Ubinafisishwaji ni tendo ambalo linahusisha kuamisha mali ya umma ama moja kwa moja au sehemu ya mali hiyo kutoka kwa serikali kwenda kwa wadau binafsi. Lengo kuu ni kutaka kuleta wadau wengi zaidi katika shughuli au mali husika. mfano kama shirika linalotoa huduma ya jamii kama Tanesco ubinafsishaji ungelenga kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma.
lengo jingine kuu la ubinafsihsji ni kuongeza ushindani wa soko na ubunifu. ambapo mashirika au shughuli mbali mbali za serikali upata nafasi ya kushindana na zile za binafsi zenye kufanya biashara. sera hii imekuwepo hapa Tanzania kuanzia miaka ya 1980 lakini imepata urasmi kuanzia mwaka 1992 ambapo mashirika kama Benki, shirika la posta, na mashirika mengine yalianza kubinafsishwa ili kuongeza ubora. TANESCO kwa upande wake jenyewe limeendelea kumilikiwa na serikali kwa asilimia mia moja.
jambo la kampuni hili muhimu mno kwa uchumi wa nchi kuendelea kumilikiwa na serikali kwa asilimia mia moja linasababisha kkuzolota kwa uchumi na huduma kwa jamii. shirika linakosa uwezo wa kubuni njia mbadala za kuzalisha umeme wa kutosha na njia za kujishirikisha na jamii yake.
sasa swali langu ni kitu gani kinazuia shirika hili lisitolewe katika mikono y aserikali japo kwa asilimia?
lengo jingine kuu la ubinafsihsji ni kuongeza ushindani wa soko na ubunifu. ambapo mashirika au shughuli mbali mbali za serikali upata nafasi ya kushindana na zile za binafsi zenye kufanya biashara. sera hii imekuwepo hapa Tanzania kuanzia miaka ya 1980 lakini imepata urasmi kuanzia mwaka 1992 ambapo mashirika kama Benki, shirika la posta, na mashirika mengine yalianza kubinafsishwa ili kuongeza ubora. TANESCO kwa upande wake jenyewe limeendelea kumilikiwa na serikali kwa asilimia mia moja.
jambo la kampuni hili muhimu mno kwa uchumi wa nchi kuendelea kumilikiwa na serikali kwa asilimia mia moja linasababisha kkuzolota kwa uchumi na huduma kwa jamii. shirika linakosa uwezo wa kubuni njia mbadala za kuzalisha umeme wa kutosha na njia za kujishirikisha na jamii yake.
sasa swali langu ni kitu gani kinazuia shirika hili lisitolewe katika mikono y aserikali japo kwa asilimia?