Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kwasababu hauna haki ya kuwambia marekani chochote kile. Ila wao wanahaki ya kukushauri chochote kile. Na ukijaribu kuwashauri marekani watakuita gaidi.Marekani kuna demokrasia na wanajitambua na kufuata sheria hawana shida yoyote wale ni ma-papa wa demokrasia duniani tunapaswa kuwasikiliza na kuwaacha watusimamie manake bado wachanga kidemokrasia. Tunaunga mkono tamko la Marekani juu ya udhalimu unaoendelea katika uchaguzi wa Tanzania.
Ulishawahi kupeleka misaada kwao?Ni muhimu ubalozi wa Tanzania Nchini marekani ukatuwakilisha vyema kwa kutoa tamko rasmi la jinsi mwenendo wa uchaguzi unavyoendelea nchini Marekani.
Ni muhimu kuwaasa wagombea urais huko marekani kuacha kutupiana maneno bali wanadi sera zao.
Wewe umeshawahi kumsikia Rais Trump akitishia wapigakura kuwa wasipo mchagulia mwakilishi wa chama chake hatawapelekea maendeleo? Angefanya hivyo angeonekana kuwa kiongozi mjinga asiyekuwa na uelewa juu ya dhamana ya uraisi anayoitumikia.Ni muhimu ubalozi wa Tanzania Nchini marekani ukatuwakilisha vyema kwa kutoa tamko rasmi la jinsi mwenendo wa uchaguzi unavyoendelea nchini Marekani.
Ni muhimu kuwaasa wagombea urais huko marekani kuacha kutupiana maneno bali wanadi sera zao.
Andika tamko peleka ubalozini walisomeNi muhimu ubalozi wa Tanzania Nchini marekani ukatuwakilisha vyema kwa kutoa tamko rasmi la jinsi mwenendo wa uchaguzi unavyoendelea nchini Marekani.
Ni muhimu kuwaasa wagombea urais huko marekani kuacha kutupiana maneno bali wanadi sera zao.
Kipindi hikohiko Mchina na Mrusi wanaichungulia hio manowari wawatimue kama walivyowatimua huko Syria........this is the East......hao West wakasake machaka mengineNaskia kuna Manowari vita imeshapiga kambi karibu na Tanzania. Seal Team 6 wako standby kuja kumchukua mtuhumiwa wao wa mauaji na ukatili dhidi ya watanzania
Yani ninyi wapuuzi kweli ,watu wapo smart kwenye mambo yao sasa Tamko lenu labda liwe la kupongezaNi muhimu ubalozi wa Tanzania Nchini marekani ukatuwakilisha vyema kwa kutoa tamko rasmi la jinsi mwenendo wa uchaguzi unavyoendelea nchini Marekani.
Ni muhimu kuwaasa wagombea urais huko marekani kuacha kutupiana maneno bali wanadi sera zao.
Mchina huyu huyu mliomnyima kujenga bandari bagamoyo???!Kipindi hikohiko Mchina na Mrusi wanaichungulia hio manowari wawatimue kama walivyowatimua huko Syria........this is the East......hao West wakasake machaka mengine
Juu wapi......hapo juu pia tuna Israel yetu ya Afrika ambayo ni Ethiopia ambayo hao mabwana zenu hawakuwahi kuitawala kabisaaa.........unajua chuo cha CCM hapo Kibaha ni ushirikiano na mchina? Mchina mwenyewe anajua asingeweza kupata kiti cha kudumu UN bila kashkash zetu Afrika.............huyo Mrusi kwa sasa anamkimbiza marekani upande wa silaha Mmarekani mwenyewe anatepeta huku pembeni anakimbizwa na China kiuchumi....inshort mambo yanabadilika nguvu inaelekea East zaidi hao West sa hv wamebaki kubwabwaja tu.........Hapo Syria tu hao mabwana zenu wametolewa kamasi, Iran anaendelea kufanya yake hao mabwana zenu wanabweka tu.............nyie kaeni Msubirieni Marekani aje kuwapiga bust wakati yeye mwenyewe alikua analia Trump aliwekwa kwa Mkono wa mrusi....mtasubiri sana Meli airport...Mchina huyu huyu mliomnyima kujenga bandari bagamoyo???!
Alafu unamsema mrusi yupi??? Huyu ambaye kachakaa kiuchumi na hana military installations Africa Mashariki???
Hujui Hapo Mombasa na Djibouti Mmarekani ameweka military installations na bases za kutisha??? Unajua kwa juu tu pale kuna mshirika no 1 wa Marekani duniani Taifa la Mungu Israel???
Nadhani unahadithiwa tu juu ya Marekani. Hawajui vizuri!
Nyie mnawajua vizuri Marekani ndo maana hadi mnasapoti ushogaMchina huyu huyu mliomnyima kujenga bandari bagamoyo???!
Alafu unamsema mrusi yupi??? Huyu ambaye kachakaa kiuchumi na hana military installations Africa Mashariki???
Hujui Hapo Mombasa na Djibouti Mmarekani ameweka military installations na bases za kutisha??? Unajua kwa juu tu pale kuna mshirika no 1 wa Marekani duniani Taifa la Mungu Israel???
Nadhani unahadithiwa tu juu ya Marekani. Hawajui vizuri!
Wataanzia wapi..Ni muhimu ubalozi wa Tanzania Nchini marekani ukatuwakilisha vyema kwa kutoa tamko rasmi la jinsi mwenendo wa uchaguzi unavyoendelea nchini Marekani.
Ni muhimu kuwaasa wagombea urais huko marekani kuacha kutupiana maneno bali wanadi sera zao.
Kama nani...Watanzania Wazalendo