Ubaya ni ubaya lini Askofu Bagonza atatoa chapisho kumpinga yule kiongozi wa dini aliyehusishwa na tukio la mauaji ya mtoto Kagera

Ubaya ni ubaya lini Askofu Bagonza atatoa chapisho kumpinga yule kiongozi wa dini aliyehusishwa na tukio la mauaji ya mtoto Kagera

Bagonza, Mwamakula na Kitima ni WANAFIKI CLIQUE... Mtoto kauwawa na huko Dodoma waumini wamemuua Mandojo ila hao maaskofu wawili na padri mmoja wakakausha kama vile hakuna kilichotokea. Wana tofauti gani na viongozi wa dini waliohusika na genocide ya Rwanda? Ninawaheshimu mno kwa usomi wao ila ninawadharau kwa hizo double standards walizo nazo.
 
Back
Top Bottom