Ubishi kuhusu share za Wasafi Media naona umeisha sasa

Kijana kajitahidi ingawa ndo kishauza brand, hiyo 450 anayopata bado hajagawana na kina babu tale, salaam, mkubwa fella n.k. Ajitahidi siku moja amiliki kitu chake kwa asilimia mia.
Hata Bill Gates na Mack hawamiliki 100 %.kwa mujibu wa bongo5 mameneja wa Diamond wanchukua 30 % anachoingiza Mondi na wanadeserve.
 
Kijana kajitahidi ingawa ndo kishauza brand, hiyo 450 anayopata bado hajagawana na kina babu tale, salaam, mkubwa fella n.k. Ajitahidi siku moja amiliki kitu chake kwa asilimia mia.
Ukitaka ufike mbali ni lazima ushirikiane na watu, Mark zuckbereg aliegundua facebook yeye ana asilimia 25 tu na ni c.e.o wa facebook kama ilivyo kwa diamond kuwa c.e.o wa wasafi, Regnald mengi pia na yeye hamiliki hisa asilimia 100 za ipp media kwasababu kuna wamiliki wengine,,,,Ndivyo biashara inavyofanyika
 
Kijana kajitahidi ingawa ndo kishauza brand, hiyo 450 anayopata bado hajagawana na kina babu tale, salaam, mkubwa fella n.k. Ajitahidi siku moja amiliki kitu chake kwa asilimia mia.
bond ama connection na wadau haiepukiki leo unaweza kuyumba bado wanahisa wakakubeba for the sake of your/their organization... kwahiyo hata hapo alipo anastahili kupongezwa
 
Jamaa Domo ni Bilionea lakini anaishi kwenye kiwanja cha miguu 25 kwa 25 ndio bilionea wa kwanza Manager wake salamu hana nyumba πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.
 
Ushindwe na ulegee sijawahi kufikiria wala kufanya usagaji please don't judge mi kwa kuona uzuri wa huyo dada. Being real sio tija kuniona mkosefu.

Hafu nani ka kwambia wanawake tunaoneana wivu, Ili Iweje binadamu yoyote asiye jielewa ndo Ana wivu wa kijinga
Utakuwa na element za usagaji.....
mwanamke Kwa mwanamke mwenzie anaona wivu.....that's natural.... short of that is abnormalities...
 
Alright...punguza hasidi....is just my opinion...
 
Kijana kajitahidi ingawa ndo kishauza brand, hiyo 450 anayopata bado hajagawana na kina babu tale, salaam, mkubwa fella n.k. Ajitahidi siku moja amiliki kitu chake kwa asilimia mia.
vp kama akina tale ndio hiyo 29%
 
Mkuu IPP media ni family trust
 
Kijana kajitahidi ingawa ndo kishauza brand, hiyo 450 anayopata bado hajagawana na kina babu tale, salaam, mkubwa fella n.k. Ajitahidi siku moja amiliki kitu chake kwa asilimia mia.
Biashara za hivyo hazipo dunia hii. Labda kama anataka kuuza supu kitongoji cha tandale na maeneo ya jirani.
 
Kijana kajitahidi ingawa ndo kishauza brand, hiyo 450 anayopata bado hajagawana na kina babu tale, salaam, mkubwa fella n.k. Ajitahidi siku moja amiliki kitu chake kwa asilimia mia.
Ujitaka.kuwa na kampuni yenye mafanikio usimiliki peke yako. Hata sheria za tz haziruhusu jambo hilo. Babu tale na fella ni mameneja wanalipwa mshahara ndio baadaye faida inapatikana kwenda kwa wamiliki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…