Ubalozi wa Tanzania US ni vituko tupu

Ubalozi wa Tanzania US ni vituko tupu

Hizi ni fikra zako ukweli ni kwamba jumuia ya dallas imejitambulisha toka 2009. Imesajiliwa rasmi, viongozi wametoa mawasiliano yao balozini. Isitoshe wametuma list ya watu zaidi ya 120 wanataka passport tena wiki jana tu. Wamefanya kila kitu hivyo hakuna kisingizio. USA kuna jumuia za Watanzania nyingi sana ni nchi kubwa hivyo ukitoa mifano toa mifano kamili na uwe na facts.
Mabalozi wote wana muongozo wa kufanya kazi kutoka wizarani awakurupuki tu na kujiamulia. Ndio maana kama swala lipo juu yao na la msingi limeibuliwa watakwambia tutawarudishia wizarani au taasisi husika walifanyie kazi.

Clearly kwa maelezo yako Dallas kuna jumuiya ya watanzania, but then zipo ngapi? na viongozi wanaojulika ni wangapi.

Kuorodhesha jumuiya ubalozini ata mimi naweza kutoka mji wowote na ubalozi isijue kiongozi wa jumuiya zote ni yupi kama kuna jumuiya kadhaa kwenye mji mmoja.

So wao wana contact wote na kuwapa rank sawa kama kuna jumuiya nyingi sometimes wanatoa mwaliko kwa watanzania wote ili kuondoa migongano ya favouritism.

Hoja za US haziko mbali na nchi nyingine yeyote.

Swala la passport US ina states ngapi na cities ngapi zinazokaa watanzania? Unataka ubalozi ufanye kazi ya kuzunguka nchi nzima na watu wanaomba passport kwa muda wanaojisikia wao hiyo manpower wanayo? halafu who’s to cover those costs.

Ni hivi from what I gather viongozi wa jumuiya yenu awajaongea na ubalozi kupewa ufafanuzi kuhusu maswala ya passport na kama wamefanya ivyo they haven’t shared that info with the group.

Ubalozi ahusiki na maswala ya passport ilo ni jukumu la uhamiaji pekee Tanzania. Wao ni kama stop centre tu ya finger print na kutuma info.

Mikakati yote ya wao watakavyofanya kazi ugenini ni maelekezo kutoka uhamiaji upande wa Tanzania. Ata siku ukipewa appointment ukienda ubalozini system ikiwa down wanaelewa nauli yako, usumbufu wa kulala ikibidi na mengineo; lakini sytem ipo controlled Tanzania sio wao.

Hayo malalamiko wanapokea sana na washawarudishia wahusika, ila wenyewe Tanzania are not bothered and there is nothing the embassy can do.

Badala ya kudhania ubalozi unajifanyia mambo tu muwe mnapiga simu mpewe maelezo ya kina na wahusika kwenye hoja zenu sio kutoa lawama za jumla jumla.
 
Kwani kwasasa balozi wetu ninan uko?
Huyu hapa. Anaitwa Elsie Kanza

H_E_Elsie_Sia_Kanza_Phd.jpg
 
Tunasikitika ubalozi wetu wa Tanzania US unejaa wafanyakazi wasiojua wanachofanya. Ili watu waelewe hili nimewapa barua mbili hapa. Barua yenye kumbukumbu namba moja imetumwa kwenye miji miwili tofauti. Ukipiga simu wanasema Dallas eti hawaendi. Cha kushangaza vilevile pamoja na viongozi wa Dallas kuwepo kwenye list ya viongozi wa jumuia walipata barua kwenye mitandao.

Pamoja na kusema kwenye simu sasa kwamba hawaji Dallas kwenye website ya ubalozi wanasema watakuja Dallas kwenye Gallas hotelini. Baada ya viongozi kuona kwenye mitandao wakafikiri watanzania na balozi anakuja kushererekea sikukuu wa uhuru wa miaka 60 na Watanzania. Cha ajabu baada ya viongozi kuhoji waliwaruhusu viongozi wanne tu kuwepo kwenye gala hii tarehe 3. Ingawa ubalozi huohuo sasa unasema hautaweza kuja tena kuwasaidia Watanzania kupata passport zao hapa Dallas,Texas. Cha kujiuliza ni nani anaenda kwenye gala? gharama ni za nani? kwanini sasa wanasema hawawezi kukutana na watanzania?. Hata kama ni wafanya bishara ni kwanini watanzania wasiambiwe wazi ili wahimize wafanyabiashara kuwepo kwenye huu mkutano na wameweka siri mpaka mwenyekiti wa jumuia apige simu. Cha ajabu kingine hawajui tofauti ya jimbo na mji!


View attachment 2027518

View attachment 2027519



Hii hapa watanzania wamepigwa stop hawaja alikwa kabisa! baada ya kelele nyingi wakaruhusu mwenyekiti na wengine wawili lakini eti ni sherehe za miaka 60!!

