matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Wanavaa tusuruali hatufiki chini.
Hawavai soksi.
Kuimba vinyimbo vya kikekike
Enzi zetu (90s na early 2000s)
Uhuni ni kuvaa suruali inaitwa pisto. Hizi walivaa masteringi wa movie za Kachina na makachero wa mossad miaka ya themanini
Uhuni kunyanyua vyuma.
Hata hizi wanazovaa waheshimiwa suruali zisizo na marinda zilikuwa Uhuni.
Sasa Hawa vijana siku hizi wanavaa suruali za kipumbavu. Hizi Enzi zetu walivaa mabibi wa kichina kwenye movie.
Nimepita kijiwe cha shule flani hapa wavulana wa shule wahuni wote wameedit visuruali wapowapo tu, nimetsmani kuwalamba makofi wote.
Mkuu unakumbuka nini kuhusu Uhuni wa zamani ukilinganisha na Hawa wa kisasa.
Hawavai soksi.
Kuimba vinyimbo vya kikekike
Enzi zetu (90s na early 2000s)
Uhuni ni kuvaa suruali inaitwa pisto. Hizi walivaa masteringi wa movie za Kachina na makachero wa mossad miaka ya themanini
Uhuni kunyanyua vyuma.
Hata hizi wanazovaa waheshimiwa suruali zisizo na marinda zilikuwa Uhuni.
Sasa Hawa vijana siku hizi wanavaa suruali za kipumbavu. Hizi Enzi zetu walivaa mabibi wa kichina kwenye movie.
Nimepita kijiwe cha shule flani hapa wavulana wa shule wahuni wote wameedit visuruali wapowapo tu, nimetsmani kuwalamba makofi wote.
Mkuu unakumbuka nini kuhusu Uhuni wa zamani ukilinganisha na Hawa wa kisasa.