Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marekani kuna demokrasia na wanajitambua na kufuata sheria hawana shida yoyote wale ni ma-papa wa demokrasia duniani tunapaswa kuwasikiliza na kuwaacha watusimamie manake bado wachanga kidemokrasia. Tunaunga mkono tamko la Marekani juu ya udhalimu unaoendelea katika uchaguzi wa Tanzania.Ni muhimu ubalozi wa Tanzania Nchini marekani ukatuwakilisha vyema kwa kutoa tamko rasmi la jinsi mwenendo wa uchaguzi unavyoendelea nchini Marekani.
Ni muhimu kuwaasa wagombea urais huko marekani kuacha kutupiana maneno bali wanadi sera zao.
kabla hawajatunyooshea vidole wawaambie maswahiba zao mazayuni waache dhulma juu wa wapalestinaMarekani kuna demokrasia na wanajitambua na kufuata sheria hawana shida yoyote wale ni ma-papa wa demokrasia duniani tunapaswa kuwasikiliza na kuwaacha watusimamie manake bado wachanga kidemokrasia. Tunaunga mkono tamko la Marekani juu ya udhalimu unaoendelea katika uchaguzi wa Tanzania.
Ni muhimu ubalozi wa Tanzania Nchini marekani ukatuwakilisha vyema kwa kutoa tamko rasmi la jinsi mwenendo wa uchaguzi unavyoendelea nchini Marekani.
Ni muhimu kuwaasa wagombea urais huko marekani kuacha kutupiana maneno bali wanadi sera zao.
Naskia kuna Manowari vita imeshapiga kambi karibu na Tanzania. Seal Team 6 wako standby kuja kumchukua mtuhumiwa wao wa mauaji na ukatili dhidi ya watanzaniaNi muhimu ubalozi wa Tanzania Nchini marekani ukatuwakilisha vyema kwa kutoa tamko rasmi la jinsi mwenendo wa uchaguzi unavyoendelea nchini Marekani.
Ni muhimu kuwaasa wagombea urais huko marekani kuacha kutupiana maneno bali wanadi sera zao.
Iyo taarifa atasoma uyo balozi na wafanyakazi wenzake. We unaijua marekani ila kuna wamarekani wengi sana hawajui ata kama kuna ka nchi kanaitwa Tanzania na inapatikana bara gani . Na hata wanaoijua wakiona iyo taarifa wataishia kucheka sana .Ni muhimu ubalozi wa Tanzania Nchini marekani ukatuwakilisha vyema kwa kutoa tamko rasmi la jinsi mwenendo wa uchaguzi unavyoendelea nchini Marekani.
Ni muhimu kuwaasa wagombea urais huko marekani kuacha kutupiana maneno bali wanadi sera zao.
Mwaka huu mtahamisha sana magoli,lakini kipigo na ICC ipo pale palekabla hawajatunyooshea vidole wawaambie maswahiba zao mazayuni waache dhulma juu wa wapalestina
Hahaha eti mmasai amshauri Muhaya kuzingatia masomo hahahaNi muhimu ubalozi wa Tanzania Nchini marekani ukatuwakilisha vyema kwa kutoa tamko rasmi la jinsi mwenendo wa uchaguzi unavyoendelea nchini Marekani.
Ni muhimu kuwaasa wagombea urais huko marekani kuacha kutupiana maneno bali wanadi sera zao.
🤣 sio mbaya majibu ni mwezi huu mtatembea mnaongea kama vichaaMwaka huu mtahamisha sana magoli,lakini kipigo na ICC ipo pale pale
janga la Covid 19 lilituonesha uhuru kamili wanchi yetuUS is a sovereignty state.......
Tanzania is a Sovereignty state.....
Burundi is a sovereignty state....
Germany is a sovereignty state.....
Malawi is a sovereignty state.......
France also is a sovereignty state.....
But are we real in the same level ,especially Africans countries? Even if we've our own national flag,composed our national anthem, when President's of this countries meet, there's 21 gun salutes.......
But,nikweli tupo sawa tunaweza kuwahoji hawa?
Ni muhimu ubalozi wa Tanzania Nchini marekani ukatuwakilisha vyema kwa kutoa tamko rasmi la jinsi mwenendo wa uchaguzi unavyoendelea nchini Marekani.
Ni muhimu kuwaasa wagombea urais huko marekani kuacha kutupiana maneno bali wanadi sera zao.