Ubishi kuhusu share za Wasafi Media naona umeisha sasa

Ubishi kuhusu share za Wasafi Media naona umeisha sasa

Ila kusaga ndo mwenye Sauti...! Kama aligombana na ndugu zakee bhasi ipo siku watagombana na diamond piaa pesaa mwanaharamuu... Diamond hayupo salama kabisaaaaa yani aache kujifanya mjanja.
Mbona mnapenda kuweka vikwazo au sababu da mange kasema, hivi bado mpaka sasa unamwamini mange. Hivi lini mange alimuombea mazuri Mondi, mara aseme anamiliki 8% leo kaumbuka.

Alafu unazani Mondi fala, Mondi mambo yake yote anahusisha wanasheria, hajasoma lakini anajua nini thamani ya wanasheria. Alafu huyo mange anajua chanzo cha mgogoro wa familia ya Kusaga? , tatizo lenu mnapenda kudanganywa.
 
Mbona mnapenda kuweka vikwazo au sababu da mange kasema, hivi bado mpaka sasa unamwamini mange. Hivi lini mange alimuombea mazuri Mondi, mara aseme anamiliki 8% leo kaumbuka.

Alafu unazani Mondi fala, Mondi mambo yake yote anahusisha wanasheria, hajasoma lakini anajua nini thamani ya wanasheria. Alafu huyo mange anajua chanzo cha mgogoro wa familia ya Kusaga? , tatizo lenu mnapenda kudanganywa.
Pesa....achana na Pesaa mzee! Pesa shetaniii...
 
Do u remember what I told u? Boy Riki?
Haya mkuu labda kama ndo hiyo mikataba kupitia wana sheria...! Ubaya now kutakuwa na wasanii wa clouds wengne wa Wcb ni mpasukoo aise...ambao hawakushiriki kwenye hili bifu la juzi labda kidogo ndo wako safe
 
Dada mange anasema IPO Siku..Joe atamtimua mond...nikawaza wcb c ndo mond akiondoka wasafi lazima iyumbe
 
Haya mkuu labda kama ndo hiyo mikataba kupitia wana sheria...! Ubaya now kutakuwa na wasanii wa clouds wengne wa Wcb ni mpasukoo aise...ambao hawakushiriki kwenye hili bifu la juzi labda kidogo ndo wako safe
Kuna mengine mengi zaidi ya hayo man! But time will tell! All the best kwa Chibu na Wasafi yote
 
Dada mange anasema IPO Siku..Joe atamtimua mond...nikawaza wcb c ndo mond akiondoka wasafi lazima iyumbe
Anapiga ramli, baada ya kuumbuka na data zake za kupika, leo ile document imemuumbua.
 
Mchizi unashusha heshima yako jf,long kitambo lakin siku hizi naona umekua na too much hate au ID yako anatumia dada ako?
Hapana mkuu tunachangamsha genge,sasa tukiwa wote tunakubali vitu vinavyoletwa humu bila kuchallenge unafikiri watu watakuwa wanafunguka? Lazima uchallenge kidogo,mimi domo hata akiwa na share 1000% au 0% kwangu haniongezei wala hanipunguzii chochote,mie nipo porini nafanya biashara zangu za kukata mkaa kwahiyo hatuta kuja kukutana na DOMO katika angle yeyote ambayo itakuja kugongana kimaslahi(COnflict of interest),yeye hadhira yake ni MAZWAZWA na mimi Nyenzo zangu ni MITI kwahiyo tupo uelekeo tofauti,so ukiniona na challenge kitu basi kuanzia leo jua nachangamsha genge tu sipo serious.
 
Baada ya sintofahamu ya umiliki halisi wa hisa za wasafi media leo kila kitu kipo wazi, kuna kipindi watu walikadiria diamond kumiliki asilimia 8 ila imekuwa wazi sasa kwamba kijana wetu nembo ya Tanzania Diamond Platnumza Anamiliki hisa asilimia 45 katika wasafi media

Kwa hisa asilimia 45 diamond ana nguvu hizi

1.Kuwepo kwenye Bodi wa kampuni ya wasafi (hapa pia ni c.e.o wa wasafi)
2.Kushiriki katika kutengeneza sera za kampuni
3.kuhusishwa katika mijadala ya mienendo ya kifedha katika kampuni
4.uwezo wa kuuzianna bidhaa na kampuni ya wasafi
5.uwezo wa kupachika mameneja katika kampuni ya wasafi media
6.kuweza kutoa ushauri wa kitaaluma unaoweza kuisaida wasafi media

Tukirudi katika mapato atayopata Diamond ni kwamba mfano wasafi media imetengeneza faida inayobakia kwa wanahisa ya bilioni 1 basi Diamond anachukua milioni 450 huku kusaga akichukua asilimia 53 (milioni 530) na nyingnine asilimia 2 (milioni 29 ) itaenda kwa mwengine ambaye hajajulikana vizuri.

Ikumbukwe kwamba katika makampuni ni kawaida sana kuwa na wanahisa wengi na kuna kipindi hata alieanzisha kampuni huwa na hisa chache kuliko wengine kama ambavyo mwanzilishi wa facebook anavyomiliki asilimia 25 tu za hisa katika kampuni, Vile vile hata kampuni ya Microsoft wengi wamekuwa wakidhani kwamba yupo Bill Gates peke yake ila kuna wanahisa wengine, Ni jambo la kheri mno msanii ambae ni moja ya nembo ya Tanzania kuleta chachu ya wasanii kujikomboa na kuanza kutumia umaarufu na jitihada zao ili wafike mbali.

KAMA IMEKUKERA HAMIA POST NYINGINE
 
Mawazo yako tu yamejikita kwenye negative. Huyo dada yuko vzuri so hata mwanaume akisifia sioni shida. Duniani Kuna vtu vzuri kuvisifia sio dhambi
Utakuwa na element za usagaji.....
mwanamke Kwa mwanamke mwenzie anaona wivu.....that's natural.... short of that is abnormalities...
 
Back
Top Bottom