google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,623
- 13,759
Ww umenena vyema kila zama na kitabu chakematunduizi,
Mkuuu umetisha...
Nakumbuka enzi hizo ujanja ni kuvaa bonge ya buti mguuuuni halafu suruali chini bwangaaaaaa inafunika hadi hilo buti. Ndani ya buti palikuwa tunajaza matambala ili lieneee vizuri mguuuni. All in all kila zama na kitabu chake acha Vijana wajinafasi na fesheni ya wakati huu, hakuna namna.
Kweli son of bitchSisi wahuni wa zamani mashuleni ndo TULIKUWA WAHUNI KWELI, achana na hivi vihuni mayai mayai vya .com !
Mhuni wa school enzi zile nilikuwa nakula ugali mkubwa + maharage yenye wadudu, siyo hawa 'wapuuzi' wa leo wanakula chipsi + kuku shuleni halafu wanajiita wahuni.
Wazee wa kazi tulikuwa tunakula 'ndumu' vibaya mno, yet tunagonga division 1 & 2 za ukweli. Pale Tambaza,Tabora Boys,Mirambo,Mzumbe,Ilboru,Sengerema,Geita,Bwiru,Mara Sec, Musoma Tech, Iyunga, Mkwawa, n.k wahuni wengi walipita pale ndo walifika Universities na leo ni Watendaji waandamizi serikalini. Lakini leo dent mpuuzi mpuuzi anajiita mtuni halafu ufaulu wake mkubwa ni division 4.
Wahuni wa skonga enzi za 90s tulikuwa tunapenda miziki yenye message, siyo wahuni wa leo wanasikiliza wabana pua e.g akina Diamond, Harmonizer, etc wanaoimba nyimbo za kijinga kijinga e.g UNO na upuuzi mwingine. Sisi enzi zetu tulikuwa tunasikiliza 'mawe' ya akina Bob Marley,Lucky Dube,2Pac Shakur, Notorious B.I.G 'Big Popa' , Coolio, Wu-Tang Clan, Dr.Dre, Quuen Latifah, Mary J. Bridge, Miss Eliot, MC Light (huyu mdada nunda alikuwa na hip-hop kali sana). Hapa Bongo tulikuwa na akina GWM(Gangsters With Matatizo), Sos B (alikuja kuwa mtangazaji pale Radio One), Mr. 2 Sugu, na wakali wengineo. Hip- hop naipenda hadi leo maana mara nyingi ina message na inagusa maisha halisi ya watu, no room fo mapenzi, no room kujipendekeza kwa watawala, no room for kubana pua.
I wish I stay in the shadows of the 1990s for eternity.
Sisi wahuni wa zamani mashuleni ndo TULIKUWA WAHUNI KWELI, achana na hivi vihuni mayai mayai vya .com !
Mhuni wa school enzi zile nilikuwa nakula ugali mkubwa + maharage yenye wadudu, siyo hawa 'wapuuzi' wa leo wanakula chipsi + kuku shuleni halafu wanajiita wahuni.
Wazee wa kazi tulikuwa tunakula 'ndumu' vibaya mno, yet tunagonga division 1 & 2 za ukweli. Pale Tambaza,Tabora Boys,Mirambo,Mzumbe,Ilboru,Sengerema,Geita,Bwiru,Mara Sec, Musoma Tech, Iyunga, Mkwawa, n.k wahuni wengi walipita pale ndo walifika Universities na leo ni Watendaji waandamizi serikalini. Lakini leo dent mpuuzi mpuuzi anajiita mtuni halafu ufaulu wake mkubwa ni division 4.
