Ubashiri: Rivers United vs Yanga

Rivers 0 - Yanga 1 dakika 90
Mshindi atapatikana kwa matuta
 
Naitakia ushindi wowote ule timu yangu ya Wananchi. Mwalimu ajiepushe tu kupanga wachezaji wasio jiamini. Kule nyuma amuongeze Yanick Bangala. Zawadi Mauya na Nchimbi wapumzishwe kwenye hii mechi.
Hivi hii mechi haitaoneshwa ama
 
Kesho wataanza kuulizana nani aliyetoa wazo yanga wakatangaze utalii maana watapata kipigo cha kufa mtu
 
Kesho wataanza kuulizana nani aliyetoa wazo yanga wakatangaze utalii maana watapata kipigo cha kufa mtu
Simba alivyopigwa kipigo cha kufa mtu kule Afrika Kusini, je waliulizana aliyetoa wazo la kutangaza utalii?
 
Simba alivyopigwa kipigo cha kufa mtu kule Afrika Kusini, je waliulizana aliyetoa wazo la kutangaza utalii?
Simba walishafika mbali walishatangaza Kongo, Sudan na, Misri na Afrika kusini.
wakati huo dunia nzima ilikuwa inawazungumzia hasa baada ya kumpa kipigo aliyekuwa bingwa ambaye kwenye michuano ya dunia alishika nafasi ya 3.
Nyinyi hamna historia yoyote zaidi ya aibu ya kusingizia watu wana corona
 
Kwahiyo mlipenda kuishia pale mlipoishia?
 
MUNGU IBARIKI RIVERS UTD TENA.

WE GO AGAINNNNNNNNNN RIVERS.
 
Yanga inakwenda kuvuka ila sijui idasi ya magoli.
 
Nazi Haishindani Na Jiwe
Mchezo Uliishia Dar Es Salaam
Wamekwenda Shingo Upande Ila Wanajua Nini Kitatokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…