Ubalozi wa Ufaransa waitembea JamiiForums

Ubalozi wa Ufaransa waitembea JamiiForums

Leo Agosti 2, 2024, JamiiForums (JF) imepata ugeni kutoka Ubalozi wa Ufaransa ukiongozwa na Naibu Balozi Axel Guillon ambaye amekutana na kufanya mazungumzo na Uongozi pamoja na Watendaji wa JF

Guillon amepata nafasi kujionea jinsi JF inavyoendesha shughuli zake pamoja na kujadiliana na Uongozi juu ya namna ya kuimarisha na kuendeleza ushirikiano wa Kimkakati kati ya pande zote mbili

View attachment 3059872View attachment 3059868View attachment 3059869View attachment 3059870View attachment 3059871
👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
 
Back
Top Bottom