Ubinafsi wa Mayele unavyoighalimu Yanga

Yanga mna matatizo......
Ni lini mliwahi kuwa bora dgidi ya Simba?
Mara zote mmekuwa mkiponea tundu la sindano.
Twende na takwimu.
 

Attachments

  • Screenshot_2023-04-16-21-09-19-67.png
    174.8 KB · Views: 1
Kule mbele anaecheza kitimu ni yule Kenedy Juma sorry nani vile Musonda
Jamaa huwa hana tamaa, anatoa mapande tu ya upendo. Mayele yeye anachowaza ni kujipigia tu golini. Hata kama yupo mbali na goli.
 
Inashangaza kocha alimwacha hadi dk za mwisho
Labda aliogopa asionekane kama Robertinho alivomtoa Chama akazomewa na watu wa Simba. Mimi kwa mtazamo wangu, inaonekana Inonga ameshamsoma Mayele na anammudu. Jana Gemu ilimkataa na labda Aziz Ki, mudathir na Morrison waliingizwa wakati jua limeshachwea na jahazi limeanza kuzama. Labda angewaingiza mapema matokeo yangekuwa tofauti.
 
Kabisaa upo sahihi sana!MAKOLO jana wangekufa mapema tu kama mayele angeacha ubinafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…