Wahuni wa skonga enzi za 90s tulikuwa tunapenda miziki yenye message, siyo wahuni wa leo wanasikiliza wabana pua e.g akina Diamond, Harmonizer, etc wanaoimba nyimbo za kijinga kijinga e.g UNO na upuuzi mwingine. Sisi enzi zetu tulikuwa tunasikiliza 'mawe' ya akina Bob Marley,Lucky Dube,2Pac Shakur, Notorious B.I.G 'Big Popa' , Coolio, Wu-Tang Clan, Dr.Dre, Quuen Latifah, Mary J. Bridge, Miss Eliot, MC Light (huyu mdada nunda alikuwa na hip-hop kali sana). Hapa Bongo tulikuwa na akina GWM(Gangsters With Matatizo), Sos B (alikuja kuwa mtangazaji pale Radio One), Mr. 2 Sugu, na wakali wengineo. Hip- hop naipenda hadi leo maana mara nyingi ina message na inagusa maisha halisi ya watu, no room fo mapenzi, no room kujipendekeza kwa watawala, no room for kubana pua.
I wish I stay in the shadows of the 1990s for eternity.
Sisi wahuni wa zamani mashuleni ndo TULIKUWA WAHUNI KWELI, achana na hivi vihuni mayai mayai vya .com !
Mhuni wa school enzi zile nilikuwa nakula ugali mkubwa + maharage yenye wadudu, siyo hawa 'wapuuzi' wa leo wanakula chipsi + kuku shuleni halafu wanajiita wahuni.
Wazee wa kazi tulikuwa tunakula 'ndumu' vibaya mno, yet tunagonga division 1 & 2 za ukweli. Pale Tambaza,Tabora Boys,Mirambo,Mzumbe,Ilboru,Sengerema,Geita,Bwiru,Mara Sec, Musoma Tech, Iyunga, Mkwawa, n.k wahuni wengi walipita pale ndo walifika Universities na leo ni Watendaji waandamizi serikalini. Lakini leo dent mpuuzi mpuuzi anajiita mtuni halafu ufaulu wake mkubwa ni division 4.
Wahuni wa skonga enzi za 90s tulikuwa tunapenda miziki yenye message, siyo wahuni wa leo wanasikiliza wabana pua e.g akina Diamond, Harmonizer, etc wanaoimba nyimbo za kijinga kijinga e.g UNO na upuuzi mwingine. Sisi enzi zetu tulikuwa tunasikiliza 'mawe' ya akina Bob Marley,Lucky Dube,2Pac Shakur, Notorious B.I.G 'Big Popa' , Coolio, Wu-Tang Clan, Dr.Dre, Quuen Latifah, Mary J. Bridge, Miss Eliot, MC Light (huyu mdada nunda alikuwa na hip-hop kali sana). Hapa Bongo tulikuwa na akina GWM(Gangsters With Matatizo), Sos B (alikuja kuwa mtangazaji pale Radio One), Mr. 2 Sugu, na wakali wengineo. Hip- hop naipenda hadi leo maana mara nyingi ina message na inagusa maisha halisi ya watu, no room fo mapenzi, no room kujipendekeza kwa watawala, no room for kubana pua.
I wish I stay in the shadows of the 1990s for eternity.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakumbuka uhuni wa kutengeneza utando wa buibui nyuma ya shati la shule wakati napiga pasi.
Wanavaa tusuruali hatufiki chini.
Hawavai soksi.
Kuimba vinyimbo vya kikekike
Enzi zetu (90s na early 2000s)
Uhuni ni kuvaa suruali inaitwa pisto. Hizi walivaa masteringi wa movie za Kachina na makachero wa mossad miaka ya themanini
Uhuni kunyanyua vyuma.
Hata hizi wanazovaa waheshimiwa suruali zisizo na marinda zilikuwa Uhuni.
Sasa Hawa vijana siku hizi wanavaa suruali za kipumbavu. Hizi Enzi zetu walivaa mabibi wa kichina kwenye movie.
Nimepita kijiwe cha shule flani hapa wavulana wa shule wahuni wote wameedit visuruali wapowapo tu, nimetsmani kuwalamba makofi wote.
Mkuu unakumbuka nini kuhusu Uhuni wa zamani ukilinganisha na Hawa wa kisasa.
Uhuni sio sifa.Sisi wahuni wa zamani mashuleni ndo TULIKUWA WAHUNI KWELI, achana na hivi vihuni mayai mayai vya .com !
