Dede 01
JF-Expert Member
- May 12, 2024
- 1,182
- 2,248
Hata kama ukichunguza vizuri,hao wanawake wamejaliwa rangi na miili.Commitment
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama ukichunguza vizuri,hao wanawake wamejaliwa rangi na miili.Commitment
Hahahaaa itakua ndio culture ya kampuni... si unajua kila kampuni iko na utamaduni wake.Hata kama ukichunguza vizuri,hao wanawake wamejaliwa rangi na miili.
Au sio, ila nahisi hao ndo wanamkondesha Melo.Hahahaaa itakua ndio culture ya kampuni... si unajua kila kampuni iko na utamaduni wake.
Safi sana. Lakini kwanini mnashindwa kuwa makini kwenye vitu vidogo vidogo. Hata kichwa cha Habari mnakosea kuandika, kwani mnakimbilia wapi na hakuna mtu wa kukagua kabla hamjapost?Leo Agosti 2, 2024, JamiiForums (JF) imepata ugeni kutoka Ubalozi wa Ufaransa ukiongozwa na Naibu Balozi Axel Guillon ambaye amekutana na kufanya mazungumzo na Uongozi pamoja na Watendaji wa JF
Guillon amepata nafasi kujionea jinsi JF inavyoendesha shughuli zake pamoja na kujadiliana na Uongozi juu ya namna ya kuimarisha na kuendeleza ushirikiano wa Kimkakati kati ya pande zote mbili
View attachment 3059872View attachment 3059868View attachment 3059869View attachment 3059870View attachment 3059871
Hahahaaa unataka kusemaje mkuu.Au sio, ila nahisi hao ndo wanamkondesha Melo.
Mpaka boss kakwambia uache ukorofi 😁🙌
CookieHuyo aliyevaa suruali na top ya black na miwani anaitwa nani mbona mzuri hivyooo
Kazi imesimama sana hiyoHuyo aliyevaa suruali na top ya black na miwani anaitwa nani mbona mzuri hivyooo
Wahuni mlinichoma kwa boss 😂Mpaka boss kakwambia uache ukorofi 😁🙌
Mengine hayatuhusu.Hahahaaa unataka kusemaje mkuu.
Nisalimieni huyo aliyevaa top ya kijani.Leo Agosti 2, 2024, JamiiForums (JF) imepata ugeni kutoka Ubalozi wa Ufaransa ukiongozwa na Naibu Balozi Axel Guillon ambaye amekutana na kufanya mazungumzo na Uongozi pamoja na Watendaji wa JF
Guillon amepata nafasi kujionea jinsi JF inavyoendesha shughuli zake pamoja na kujadiliana na Uongozi juu ya namna ya kuimarisha na kuendeleza ushirikiano wa Kimkakati kati ya pande zote mbili
View attachment 3059872View attachment 3059868View attachment 3059869View attachment 3059870View attachment 3059871
Namkuba"RI" kichizi yani, nikijipata tu namuibukia mjengoni mwaka huu huu kufichua yaliyo Moyoni. Kama ndo huyo kwe"RI"Huyo bila shaka ni Cookie
Hao wasije tuaribia jf yetu ..siwaamini wazungu kabisa .washaona jf inazid kua na ushawishi .nitoe rai wawe making wasije tumia jukwaa vibaya kueneza mambo yao ya upindeLeo Agosti 2, 2024, JamiiForums (JF) imepata ugeni kutoka Ubalozi wa Ufaransa ukiongozwa na Naibu Balozi Axel Guillon ambaye amekutana na kufanya mazungumzo na Uongozi pamoja na Watendaji wa JF
Guillon amepata nafasi kujionea jinsi JF inavyoendesha shughuli zake pamoja na kujadiliana na Uongozi juu ya namna ya kuimarisha na kuendeleza ushirikiano wa Kimkakati kati ya pande zote mbili
View attachment 3059872View attachment 3059868View attachment 3059869View attachment 3059870View attachment 3059871