Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
1. Kuna ndugu alifaliki SA back then, yani tunajua Mefariki kwa kutumiwa picha na anatafutwa ajulikani for a month and so, gari lake likekutwa limepata ajali. mwili aupo, damu tu. Tulihustle sana balozi bila bila. Amna hata coperation.
Any way.
TUKIO YA LEO YANGA KUKWAMA: same same senerio amini kutakuwa na more issues. Ile balozi watu wapo na issue zao sio kufanya kazi.
Yanga watakuja kusimulia. Makamba afanye analysis
Any way.
TUKIO YA LEO YANGA KUKWAMA: same same senerio amini kutakuwa na more issues. Ile balozi watu wapo na issue zao sio kufanya kazi.
Yanga watakuja kusimulia. Makamba afanye analysis