Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Kwa kweli nimetiwa moyo na weledi, haraka, na utendaji ulioweza kufuatiĺia Hati ya kusafiria ya mdogo wangu Mange aka Damdogo. Licha ya kuchelewa kurenew lakini mambo ya ndani wameweza kushughulikia Hati yake kwa haraka.
Na mimi nilishakamilisha kila kitu ili kupatiwa Hati yangu ya kusafiria ili nije kuungana na Watanzania wenzangu kujenga nchi yetu.
Nilikamilisha taratibu zote tangu Novemba 2019. Miaka miwili kamili imepita bila kupatiwa Hati hiyo.
Natanguliza shukrani kama watalishughulikia na hili...kwa weledi uleule kama kwa damdogo.
Ntashukuru
Na mimi nilishakamilisha kila kitu ili kupatiwa Hati yangu ya kusafiria ili nije kuungana na Watanzania wenzangu kujenga nchi yetu.
Nilikamilisha taratibu zote tangu Novemba 2019. Miaka miwili kamili imepita bila kupatiwa Hati hiyo.
Natanguliza shukrani kama watalishughulikia na hili...kwa weledi uleule kama kwa damdogo.
Ntashukuru