Ubalozi Wa Saudi Arabia Nchini Tanzania Watoa Maelezo ya Kina juu ya Upotoshaji unaoendelea Mitandaoni

Ubalozi Wa Saudi Arabia Nchini Tanzania Watoa Maelezo ya Kina juu ya Upotoshaji unaoendelea Mitandaoni

Ndugu zangu Watanzania,

Ubalozi wa Saudi Arabia Nchini Tanzania umetoa tamko au maelezo ya kina au ufafanuzi wa kukanusha upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu mitandaoni.

Ambao wana lengo la kuchafua mahusiano mazuri na ya muda mrefu na yaliyoleta na kuzaa matokeo Chanya kati ya mataifa haya mawili.

Taarifa yenyewe ni hii hapa chini. imeandikwa kwa kiingereza . Kwa hiyo wewe kama hujui kiingereza ni bora upite kimya kimya kuliko kujifanya unaleta ujuaji wako wakati hujui kilichoandikwa.

Lakini pia kama kiingereza chako ni cha The The zisi iz au cha kukariri kariri ni bora pia na wewe ukatulia vizuri kabla ya kuanza kutoa maoni yako halafu ukaonekana kituko tu hapa.

Matusi hayahitajiki katika Taarifa hii maana hakuna taarifa ilipotoa matusi. Kwa hiyo mtu ukianza matusi hapa itakuwa ni dalili ya kutoelewa kilichoandikwa hapa.View attachment 3235781

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwa hiyo hii hapa ni uzushi au ushuzi?

 
Bandari haijauzwa na wala hatuwezi kuuza bandari zetu na jambo hilo haliwezi kutokea kamwe hapa Nchini chini ya viongozi wetu wanaotokana na CCM
Wewe Chawa, unasema viongozi wenu hawawezi kuuza kwani ule mkataba wa bandari ya Bagamoyo uliofutwa na Magufuli haukufanywa na viongozi wenu?
Hii ni serikali ya kifisadi ikiongozwa na mama Abdul.😂😂
 
Wewe Chawa, unasema viongozi wenu hawawezi kuuza kwani ule mkataba wa bandari ya Bagamoyo uliofutwa na Magufuli haukufanywa na viongozi wenu?
Hii ni serikali ya kifisadi ikiongozwa na mama Abdul.😂😂
Embu weka hapa huo mkataba uliofutwa
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ubalozi wa Saudi Arabia Nchini Tanzania umetoa tamko au maelezo ya kina au ufafanuzi wa kukanusha upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu mitandaoni.

Ambao wana lengo la kuchafua mahusiano mazuri na ya muda mrefu na yaliyoleta na kuzaa matokeo Chanya kati ya mataifa haya mawili.

Taarifa yenyewe ni hii hapa chini. imeandikwa kwa kiingereza . Kwa hiyo wewe kama hujui kiingereza ni bora upite kimya kimya kuliko kujifanya unaleta ujuaji wako wakati hujui kilichoandikwa.

Lakini pia kama kiingereza chako ni cha The The zisi iz au cha kukariri kariri ni bora pia na wewe ukatulia vizuri kabla ya kuanza kutoa maoni yako halafu ukaonekana kituko tu hapa.

Matusi hayahitajiki katika Taarifa hii maana hakuna taarifa ilipotoa matusi. Kwa hiyo mtu ukianza matusi hapa itakuwa ni dalili ya kutoelewa kilichoandikwa hapa.View attachment 3235781

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Lucas hata wa Arabu unawatetea? Hakuna kitu, wa Arab ni mashetwani Kabisa
 
Wewe kiroboto wa mama Abdul acha uongo , kwanza tarehe 25 February haijafika.

Pili nimetembelea handle ya X ya ubalozi wa Saudia Arabia Tanzania hakuna barua yoyote.
 
Kwao Saudia wanadai wameinunuwa Bagamoyo port. Huku kwetu tunadai ni joint venture?!
WADANGANYIKA tuamini lipi?! Kama kawaida yetu, tutashabikia kiu CHAWA! Ila siku itakapogundulika tumepigwa kina kitila mkumbo na wenzake watakanusha?
Hovyo hovyo kabisa kabisa!
Umeisoma hiyo barua na kuielewa au lugha haipandi mdomoni
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ubalozi wa Saudi Arabia Nchini Tanzania umetoa tamko au maelezo ya kina au ufafanuzi wa kukanusha upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu mitandaoni.

Ambao wana lengo la kuchafua mahusiano mazuri na ya muda mrefu na yaliyoleta na kuzaa matokeo Chanya kati ya mataifa haya mawili.

