Ubitozi huu wa suruali za wavulana wa Sekondari ni wa kipumbavu kuliko Enzi zetu

Ubitozi huu wa suruali za wavulana wa Sekondari ni wa kipumbavu kuliko Enzi zetu

matunduizi,
Mkuuu umetisha...
Nakumbuka enzi hizo ujanja ni kuvaa bonge ya buti mguuuuni halafu suruali chini bwangaaaaaa inafunika hadi hilo buti. Ndani ya buti palikuwa tunajaza matambala ili lieneee vizuri mguuuni. All in all kila zama na kitabu chake acha Vijana wajinafasi na fesheni ya wakati huu, hakuna namna.
Ww umenena vyema kila zama na kitabu chake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi wahuni wa zamani mashuleni ndo TULIKUWA WAHUNI KWELI, achana na hivi vihuni mayai mayai vya .com !

Mhuni wa school enzi zile nilikuwa nakula ugali mkubwa + maharage yenye wadudu, siyo hawa 'wapuuzi' wa leo wanakula chipsi + kuku shuleni halafu wanajiita wahuni.

Wazee wa kazi tulikuwa tunakula 'ndumu' vibaya mno, yet tunagonga division 1 & 2 za ukweli. Pale Tambaza,Tabora Boys,Mirambo,Mzumbe,Ilboru,Sengerema,Geita,Bwiru,Mara Sec, Musoma Tech, Iyunga, Mkwawa, n.k wahuni wengi walipita pale ndo walifika Universities na leo ni Watendaji waandamizi serikalini. Lakini leo dent mpuuzi mpuuzi anajiita mtuni halafu ufaulu wake mkubwa ni division 4.

Wahuni wa skonga enzi za 90s tulikuwa tunapenda miziki yenye message, siyo wahuni wa leo wanasikiliza wabana pua e.g akina Diamond, Harmonizer, etc wanaoimba nyimbo za kijinga kijinga e.g UNO na upuuzi mwingine. Sisi enzi zetu tulikuwa tunasikiliza 'mawe' ya akina Bob Marley,Lucky Dube,2Pac Shakur, Notorious B.I.G 'Big Popa' , Coolio, Wu-Tang Clan, Dr.Dre, Quuen Latifah, Mary J. Bridge, Miss Eliot, MC Light (huyu mdada nunda alikuwa na hip-hop kali sana). Hapa Bongo tulikuwa na akina GWM(Gangsters With Matatizo), Sos B (alikuja kuwa mtangazaji pale Radio One), Mr. 2 Sugu, na wakali wengineo. Hip- hop naipenda hadi leo maana mara nyingi ina message na inagusa maisha halisi ya watu, no room fo mapenzi, no room kujipendekeza kwa watawala, no room for kubana pua.

I wish I stay in the shadows of the 1990s for eternity.
Kweli son of bitch

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ndo hawa mkuu!?
Screenshot_2020-02-14-22-33-06~2.jpeg
 
Sisi wahuni wa zamani mashuleni ndo TULIKUWA WAHUNI KWELI, achana na hivi vihuni mayai mayai vya .com !

Mhuni wa school enzi zile nilikuwa nakula ugali mkubwa + maharage yenye wadudu, siyo hawa 'wapuuzi' wa leo wanakula chipsi + kuku shuleni halafu wanajiita wahuni.

Wazee wa kazi tulikuwa tunakula 'ndumu' vibaya mno, yet tunagonga division 1 & 2 za ukweli. Pale Tambaza,Tabora Boys,Mirambo,Mzumbe,Ilboru,Sengerema,Geita,Bwiru,Mara Sec, Musoma Tech, Iyunga, Mkwawa, n.k wahuni wengi walipita pale ndo walifika Universities na leo ni Watendaji waandamizi serikalini. Lakini leo dent mpuuzi mpuuzi anajiita mtuni halafu ufaulu wake mkubwa ni division 4.

Wahuni wa skonga enzi za 90s tulikuwa tunapenda miziki yenye message, siyo wahuni wa leo wanasikiliza wabana pua e.g akina Diamond, Harmonizer, etc wanaoimba nyimbo za kijinga kijinga e.g UNO na upuuzi mwingine. Sisi enzi zetu tulikuwa tunasikiliza 'mawe' ya akina Bob Marley,Lucky Dube,2Pac Shakur, Notorious B.I.G 'Big Popa' , Coolio, Wu-Tang Clan, Dr.Dre, Quuen Latifah, Mary J. Bridge, Miss Eliot, MC Light (huyu mdada nunda alikuwa na hip-hop kali sana). Hapa Bongo tulikuwa na akina GWM(Gangsters With Matatizo), Sos B (alikuja kuwa mtangazaji pale Radio One), Mr. 2 Sugu, na wakali wengineo. Hip- hop naipenda hadi leo maana mara nyingi ina message na inagusa maisha halisi ya watu, no room fo mapenzi, no room kujipendekeza kwa watawala, no room for kubana pua.

