Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Wewe na Maghayo ni wapwa?Hiyo habari ililetwa humu jamii forum.
Mimi niko Wanging'ombe mkoa wa Njombe.
Sekondari nilisoma Mara , Oswald Mang'ombe sec school.
Moja ya rafiki zangu humu JF ni Maghayo aliyeko Denmark kunakosifika kwa ufugaji wa ng'ombe .
Ila yeye anatokea Kilimanjaro,Boma ng'ombe