theHAVARD_product
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 289
- 192
Jana nilikuwa Natweet na ndugu yangu Chahali,Kuhusu Ubalozi wa Tanzania RSA,na kuniambia Urasimu wa ubalozi huo sikuamini! Na Ubalozi unasema haumjui Msanii NGWAIR(jana)!!
LEO, Unashindwa hata kusaidia taratibu za kumsafirisha!!
Msanii kama huyu 4MIL Ubalozi unashindwa kutoa!! Mpaka watu waanze kutembeza BAKULI! very Sad.
Sent from my Windows Phone
LEO, Unashindwa hata kusaidia taratibu za kumsafirisha!!
Msanii kama huyu 4MIL Ubalozi unashindwa kutoa!! Mpaka watu waanze kutembeza BAKULI! very Sad.
Sent from my Windows Phone