I wish I stay in the shadows of the 1990s for eternity.

Elimu ya Tambaza ndio shule nayoikumbua hadi leo aisee kuliko hata ya university,ilikuwa ni tamu na ya kisela sana
 
Dah. Big up mkuu, we kweli maana umenikumbusha mbali balaa
Sisi wahuni wa zamani mashuleni ndo TULIKUWA WAHUNI KWELI, achana na hivi vihuni mayai mayai vya .com !

Mhuni wa school enzi zile nilikuwa nakula ugali mkubwa + maharage yenye wadudu, siyo hawa 'wapuuzi' wa leo wanakula chipsi + kuku shuleni halafu wanajiita wahuni.

Wazee wa kazi tulikuwa tunakula 'ndumu' vibaya mno, yet tunagonga division 1 & 2 za ukweli. Pale Tambaza,Tabora Boys,Mirambo,Mzumbe,Ilboru,Sengerema,Geita,Bwiru,Mara Sec, Musoma Tech, Iyunga, Mkwawa, n.k wahuni wengi walipita pale ndo walifika Universities na leo ni Watendaji waandamizi serikalini. Lakini leo dent mpuuzi mpuuzi anajiita mtuni halafu ufaulu wake mkubwa ni division 4.

Wahuni wa skonga enzi za 90s tulikuwa tunapenda miziki yenye message, siyo wahuni wa leo wanasikiliza wabana pua e.g akina Diamond, Harmonizer, etc wanaoimba nyimbo za kijinga kijinga e.g UNO na upuuzi mwingine. Sisi enzi zetu tulikuwa tunasikiliza 'mawe' ya akina Bob Marley,Lucky Dube,2Pac Shakur, Notorious B.I.G 'Big Popa' , Coolio, Wu-Tang Clan, Dr.Dre, Quuen Latifah, Mary J. Bridge, Miss Eliot, MC Light (huyu mdada nunda alikuwa na hip-hop kali sana). Hapa Bongo tulikuwa na akina GWM(Gangsters With Matatizo), Sos B (alikuja kuwa mtangazaji pale Radio One), Mr. 2 Sugu, na wakali wengineo. Hip- hop naipenda hadi leo maana mara nyingi ina message na inagusa maisha halisi ya watu, no room fo mapenzi, no room kujipendekeza kwa watawala, no room for kubana pua.

I wish I stay in the shadows of the 1990s for eternity.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanavaa tusuruali hatufiki chini.
Hawavai soksi.
Kuimba vinyimbo vya kikekike

Enzi zetu (90s na early 2000s)

Uhuni ni kuvaa suruali inaitwa pisto. Hizi walivaa masteringi wa movie za Kachina na makachero wa mossad miaka ya themanini

Uhuni kunyanyua vyuma.

Hata hizi wanazovaa waheshimiwa suruali zisizo na marinda zilikuwa Uhuni.

Sasa Hawa vijana siku hizi wanavaa suruali za kipumbavu. Hizi Enzi zetu walivaa mabibi wa kichina kwenye movie.

Nimepita kijiwe cha shule flani hapa wavulana wa shule wahuni wote wameedit visuruali wapowapo tu, nimetsmani kuwalamba makofi wote.

Mkuu unakumbuka nini kuhusu Uhuni wa zamani ukilinganisha na Hawa wa kisasa.

mimi ni kijana lakini hii tabia ya vijana wenzangu kuvaa suruali fupi na zinazobana wanakwama sana, kwanza wengi haziwapendezi kabisa hua nawashangaa
NB
sijapinga modo hata mimi ninazo, nazungumzia vile vi suruali unakuta kinambana mtu mpaka basi , kuna jamaa nilikutana nae town kimembana makalio , nyuma kulikua na wadada walicheka sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sisi wahuni wa zamani mashuleni ndo TULIKUWA WAHUNI KWELI, achana na hivi vihuni mayai mayai vya .com !

Mhuni wa school enzi zile nilikuwa nakula ugali mkubwa + maharage yenye wadudu, siyo hawa 'wapuuzi' wa leo wanakula chipsi + kuku shuleni halafu wanajiita wahuni.

