Uber yasitisha huduma zake Tanzania, yazitaja nauli elekezi Latra kama sababu. Itarejea kanuni zikibadilishwa

Huu ni mwanzo tu,daladala na mabasi yatafuata

LATRA waache soko lenyewe liamue bei ya nauli,mbona watawala wanajipangia tu tozo kwenye mafuta na hatuoni hao CCC wakiongea.

Mbona hakuna bei elekezi kwenye usafirishaji wa mizigo na maisha yanaenda.
 

Hizi sio sababu mkuu..
 
Kawaida hawa mpinzani akiwazidi wanarusha taulo
 
Ni vigumu sana kwa nchi yetu kuendelea kwa mfumo hovyo wa ccm uliopo madarakani, yubsdilishe.
 
Madereva taksi zenye mstari walilaani mno ujio wa Uber.
 
Kwa hiyo sasa hivi kutoka Airport kwenda Kinondoni tutegemee zile nauli za 70,000/- Tsh kurudi?
Maana kama Uber karusha taulo kwa madai mazingira ya biashara si rafiki basi kuna uwezekano wenzake kina Bolt, Taxify and co kufuata nyayo.
 
Naomba kuuliza, hivi nikirequest uber akaitumia mtu mwingine shida inakua ni nini hapo? mie ilikua ndio zangu hizo.
 
Tutulie tu...

Hapo ishaundwa kampuni mpya...zitakuja Uber Ila kivingine...

Tumefunguliwa pingu Ila tutafungwa minyororo ..na huu ubole wetu!
 
Tutakoma na nauli za Tax za kawaida hasa kwa sisi wageni wa miji husika na tunahitaji usafiri private!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…