macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Unene siyo mzuri. Ni Bongo tu ambako watu wanaendekeza unene. Au na wewe ni mnene?Kwahiyo Max ndio amegoma kabisa kunenepa? Ok
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unene siyo mzuri. Ni Bongo tu ambako watu wanaendekeza unene. Au na wewe ni mnene?Kwahiyo Max ndio amegoma kabisa kunenepa? Ok
Sio lazima awe mnene bhana,. Kuna mwili flani tu hivi wa hela,. Asa mtu kanyooka namna hiyo mmmh🤔Unene siyo mzuri. Ni Bongo tu ambako watu wanaendekeza unene. Au na wewe ni mnene?
njoo pmNimetamani kufanya kazi jamii forum. One-day yes
unene haufai dogo. nyie ndio mnatapeliwa kwa kudhani mwili mnene ni afisa mipango.Kwahiyo Max ndio amegoma kabisa kunenepa? Ok
Hamna bhana,. Kuna wembamba na kuna wembamba wa max😃🙌🙌unene haufai dogo. nyie ndio mnatapeliwa kwa kudhani mwili mnene ni afisa mipango.
sasa una utani na maxence. nimtag nikuuzie kesi? 😂Hamna bhana,. Kuna wembamba na kuna wembamba wa max😃🙌🙌
unataka kusema nini 🤭Sio lazima awe mnene bhana,. Kuna mwili flani tu hivi wa hela,. Asa mtu kanyooka namna hiyo mmmh🤔
Mwili wa fedha ndiyo mbaya sana. Wacha awe hivyo tu, anapendeza.Sio lazima awe mnene bhana,. Kuna mwili flani tu hivi wa hela,. Asa mtu kanyooka namna hiyo mmmh🤔
Unataka nilimwe ban nyingine tena?,. Nionee ruhuma🥹🥲sasa una utani na maxence. nimtag nikuuzie kesi? 😂
Haya buana sawaMwili wa fedha ndiyo mbaya sana. Wacha awe hivyo tu, anapendeza.
Hamna nimewaza tu kwa sautiunataka kusema nini 🤭
👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻Leo Agosti 2, 2024, JamiiForums (JF) imepata ugeni kutoka Ubalozi wa Ufaransa ukiongozwa na Naibu Balozi Axel Guillon ambaye amekutana na kufanya mazungumzo na Uongozi pamoja na Watendaji wa JF
Guillon amepata nafasi kujionea jinsi JF inavyoendesha shughuli zake pamoja na kujadiliana na Uongozi juu ya namna ya kuimarisha na kuendeleza ushirikiano wa Kimkakati kati ya pande zote mbili
View attachment 3059872View attachment 3059868View attachment 3059869View attachment 3059870View attachment 3059871
Alafu mbona waajiriwa wengi ni wanawake.ajira hapo zinapatikana vipi ? mbona hatujawahi kuona zikitangazwa
Huko ndio mnakotangaza matangazo ya kazi JF? Au unataka unipe connection boss?njoo pm
CommitmentAlafu mbona waajiriwa wengi ni wanawake.