The Embassy of Tanzania in the USA would like to cordially invite you to the inaugural Tanzania-USA corporate GALA dinner in honor of the 60th Anniversary of independence for Tanzania mainland , as well as the 60th Anniversary of Diplomatic relations between Tanzania and the USA.

VENUE: OMNI DALLAS HOTEL , 555 S Lamar St. Dallas, Tx 75202

DATE: Friday, 3 December 2021.

For more Information please visit : Tanzania at 60 | Tanzania Imara, Kazi iendelee
Mama kajaza vilaza wa kizanzibari kila mahali, awamu ya tano ilikuwa ya wasukuma na kanda ya ziwa, awamu hii ni ya wazanzibari na waislam
 
Mama kajaza vilaza wa kizanzibari kila mahali, awamu ya tano ilikuwa ya wasukuma na kanda ya ziwa, awamu hii ni ya wazanzibari na waislam
Tena aliyesaini barua Anaitwa ....S.Hassan
Kwa haraka haraka anaweza kuwa mwanafamilia Namba 1 ya Tzie.
 
Tunasikitika ubalozi wetu wa Tanzania US unejaa wafanyakazi wasiojua wanachofanya. Ili watu waelewe hili nimewapa barua mbili hapa. Barua yenye kumbukumbu namba moja imetumwa kwenye miji miwili tofauti. Ukipiga simu wanasema Dallas eti hawaendi. Cha kushangaza vilevile pamoja na viongozi wa Dallas kuwepo kwenye list ya viongozi wa jumuia walipata barua kwenye mitandao.

Pamoja na kusema kwenye simu sasa kwamba hawaji Dallas kwenye website ya ubalozi wanasema watakuja Dallas kwenye Gallas hotelini. Baada ya viongozi kuona kwenye mitandao wakafikiri watanzania na balozi anakuja kushererekea sikukuu wa uhuru wa miaka 60 na Watanzania.

Cha ajabu baada ya viongozi kuhoji waliwaruhusu viongozi wanne tu kuwepo kwenye gala hii tarehe 3. Ingawa ubalozi huohuo sasa unasema hautaweza kuja tena kuwasaidia Watanzania kupata passport zao hapa Dallas,Texas. Cha kujiuliza ni nani anaenda kwenye gala? gharama ni za nani? kwanini sasa wanasema hawawezi kukutana na watanzania?

Hata kama ni wafanya bishara ni kwanini watanzania wasiambiwe wazi ili wahimize wafanyabiashara kuwepo kwenye huu mkutano na wameweka siri mpaka mwenyekiti wa jumuia apige simu. Cha ajabu kingine hawajui tofauti ya jimbo na mji!


View attachment 2027518

View attachment 2027519



Hii hapa watanzania wamepigwa stop hawaja alikwa kabisa! baada ya kelele nyingi wakaruhusu mwenyekiti na wengine wawili lakini eti ni sherehe za miaka 60!!

The Embassy of Tanzania in the USA would like to cordially invite you to the inaugural Tanzania-USA corporate GALA dinner in honor of the 60th Anniversary of independence for Tanzania mainland , as well as the 60th Anniversary of Diplomatic relations between Tanzania and the USA.

VENUE: OMNI DALLAS HOTEL , 555 S Lamar St. Dallas, Tx 75202

DATE: Friday, 3 December 2021.

For more Information please visit : Tanzania at 60 | Tanzania Imara, Kazi iendelee
Tuyaache haya ya ubalozini ni mbali sana.
Tuje hapa nyumbani, ni mara ngapi unaenda ofisi ya umma unapewa jibo boss yahupo, au file halionekani? Kumbukeni enzi zile za wastaafu kufuatilia majadalada ili wapewe mafao yao.

Kuna nyakati ulikuwa unafika ofisini unakuta wahusika/mhusika kaenda kunywa chai. Kwa ujumla mfumo wa utumishi wa umma unahitaji kuwa revamped.

Wapo watumishi wa umma wanafanya kazi na kazi zao zinaonekana, ila kuna ofisi zingine, labda waje malaika toka mbinguni wasaidie mambo yaende.

Poleni mlio nje ya Tanzania, na tuendelee na Tanzania yetu; ipo siku tutafika, ila isiwe tunafika tumechoka sana au tumechelewa sana.
 
Nepotism. Unampeleka mtoto wa dada na shangazi ubalozini what do you expect. kingine ni budget yao ndogo sana. Ofisi zetu nyingi za ubalozi unakuta zimechoka ile mbaya mpaka unaona aibu. I dont know what is wrong with us. Ninafikiri kuna makosa yalifanyika hapo mwanzoni kwa kutokuwa na foundation nzuri kama taifa. Hii nchi inhitaji mapinduzi ya kiakili, kiuchumi na kisiasa na nachelea sijui tutapata wapi hao watu maana wote vichwa vyetu vinafanana tu kwa sasa. Ukiangalia viongozi tulio nao kwa sasa sijui wanatupeleka wapi. Mama alitaka kuonyesha njia lakini ninaona mshumaaa ukimsimikia kwa haraka sana. Lakini Bado tutaendelea kumwomba Mungu uenda akatupa viongozi wenye hekima ya uongozi waweze kututoa hapa tulipo.
 
