanya hivyo wapo? Wasemaji wa Serikali ya Tanzania wako wapi hasa hadi huyo Balozi wa Saudi Arabia atoe taarifa za Nchi hii kwa niaba yao? Huyo Balozi wa Saudi Arabia amekuwa Msemaji wa Serikali ya Tanzania?
Ni aibu pande la eneo la Tanganyika linachukuliwa bila uongozi wa juu kabisa wa serikali ya Tanzania kutoa taarifa, yaani nchi inategemea ubalozi wa kigeni kutoa taarifa kwa umma wa waTanzania
mbona ule mkataba hawakuwai kutoka na kutolea ufafanuz au hawakwepo ofisini ?Ndugu zangu Watanzania,
Ubalozi wa Saudi Arabia Nchini Tanzania umetoa tamko au maelezo ya kina au ufafanuzi wa kukanusha upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu mitandaoni.
Ambao wana lengo la kuchafua mahusiano mazuri na ya muda mrefu na yaliyoleta na kuzaa matokeo Chanya kati ya mataifa haya mawili.
Taarifa yenyewe ni hii hapa chini. imeandikwa kwa kiingereza . Kwa hiyo wewe kama hujui kiingereza ni bora upite kimya kimya kuliko kujifanya unaleta ujuaji wako wakati hujui kilichoandikwa.
Lakini pia kama kiingereza chako ni cha The The zisi iz au cha kukariri kariri ni bora pia na wewe ukatulia vizuri kabla ya kuanza kutoa maoni yako halafu ukaonekana kituko tu hapa.
Matusi hayahitajiki katika Taarifa hii maana hakuna taarifa ilipotoa matusi. Kwa hiyo mtu ukianza matusi hapa itakuwa ni dalili ya kutoelewa kilichoandikwa hapa.View attachment 3235781
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ofisi za Ubalozi zipo Tanzania, Balozi mwenyewe yupo Tanzania na nchi ya Tanzania pia ina Viongozi wake wengi tu ambao wapo ndani ya nchi hii ya Tanzania, kwa Nini huyo Balozi wa Saudi Arabia atoe taarifa ya Utawala wa nchi hii wakati wenyewe Wahusika wenye Mamlaka yote kabisa ya kufanya hivyo wapo? Wasemaji wa Serikali ya Tanzania wako wapi hasa hadi huyo Balozi wa Saudi Arabia atoe taarifa za Nchi hii kwa niaba yao? Huyo Balozi wa Saudi Arabia amekuwa Msemaji wa Serikali ya Tanzania?
Akiwa Kisiwani Zanzibar leo Jumatano Disemba 11, 2024 Wakati wa uzinduzi wa Rasimu ya Kwanza ya Dira 2050, Waziri Profesa Mkumbo amesema Vichocheo hivyo vina nafasi kubwa ya kuchochea kasi kwenye utekelezaji wa malengo mengine katika kuhakikisha kuwa dira 2050 inatekelezeka kikamilifu ndani ya muda wa miaka 25 ijayo.Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo amesema Dira ya maendeleo ya Taifa 2050 itatia mkazo zaidi kwenye Usafirishaji fungamanishi, Sayansi na Teknolojia, Utafiti na maendeleo, Mageuzi ya kidigitali pamoja na uimarishaji wa sekta ya Nishati ili kuhakikisha kuwa mambo hayo yanachochea Tija na ufanisi katika kufikiwa kwa malengo ya dira ya Maendeleo ya Taifa ya mwaka 2050.
Taarifa kwa ummma!Ndugu zangu Watanzania,
Ubalozi wa Saudi Arabia Nchini Tanzania umetoa tamko au maelezo ya kina au ufafanuzi wa kukanusha upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu mitandaoni.
Ambao wana lengo la kuchafua mahusiano mazuri na ya muda mrefu na yaliyoleta na kuzaa matokeo Chanya kati ya mataifa haya mawili.
Taarifa yenyewe ni hii hapa chini. imeandikwa kwa kiingereza . Kwa hiyo wewe kama hujui kiingereza ni bora upite kimya kimya kuliko kujifanya unaleta ujuaji wako wakati hujui kilichoandikwa.
Lakini pia kama kiingereza chako ni cha The The zisi iz au cha kukariri kariri ni bora pia na wewe ukatulia vizuri kabla ya kuanza kutoa maoni yako halafu ukaonekana kituko tu hapa.
Matusi hayahitajiki katika Taarifa hii maana hakuna taarifa ilipotoa matusi. Kwa hiyo mtu ukianza matusi hapa itakuwa ni dalili ya kutoelewa kilichoandikwa hapa.View attachment 3235781
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Unapojaribu ku edit , kumbuka kurekebisha tarehe kenge. usipotoshe watu hapa. Ubaloz unaandikaje barua in the future ta tarehe haijafika? punguza kukurupukaNdugu zangu Watanzania,
Ubalozi wa Saudi Arabia Nchini Tanzania umetoa tamko au maelezo ya kina au ufafanuzi wa kukanusha upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu mitandaoni.
Ambao wana lengo la kuchafua mahusiano mazuri na ya muda mrefu na yaliyoleta na kuzaa matokeo Chanya kati ya mataifa haya mawili.
Taarifa yenyewe ni hii hapa chini. imeandikwa kwa kiingereza . Kwa hiyo wewe kama hujui kiingereza ni bora upite kimya kimya kuliko kujifanya unaleta ujuaji wako wakati hujui kilichoandikwa.
Lakini pia kama kiingereza chako ni cha The The zisi iz au cha kukariri kariri ni bora pia na wewe ukatulia vizuri kabla ya kuanza kutoa maoni yako halafu ukaonekana kituko tu hapa.
Matusi hayahitajiki katika Taarifa hii maana hakuna taarifa ilipotoa matusi. Kwa hiyo mtu ukianza matusi hapa itakuwa ni dalili ya kutoelewa kilichoandikwa hapa.View attachment 3235781
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
archup.net