Ubalozi Wetu DC...Pasipoti Yangu...

Ubalozi Wetu DC...Pasipoti Yangu...

Mange ni lazima awe very careful kwani kuwa mitusi aliyotukana watu akikurupuka kurudi tu itakula kwake!! Amewakwaza wengi ambao bado wako kwenye natasi nyeti za maamuzi!!! Kumbuka Hangaya kasema haingilii mahakama!
 
Duh hii ndio diplomasia ya kidoplomatic..., tashangaa kama pasi yako hautaipata ndani ya wiki hii...., wengine wajifunze kutoka kwako yaani unasifia kazi nzuri alafu unakumbushia uozo uliofanyika kwa muda alafu unakumbushia / kuomba uozo huo urekebishwe...,

Anyway Karibu Bongo ingawa Juzi ni afadhari ya kesho mambo huku jua la utosi...,
Ngoja nikukaribishe na hii classic (Bongo haijabadilika bado yanatukuta wazee wenzangu)

 
Kwa kweli nimetiwa moyo na weledi, haraka, na utendaji ulioweza kufuatiĺia Hati ya kusafiria ya mdogo wangu Mange aka Damdogo. Licha ya kuchelewa kurenew lakini mambo ya ndani wameweza kushughulikia Hati yake kwa haraka.

Na mimi nilishakamilisha kila kitu ili kupatiwa Hati yangu ya kusafiria ili nije kuungana na Watanzania wenzangu kujenga nchi yetu.

Nilikamilisha taratibu zote tangu Novemba 2019. Miaka miwili kamili imepita bila kupatiwa Hati hiyo.

Natanguliza shukrani kama watalishughulikia na hili...kwa weledi uleule kama kwa damdogo.

Ntashukuru
Dah, kwahiyo licha ya jitihada zako kubwa za kumtetea Shujaa Mwendazake bado hakuwezesha upatikanaji wa hati yako ya kusafiri? 🙄 Someone told me Mwendazake alikuwa mahiri sana wa ku-use then abuse people 😔
 
Mzee Mwanakijiji ongeza jitihada za kufungua nyuzi za kumsifia Mama,wewe sifia,imba imba anaupiga mwingi,hatimae watakupa passport na kajikazi ka kuelekea 2025!!!

Mange wa sasa ni chawa wa Mama na CCM,2025 ndio ataonekana zaidi kazini,kwa sasa anapasha pasha tu!!
 
Dah, kwahiyo licha ya jitihada zako kubwa za kumtetea Shujaa Mwendazake bado hakuwezesha upatikanaji wa hati yako ya kusafiri? 🙄 Someone told me Mwendazake alikuwa mahiri sana wa ku-use then abuse people 😔

Vipi na wewe ule mgao wa kuipigia CCM kampeni 2015 walikulipa?!!
 
Kwa kweli nimetiwa moyo na weledi, haraka, na utendaji ulioweza kufuatiĺia Hati ya kusafiria ya mdogo wangu Mange aka Damdogo. Licha ya kuchelewa kurenew lakini mambo ya ndani wameweza kushughulikia Hati yake kwa haraka.

Na mimi nilishakamilisha kila kitu ili kupatiwa Hati yangu ya kusafiria ili nije kuungana na Watanzania wenzangu kujenga nchi yetu.

Nilikamilisha taratibu zote tangu Novemba 2019. Miaka miwili kamili imepita bila kupatiwa Hati hiyo.

Natanguliza shukrani kama watalishughulikia na hili...kwa weledi uleule kama kwa damdogo.

Ntashukuru

Wanataka kuwasafisha baada ya jana kutoa topic ya madudu ya ubalozi
 
Shida wewe hujasimama waziwazi kuponda upinzani nakumuunga mkono Samia au kumponda hayati magufuri wazi wazi nakumuunga mkono Samia hivyo hatuwezi kukupa hiyo hati.Kama ungekuwa umwungana na kigogo kuoambana na hayati magufuri ..tungekupa.Tunaomba ufuate njia alizotumia mage
Kweli asee
 
Siku ile Chief Hangaya alivyomuona Mange nakusema ‘nimefurahi kukuona’ watu wa ubalozi walisikia na sasa wamejiongeza kumhudumia haraka haraka.
 
Back
Top Bottom