The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 1,967
- 4,267
Labda huyu ππ»ππ»ππ»anaweza kuwa abajitambua na yuko CCM kwa bahati mbaya tu. Lakini nyie kina Lucas Mwashambwa au Tlaatlaah, hii statement ya RC wa Kagera Hajat Fatma Mwassa inawahusu 100%...Usitake kulazimisha majibu yako na mtizamo wako na kile unachokitamani kiwe.
Ndugu, unampigia panzi kitaa ukitegemea atacheza tune ya muziki huo....
Haelewi huyo. Huyu jamaa au sijui ni bibie (Lucas Mwashambwa)ndiye "chawa mkuu wa huyo mama yao...
Watu wanajiita "Chawa" na kujigamba hivyo kuwa wao ni "chawa" tu inawezekana vipi wakawa binadamu kamili wenye uelewa aisee...?
Huyo jamaa Lucas Mwashambwa anaweza kuja na fulscap kadhaa za isha hapa akituaminisha kuwa vinyesi walivyojisaidia bwana zake huko CCM ni mikate toka Singapore. Ukimwambia hayo ni mavi sio mkate, atabaki kukushangaa na kukuzodoa tu...
Huyo ndiye chawa mkuu Lucas Mwashambwa alivyo. Fuatilia majibu yake ya hoja zetu humu, utagundua kuwa, hilo jamaa ni roboti fulani lisilofikiri wala kuwaza kama binadamu...
jikomboe kifikra. Muda bado unao.Usitake kulazimisha majibu yako na mtizamo wako na kile unachokitamani kiwe.
Jibu hoja na siyo ujinga jinga tu. Umeielewa barua au ulikimbia shule na kwenda kuzurula mitaaniHuyu Lucas Mwashambwa kama sio "bot", basi atakuwa ni binadamu ambaye mfumo wake wa ubongo haukukamilika kwenye uumbaji na ukuaji.
Haiwezekani kwa binadamu aliyekamilika akawa kama huyu jamaa.
Barua yenye tarehe za mbele imekosa "authenticity", nailewaje sasa!!??Jibu hoja na siyo ujinga jinga tu. Umeielewa barua au ulikimbia shule na kwenda kuzurula mitaani
Acha Uzushi wako hapa wewe.Bagamoyo ndiyo imeuzwa Hivyo Kwa waarabu
Huwa wanasema Pete na kidole sio Pete na chanda! Au kama wataka kutumia chanda wafaa useme chanda chema huvikwa Pete!Mimi na kiingereza ni pete na chanda
Mwashambwa ni box hawezi kuona na hii inatokana na kukurupuka kujibu allegations Kwa njia ya kutengeneza uongo zaidi!Tarehe 25/02/2025 haijafika.
Asante kwa Elimu ya bureHuwa wanasema Pete na kidole sio Pete na chanda! Au kama wataka kutumia chanda wafaa useme chanda chema huvikwa Pete!
Muktadha katika utumizi wa maneno ni jambo la muhimu sana hasa kwa walumbi wa lugha sio barubaru kama wewe.
Nilicholeta hapa ni sahihi na hata serikali imejibu hivyo bungeni na hata Saudi Arabia nayo imetoa video kukanusha uzushi huoMwashambwa ni box hawezi kuona na hii inatokana na kukurupuka kujibu allegations Kwa njia ya kutengeneza uongo zaidi!
Embu acha Utani wako hapa weweππ Tanzania ni salama Mikononi kwa mzalendo wa kweli Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan aliyejitoa na kujitolea kwa ajili ya ustawi wa Taifa na watanzania wote kwa ujumla wake.
Rais wetu ni mzalendo sana na hawezi kuuza Rasilimali zetu wala kuwauza watanzaniaNdiyo maana nimesema siku wakianza kutuuza waanze na wewe.