Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Usikariri kijana kwamba watu wote walioko nje wanabeba boksiNa kubeba mabox ni kerooo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikariri kijana kwamba watu wote walioko nje wanabeba boksiNa kubeba mabox ni kerooo sana
Uvccm wote ni wabeba mabox na kuogesha vikongweUsikariri kijana kwamba watu wote walioko nje wanabeba boksi
Dah, kwahiyo licha ya jitihada zako kubwa za kumtetea Shujaa Mwendazake bado hakuwezesha upatikanaji wa hati yako ya kusafiri? 🙄 Someone told me Mwendazake alikuwa mahiri sana wa ku-use then abuse people 😔Kwa kweli nimetiwa moyo na weledi, haraka, na utendaji ulioweza kufuatiĺia Hati ya kusafiria ya mdogo wangu Mange aka Damdogo. Licha ya kuchelewa kurenew lakini mambo ya ndani wameweza kushughulikia Hati yake kwa haraka.
Na mimi nilishakamilisha kila kitu ili kupatiwa Hati yangu ya kusafiria ili nije kuungana na Watanzania wenzangu kujenga nchi yetu.
Nilikamilisha taratibu zote tangu Novemba 2019. Miaka miwili kamili imepita bila kupatiwa Hati hiyo.
Natanguliza shukrani kama watalishughulikia na hili...kwa weledi uleule kama kwa damdogo.
Ntashukuru
Dah, kwahiyo licha ya jitihada zako kubwa za kumtetea Shujaa Mwendazake bado hakuwezesha upatikanaji wa hati yako ya kusafiri? 🙄 Someone told me Mwendazake alikuwa mahiri sana wa ku-use then abuse people 😔
Ngurumo bado hana uhakika, anafikiri masalia ya Mzilankende bado yapo.
Kwa kweli nimetiwa moyo na weledi, haraka, na utendaji ulioweza kufuatiĺia Hati ya kusafiria ya mdogo wangu Mange aka Damdogo. Licha ya kuchelewa kurenew lakini mambo ya ndani wameweza kushughulikia Hati yake kwa haraka.
Na mimi nilishakamilisha kila kitu ili kupatiwa Hati yangu ya kusafiria ili nije kuungana na Watanzania wenzangu kujenga nchi yetu.
Nilikamilisha taratibu zote tangu Novemba 2019. Miaka miwili kamili imepita bila kupatiwa Hati hiyo.
Natanguliza shukrani kama watalishughulikia na hili...kwa weledi uleule kama kwa damdogo.
Ntashukuru
Sasa kama unatoka huko nani ataendelea kubeba mabox na kuwaogesha wazee wetu?
Umeonaeee?Namshangaa sana,kazi huku hakuna
Wanataka kuwasafisha baada ya jana kutoa topic ya madudu ya ubalozi
Kweli aseeShida wewe hujasimama waziwazi kuponda upinzani nakumuunga mkono Samia au kumponda hayati magufuri wazi wazi nakumuunga mkono Samia hivyo hatuwezi kukupa hiyo hati.Kama ungekuwa umwungana na kigogo kuoambana na hayati magufuri ..tungekupa.Tunaomba ufuate njia alizotumia mage