Ubalozi Wa Saudi Arabia Nchini Tanzania Watoa Maelezo ya Kina juu ya Upotoshaji unaoendelea Mitandaoni

Huyu Lucas Mwashambwa kama sio "bot", basi atakuwa ni binadamu ambaye mfumo wake wa ubongo haukukamilika kwenye uumbaji na ukuaji.

Haiwezekani kwa binadamu aliyekamilika akawa kama huyu jamaa.
 
Huyu Lucas Mwashambwa kama sio "bot", basi atakuwa ni binadamu ambaye mfumo wake wa ubongo haukukamilika kwenye uumbaji na ukuaji.

Haiwezekani kwa binadamu aliyekamilika akawa kama huyu jamaa.
Jibu hoja na siyo ujinga jinga tu. Umeielewa barua au ulikimbia shule na kwenda kuzurula mitaani
 
Jibu hoja na siyo ujinga jinga tu. Umeielewa barua au ulikimbia shule na kwenda kuzurula mitaani
Barua yenye tarehe za mbele imekosa "authenticity", nailewaje sasa!!??

Samahani kwa kukuwekea neno ambalo ni " above your common sense".
 
Mimi na kiingereza ni pete na chanda
Huwa wanasema Pete na kidole sio Pete na chanda! Au kama wataka kutumia chanda wafaa useme chanda chema huvikwa Pete!
Muktadha katika utumizi wa maneno ni jambo la muhimu sana hasa kwa walumbi wa lugha sio barubaru kama wewe.
 
Huwa wanasema Pete na kidole sio Pete na chanda! Au kama wataka kutumia chanda wafaa useme chanda chema huvikwa Pete!
Muktadha katika utumizi wa maneno ni jambo la muhimu sana hasa kwa walumbi wa lugha sio barubaru kama wewe.
Asante kwa Elimu ya bure
 
Mwashambwa ni box hawezi kuona na hii inatokana na kukurupuka kujibu allegations Kwa njia ya kutengeneza uongo zaidi!
Nilicholeta hapa ni sahihi na hata serikali imejibu hivyo bungeni na hata Saudi Arabia nayo imetoa video kukanusha uzushi huo
 
Embu acha Utani wako hapa weweπŸ˜„πŸ˜„ Tanzania ni salama Mikononi kwa mzalendo wa kweli Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan aliyejitoa na kujitolea kwa ajili ya ustawi wa Taifa na watanzania wote kwa ujumla wake.

Ndiyo maana nimesema siku wakianza kutuuza waanze na wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…