Nimewahi kupeleka kesi moja hivi ya kudhurumiwa na kampuni moja ya nchi hiyo hiyo ambapo Mimi nilipeleka kesi hiyo ili nipate msaada zaidi!!!

Ndipo nilipoelewa Ni kwa Nini umasikini wa kitumwa Ni vigumu kuondokana nao

Mpaka leo hakujawahi kupatikana jibu na ukiwapigia kufahamu Ni wapi suala Hilo limefika, smu zenyewe huita tuu bila kupokelewa

U$ 17,000+ zimepotea hivihivi, sjui wamekulaga wao
.?
 
Siri usio ijua mabalizi wakipangiwa kwenda sehemu mara nyingi wanaajiri watoto waonau ndugu zao ambao hawana knowld6 hata kidogo ya wanachofanya.

Kuhusu watu wa kuja kwenye gala usishangae ndio mfumo wa huu utawala hata kwenye musafara ya chief wamo watu ambao wako humu sio watumishi wa serikali lakini wamewekwa kama wafanya biashara huku hata biashara qanazofanha hazieleweki

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Hao kitaalamu wanaitwa "chawa pro"
 
balozi zetu zote ni vituko, tofauti kabisa na balozi za wenzetu. unajua kwamfano mmarekani akija hapa tz akaamua kutembelea ubalozi wake, treatment anayopewa ni nzuri ila mbongo ukiwa nje ukatembelea ubalozi wetu wowote ule, cha kwanza wanakuona kama umeenda pale kuomba msaada labda maisha yamekupiga, wanaanza kujidistance awali kabisa wakikuona.

niliwahi kutembelea ubalozi mmoja hivi tena nikiwa mwanafunzi,nina hela yangu na sikwenda pale kuomba hela ila kuongewa tu mhuri kwenye nyaraka fulani ambayo ilitakiwa nirudi nigongewe bongo, nikasema niende tu ubalozini hapa wanigongee...nilihisi kama mtu akipata tatizo bora ukimbilie ubalozi wa mzungu kuliko ubalozi wao.

hawa madiplomat wetu wanatakiwa wafundishwe kabla hawajaenda huko wajue wameenda huko kwa kodi zetu na ndizo zinazowalipa mishahara. over.
😂😂😂😂😂😂 Yaani wakikuona tuuu wabajidistance.Hii ni hatari kubwa Sana asee tena ugeniniii
 
Siyo USA tu. Ni dunia nzima. Sisi ambao tumeishi nchi mbalimbali ughaibuni tunalijua hilo. Wala huwa sina mpango nao. Nikiwa nje wala huwa sitaki kufahamiana nao. Hawana msaada wowote. Wapo kwa ajili ya kujihudumia wenyewe na familia zao tu.
Duuuub 😰😰😰😰 hatari tupu
 
Siyo USA tu; balozi nyingi sana za Tanzania duniani ni za hovyo tu. Niliwahi kutembelea ofisi fulani ya ubbalozi wetu nikakutana na mtu aliyetaka nitambue kuwa yeye ni "mtu mkubwa" niongee naye kwa heshima! Kewa heshima yangu na kwa uungwana nikamwambia kuwa nilipita kusalimia tu kwa vile niliona bendera ya Tanzania huku ughaibuni, ila bado niko kazinii: kwa heri nitatafuta siku nyingine kutembelea wakati siko kazini!
 
balozi zetu zote ni vituko, tofauti kabisa na balozi za wenzetu. unajua kwamfano mmarekani akija hapa tz akaamua kutembelea ubalozi wake, treatment anayopewa ni nzuri ila mbongo ukiwa nje ukatembelea ubalozi wetu wowote ule, cha kwanza wanakuona kama umeenda pale kuomba msaada labda maisha yamekupiga, wanaanza kujidistance awali kabisa wakikuona.

niliwahi kutembelea ubalozi mmoja hivi tena nikiwa mwanafunzi,nina hela yangu na sikwenda pale kuomba hela ila kuongewa tu mhuri kwenye nyaraka fulani ambayo ilitakiwa nirudi nigongewe bongo, nikasema niende tu ubalozini hapa wanigongee...nilihisi kama mtu akipata tatizo bora ukimbilie ubalozi wa mzungu kuliko ubalozi wao.

hawa madiplomat wetu wanatakiwa wafundishwe kabla hawajaenda huko wajue wameenda huko kwa kodi zetu na ndizo zinazowalipa mishahara. over.
Nilishaujua huo ubalozi.....Kuna dogo aliwahi kwenda kujisalimisha ubalozi wa UK in the name of Common Wealth na akasaidiwa.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom