joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Mbona mnapenda kuweka vikwazo au sababu da mange kasema, hivi bado mpaka sasa unamwamini mange. Hivi lini mange alimuombea mazuri Mondi, mara aseme anamiliki 8% leo kaumbuka.Ila kusaga ndo mwenye Sauti...! Kama aligombana na ndugu zakee bhasi ipo siku watagombana na diamond piaa pesaa mwanaharamuu... Diamond hayupo salama kabisaaaaa yani aache kujifanya mjanja.
Alafu unazani Mondi fala, Mondi mambo yake yote anahusisha wanasheria, hajasoma lakini anajua nini thamani ya wanasheria. Alafu huyo mange anajua chanzo cha mgogoro wa familia ya Kusaga? , tatizo lenu mnapenda kudanganywa.