Wazee wa kazi tulikuwa tunakula 'ndumu' vibaya mno, yet tunagonga division 1 & 2 za ukweli. Pale Tambaza,Tabora Boys,Mirambo,Mzumbe,Ilboru,Sengerema,Geita,Bwiru,Mara Sec, Musoma Tech, Iyunga, Mkwawa, n.k wahuni wengi walipita pale ndo walifika Universities na leo ni Watendaji waandamizi serikalini. Lakini leo dent mpuuzi mpuuzi anajiita mtuni halafu ufaulu wake mkubwa ni division 4.

Wahuni wa skonga enzi za 90s tulikuwa tunapenda miziki yenye message, siyo wahuni wa leo wanasikiliza wabana pua e.g akina Diamond, Harmonizer, etc wanaoimba nyimbo za kijinga kijinga e.g UNO na upuuzi mwingine. Sisi enzi zetu tulikuwa tunasikiliza 'mawe' ya akina Bob Marley,Lucky Dube,2Pac Shakur, Notorious B.I.G 'Big Popa' , Coolio, Wu-Tang Clan, Dr.Dre, Quuen Latifah, Mary J. Bridge, Miss Eliot, MC Light (huyu mdada nunda alikuwa na hip-hop kali sana). Hapa Bongo tulikuwa na akina GWM(Gangsters With Matatizo), Sos B (alikuja kuwa mtangazaji pale Radio One), Mr. 2 Sugu, na wakali wengineo. Hip- hop naipenda hadi leo maana mara nyingi ina message na inagusa maisha halisi ya watu, no room fo mapenzi, no room kujipendekeza kwa watawala, no room for kubana pua.

I wish I stay in the shadows of the 1990s for eternity.
Uhuni sio sifa.
 
Dah! Umenikumbusha Geita secondary school miaka ya 90's to early 20's kuna genge la wahuni lili sumbua sana hio shule likiongonzwa na jamaa mmoja alikua anaitwa Kiomo (RIP) , Ommy, Black fire, Kolokonso, Tobby, Muddy Mc na majamaa wengine , hao jamaa walikua wakianzisha mtiti hakuna wa kuutuliza ajabu ni kwamba darasani walikua bright kinyama nlikua bado mdogo sana enzi hizo nikawa nasikia mabalaa yao , maisha yana kwenda mbio sana
Sisi wahuni wa zamani mashuleni ndo TULIKUWA WAHUNI KWELI, achana na hivi vihuni mayai mayai vya .com !

Mhuni wa school enzi zile nilikuwa nakula ugali mkubwa + maharage yenye wadudu, siyo hawa 'wapuuzi' wa leo wanakula chipsi + kuku shuleni halafu wanajiita wahuni.

Wazee wa kazi tulikuwa tunakula 'ndumu' vibaya mno, yet tunagonga division 1 & 2 za ukweli. Pale Tambaza,Tabora Boys,Mirambo,Mzumbe,Ilboru,Sengerema,Geita,Bwiru,Mara Sec, Musoma Tech, Iyunga, Mkwawa, n.k wahuni wengi walipita pale ndo walifika Universities na leo ni Watendaji waandamizi serikalini. Lakini leo dent mpuuzi mpuuzi anajiita mtuni halafu ufaulu wake mkubwa ni division 4.

Wahuni wa skonga enzi za 90s tulikuwa tunapenda miziki yenye message, siyo wahuni wa leo wanasikiliza wabana pua e.g akina Diamond, Harmonizer, etc wanaoimba nyimbo za kijinga kijinga e.g UNO na upuuzi mwingine. Sisi enzi zetu tulikuwa tunasikiliza 'mawe' ya akina Bob Marley,Lucky Dube,2Pac Shakur, Notorious B.I.G 'Big Popa' , Coolio, Wu-Tang Clan, Dr.Dre, Quuen Latifah, Mary J. Bridge, Miss Eliot, MC Light (huyu mdada nunda alikuwa na hip-hop kali sana). Hapa Bongo tulikuwa na akina GWM(Gangsters With Matatizo), Sos B (alikuja kuwa mtangazaji pale Radio One), Mr. 2 Sugu, na wakali wengineo. Hip- hop naipenda hadi leo maana mara nyingi ina message na inagusa maisha halisi ya watu, no room fo mapenzi, no room kujipendekeza kwa watawala, no room for kubana pua.

I wish I stay in the shadows of the 1990s for eternity.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenikumbusha hiyo surual ya pisto

Nilikuwa nayo mwalimu mkuu akanipiga stop ilikuwaga ya kipekee saa inashika kwenye magoti afu chini inamwaga flan hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom