daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
Rivers 0 - Yanga 1 dakika 90Rivers United Vs Yanga
Mchezo utapigwa kesho mida ya saa kumi na mbili jioni kwa saa za Afrika ya Mashariki.
Hii ni mechi marudiano baada ya mechi ya kwanza iliyopigwa hapa Dar es Salaam.
Utopolo walilala kwa goli moja bila majibu uwanjani Nyumbani.
Tupia ubashiri wako hapa chini.
Wangu Ni Huu
Rivers United 2 Yanga 0
Utoooo[emoji2957]
Mshindi atapatikana kwa matuta