UBONGO WA MWANADAMU (Maswali matano ya kufikiria kuhusu uwepo wa Mungu)

UBONGO WA MWANADAMU (Maswali matano ya kufikiria kuhusu uwepo wa Mungu)

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
Screenshot_20241011_160457_Audiomack.jpg


Salamu kwa nyote mnaosoma uzi huu.

Baada ya kufikiria kwa kina basi haya ni maswali yangu matano kuhusu ubongo wa binadamu.

Swali 1: Kama binadamu amegundua computer, na haya mambo yote tunayoyaona kuhusu teknolojia, Je ni kitu gani kitakuja kuvumbuliwa na binadamu ambacho kitashinda uwezo wa ubongo wa binadamu ?

Swali 2: Je, ni kweli au si kweli kwamba ubongo wa binadamu ndio chanzo cha uhai wa mwanadamu ? Mimi sio daktari lakini nilisikia kwamba kuna uwezekano kwamba viungo vyote vya mwanadamu vikizima ubongo ndio unakuwa kiungo cha mwisho kuzima na hapo ndio madaktari wanatoa declaration kwamba huyu amekufa.

Swali 3: Ubongo wa binadamu ndio umegundua sayansi zote kama ile sayansi ya kutuma darubini kubwa kushinda zote kwenye space inayoweza kuona vitu vilivyo kuwa mbali kwenye ulimwengu kwa bilions light years, Je kwanini mwanadamu mpaka leo ameshindwa kuwa na jibu la uhakika kuhusu chanzo cha ulimwengu ? Je tuamini ni kati ya IMANI na SAYANSI.

Tuanze kwanza na maswali haya, nitaendelea na swali la 4 na 5.

Nawatakia weekend njema na tuzingatie sana lugha rafiki kwenye uzi huu.
 
Humu ndani kuna maada kama hizi zaidi ya 130 hivi hujaona kama ingekua jambo jema kujifunza kwazo?
Maana maada hizo ninyingi zimebeba majibu ya maswali yako yote.
Mimi binafsi nimefundisha humu zaidi ya maada 5 nazote zinajibu maswali yako yote.
 
Kwanza nikutoe tongo tonga kwakukwambia kwamba MUNGU unae taka kumuharalisha wewe kwamsingi wavitabu vile hayupo mungu huyo.
Mungu ambae anatokana nafikra hizi ulizo nazo zakudhani kunasehemu yupo anapanga mipango yake,amestarehe kwenye kiti kirefu!
Anatoa baraka kwawatu na anatoa amri yabaadhi yawatu watolewe roho! MUNGU huyo hayupo,hajawahi kuwepo hatotokea kuwepo.
Kwasababu kustarehe,kutolewa roho,kuchomwa moto mkali,kuwekwa msalabani na kuzikwa siku ya3 kufufuka,wanawake 72 musa kupasua bahari n.k.
Hivi vitu nihadithi zakusadika lakini vitu hivyo havipo.
Umelithi nawe utalithissha pia.
Ukweli ni 1 nandio UKWELI👈👈
 
Kwanza nikutoe tongo tonga kwakukwambia kwamba MUNGU unae taka kumuharalisha wewe kwamsingi wavitabu vile hayupo mungu huyo.
Mungu ambae anatokana nafikra hizi ulizo nazo zakudhani kunasehemu yupo anapanga mipango yake,amestarehe kwenye kiti kirefu!
Anatoa baraka kwawatu na anatoa amri yabaadhi yawatu watolewe roho! MUNGU huyo hayupo,hajawahi kuwepo hatotokea kuwepo.
Kwasababu kustarehe,kutolewa roho,kuchomwa moto mkali,kuwekwa msalabani na kuzikwa siku ya3 kufufuka,wanawake 72 musa kupasua bahari n.k.
Hivi vitu nihadithi zakusadika lakini vitu hivyo havipo.
Umelithi nawe utalithissha pia.
Ukweli ni 1 nandio UKWELI👈👈
👆👆👆👆
 
Kwanza nikutoe tongo tonga kwakukwambia kwamba MUNGU unae taka kumuharalisha wewe kwamsingi wavitabu vile hayupo mungu huyo.
Mungu ambae anatokana nafikra hizi ulizo nazo zakudhani kunasehemu yupo anapanga mipango yake,amestarehe kwenye kiti kirefu!
Anatoa baraka kwawatu na anatoa amri yabaadhi yawatu watolewe roho! MUNGU huyo hayupo,hajawahi kuwepo hatotokea kuwepo.
Kwasababu kustarehe,kutolewa roho,kuchomwa moto mkali,kuwekwa msalabani na kuzikwa siku ya3 kufufuka,wanawake 72 musa kupasua bahari n.k.
Hivi vitu nihadithi zakusadika lakini vitu hivyo havipo.
Umelithi nawe utalithissha pia.
Ukweli ni 1 nandio UKWELI👈👈
Sasa ukweli ni upi mkuu ?
 
Maswali rahisi sana. Najibu hili kwanza.
(1) Ili kitu kimzidi akili ya aliekivumbua inabidi hicho kitu kiwe na akili yake na kiwe na uwezo wa kuvumbua vingine ambapo kupitia huo uvumbuzi ndio itaonekana yupi amezidiwa.Mfano Computer inategemea akili ya binadamu kufanya kazi. Je binadamu anaweza kuumba kitu chenye akili ?
 
Back
Top Bottom