Point kabisaShidq yq kwenda na policy ya kila Rais,kwanini tusiwe na policy inayotuguide sote
Oh Martyinaaa,Hatuwezi kwenda kinyume na dunia na huu ukweli, kongole Samia
Sera, akina Shabiby, Musukuma, Abood wamejificha?Mgongano wa kimaslai upo palepale watunga Sela na wasimamizi ndio wafanya biashara Kwa kujificha
Hili ndiyo kundi la kusifia bila hata kujua linasifia nini?Oh Martyinaaa,
Dunia ipi hiyo ambayo Tanzania haimo?
Ukweli upi huo? Tumegee
Watu wako kazini ku neutralize mambo, baada ya Samia kutaka kutuuza kwa wajomba zake,lolTanzania hii na watu wake wapenda ufisadi>
AAA SUBUTUUU.