Mhuni wa school enzi zile nilikuwa nakula ugali mkubwa + maharage yenye wadudu, siyo hawa 'wapuuzi' wa leo wanakula chipsi + kuku shuleni halafu wanajiita wahuni.
Wazee wa kazi tulikuwa tunakula 'ndumu' vibaya mno, yet tunagonga division 1 & 2 za ukweli. Pale Tambaza,Tabora Boys,Mirambo,Mzumbe,Ilboru,Sengerema,Geita,Bwiru,Mara Sec, Musoma Tech, Iyunga, Mkwawa, n.k wahuni wengi walipita pale ndo walifika Universities na leo ni Watendaji waandamizi serikalini. Lakini leo dent mpuuzi mpuuzi anajiita mtuni halafu ufaulu wake mkubwa ni division 4.
Wahuni wa skonga enzi za 90s tulikuwa tunapenda miziki yenye message, siyo wahuni wa leo wanasikiliza wabana pua e.g akina Diamond, Harmonizer, etc wanaoimba nyimbo za kijinga kijinga e.g UNO na upuuzi mwingine. Sisi enzi zetu tulikuwa tunasikiliza 'mawe' ya akina Bob Marley,Lucky Dube,2Pac Shakur, Notorious B.I.G 'Big Popa' , Coolio, Wu-Tang Clan, Dr.Dre, Quuen Latifah, Mary J. Bridge, Miss Eliot, MC Light (huyu mdada nunda alikuwa na hip-hop kali sana). Hapa Bongo tulikuwa na akina GWM(Gangsters With Matatizo), Sos B (alikuja kuwa mtangazaji pale Radio One), Mr. 2 Sugu, na wakali wengineo. Hip- hop naipenda hadi leo maana mara nyingi ina message na inagusa maisha halisi ya watu, no room fo mapenzi, no room kujipendekeza kwa watawala, no room for kubana pua.
I wish I stay in the shadows of the 1990s for eternity.
Sisi wahuni wa zamani mashuleni ndo TULIKUWA WAHUNI KWELI, achana na hivi vihuni mayai mayai vya .com !
Mhuni wa school enzi zile nilikuwa nakula ugali mkubwa + maharage yenye wadudu, siyo hawa 'wapuuzi' wa leo wanakula chipsi + kuku shuleni halafu wanajiita wahuni.
Wazee wa kazi tulikuwa tunakula 'ndumu' vibaya mno, yet tunagonga division 1 & 2 za ukweli. Pale Tambaza,Tabora Boys,Mirambo,Mzumbe,Ilboru,Sengerema,Geita,Bwiru,Mara Sec, Musoma Tech, Iyunga, Mkwawa, n.k wahuni wengi walipita pale ndo walifika Universities na leo ni Watendaji waandamizi serikalini. Lakini leo dent mpuuzi mpuuzi anajiita mtuni halafu ufaulu wake mkubwa ni division 4.
Wahuni wa skonga enzi za 90s tulikuwa tunapenda miziki yenye message, siyo wahuni wa leo wanasikiliza wabana pua e.g akina Diamond, Harmonizer, etc wanaoimba nyimbo za kijinga kijinga e.g UNO na upuuzi mwingine. Sisi enzi zetu tulikuwa tunasikiliza 'mawe' ya akina Bob Marley,Lucky Dube,2Pac Shakur, Notorious B.I.G 'Big Popa' , Coolio, Wu-Tang Clan, Dr.Dre, Quuen Latifah, Mary J. Bridge, Miss Eliot, MC Light (huyu mdada nunda alikuwa na hip-hop kali sana). Hapa Bongo tulikuwa na akina GWM(Gangsters With Matatizo), Sos B (alikuja kuwa mtangazaji pale Radio One), Mr. 2 Sugu, na wakali wengineo. Hip- hop naipenda hadi leo maana mara nyingi ina message na inagusa maisha halisi ya watu, no room fo mapenzi, no room kujipendekeza kwa watawala, no room for kubana pua.
I wish I stay in the shadows of the 1990s for eternity.
Walikua wanaitwa magagweNakumbuka sana wahuni wa enzi zetu wakitokea enz hiz hawa madogo watazani ni majambaz sugu