Taarifa yenyewe ni hii hapa chini. imeandikwa kwa kiingereza . Kwa hiyo wewe kama hujui kiingereza ni bora upite kimya kimya kuliko kujifanya unaleta ujuaji wako wakati hujui kilichoandikwa.

Lakini pia kama kiingereza chako ni cha The The zisi iz au cha kukariri kariri ni bora pia na wewe ukatulia vizuri kabla ya kuanza kutoa maoni yako halafu ukaonekana kituko tu hapa.

Matusi hayahitajiki katika Taarifa hii maana hakuna taarifa ilipotoa matusi. Kwa hiyo mtu ukianza matusi hapa itakuwa ni dalili ya kutoelewa kilichoandikwa hapa.View attachment 3235781

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nani atawaamini waarabu?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ubalozi wa Saudi Arabia Nchini Tanzania umetoa tamko au maelezo ya kina au ufafanuzi wa kukanusha upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu mitandaoni.

Ambao wana lengo la kuchafua mahusiano mazuri na ya muda mrefu na yaliyoleta na kuzaa matokeo Chanya kati ya mataifa haya mawili.

Taarifa yenyewe ni hii hapa chini. imeandikwa kwa kiingereza . Kwa hiyo wewe kama hujui kiingereza ni bora upite kimya kimya kuliko kujifanya unaleta ujuaji wako wakati hujui kilichoandikwa.

Lakini pia kama kiingereza chako ni cha The The zisi iz au cha kukariri kariri ni bora pia na wewe ukatulia vizuri kabla ya kuanza kutoa maoni yako halafu ukaonekana kituko tu hapa.

Matusi hayahitajiki katika Taarifa hii maana hakuna taarifa ilipotoa matusi. Kwa hiyo mtu ukianza matusi hapa itakuwa ni dalili ya kutoelewa kilichoandikwa hapa.View attachment 3235781

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Mjitahidi kuficha upumbavu wenu hiyo barua ya lumumba imeandikwa tarehe 25 mwrzi feb wewe ulishafika tarehe hiyo hovyo kabisa🚮🚮🚮🚮
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ubalozi wa Saudi Arabia Nchini Tanzania umetoa tamko au maelezo ya kina au ufafanuzi wa kukanusha upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu mitandaoni.

Ambao wana lengo la kuchafua mahusiano mazuri na ya muda mrefu na yaliyoleta na kuzaa matokeo Chanya kati ya mataifa haya mawili.

Taarifa yenyewe ni hii hapa chini. imeandikwa kwa kiingereza . Kwa hiyo wewe kama hujui kiingereza ni bora upite kimya kimya kuliko kujifanya unaleta ujuaji wako wakati hujui kilichoandikwa.

Lakini pia kama kiingereza chako ni cha The The zisi iz au cha kukariri kariri ni bora pia na wewe ukatulia vizuri kabla ya kuanza kutoa maoni yako halafu ukaonekana kituko tu hapa.

Matusi hayahitajiki katika Taarifa hii maana hakuna taarifa ilipotoa matusi. Kwa hiyo mtu ukianza matusi hapa itakuwa ni dalili ya kutoelewa kilichoandikwa hapa.View attachment 3235781

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mwanzo, wa mvua! Ni, mawingu,kinachofuata!
Ukweli ni kwamba, Samia kauza bagamoyo port kwa wajomba zake Saudia,hawa kenge kilichowakera, ni kuvuja kwa taarifa mapema, hapa wanajifaragua tu, nguruwe poli hawa
 
Mwanzo, wa mvua! Ni, mawingu,kinachofuata!
Ukweli ni kwamba, Samia kauza bagamoyo port kwa wajomba zake Saudia,hawa kenge kilichowakera, ni kuvuja kwa taarifa mapema, hapa wanajifaragua tu, nguruwe poli hawa
Acha Ramli zako za kiganga wa kienyeji. Huna ushahidi halafu unapiga mdomo wako hapa
 
Bandari haijauzwa na wala hatuwezi kuuza bandari zetu na jambo hilo haliwezi kutokea kamwe hapa Nchini chini ya viongozi wetu wanaotokana na CCM
Hivi kwamfano, Nimeshindwa kulipa Kwa wakati Deni langu la BANK.
Je, Hawa Bank watanifanya Nini🙄
Hivi Deni linaweza kumfunga Mtu kweli?
Na hata wakinifunga, , , , Siku nikitoka si Deni lao Ndio linakuwa limeishia hapo?
Hebu Nipambanulieni wenzangu, Maana Nataka Nipige mkopo wa Nguvu sehemu Alafu silipi???😆
 
Back
Top Bottom