wandugu,
..mashirika ya umma yaliuawa na wa-Tanzania wenyewe. matokeo yake yakawa ni mzigo kwa walipa kodi wa Tanzania.
..ubinafsishaji mimi nauchukulia kama TACTICAL RETREAT. kwamba ni hatua ya kurekebisha makosa na kujipanga upya.
..baada ya kuondokana na mzigo wa kutoa ruzuku kwa mashirika ya umma, na kuongeza bidii ktk kukusanya kodi, serikali sasa imeweza kutoa mchango mkubwa zaidi ktk miradi ya maendeleo kwa mfano ujenzi wa barabara.
..kwa upande mwingine sera ya ubinafsishaji siyo "maandiko matakatifu" yanayokataza serikali kuanzisha makampuni ya umma kama itaamua.
..naamini leo hii wa-Tanzania tuna nafasi nzuri zaidi ya kuanzisha makampuni ya umma, na kuyasimamia yasilitie taifa hasara na kuwa mzigo kwa wananchi.
..mashirika ya umma yaliuawa na wa-Tanzania wenyewe. matokeo yake yakawa ni mzigo kwa walipa kodi wa Tanzania.
..ubinafsishaji mimi nauchukulia kama TACTICAL RETREAT. kwamba ni hatua ya kurekebisha makosa na kujipanga upya.
..baada ya kuondokana na mzigo wa kutoa ruzuku kwa mashirika ya umma, na kuongeza bidii ktk kukusanya kodi, serikali sasa imeweza kutoa mchango mkubwa zaidi ktk miradi ya maendeleo kwa mfano ujenzi wa barabara.
..kwa upande mwingine sera ya ubinafsishaji siyo "maandiko matakatifu" yanayokataza serikali kuanzisha makampuni ya umma kama itaamua.
..naamini leo hii wa-Tanzania tuna nafasi nzuri zaidi ya kuanzisha makampuni ya umma, na kuyasimamia yasilitie taifa hasara na kuwa mzigo kwa wananchi.