Kile kiplastiki kinafunguka ukizungusha kinazunguka kutoka kulia kwenda kushoto ila kama hujui ndio unaumia kisu au spana kama fundi makanikaNa siku hizi uki badilisha gas ule mtungi kwa juu wame weka kifuniko kigumu kukitoa sijui ndo wana taka tutumie visu tufe haraka[emoji81][emoji81]
Bodaboda atakayeniletea mtungi ndio huyu atanifungulia iko kifuniko
Hakina madhara kinafunguka tu hata kwa mikono.Haina madhara?
Nadhani zinaitwa burner, na kuna page niliona insta wanauza burner nzuri, bei ilikuwa kama 20k hivi, wanasema haziweki kutu
Hivi kwa Tanzania kuna kesi ngapi za moto wa gesi kwa mwaka ?
Picha mkuuSijui ni mimi tu ndio naona hili au kuna wapo wengine mmeona hivi vichuma vya kufungua na kufunga gesi kabla ya kuwasha kwenye mitungi midogo.
Sivijui jina lake kwa kingereza au kiswahili wee elewa ivo tu nilivoandika.
Ubora wa hivi vichuma nina mashaka nao kama uko sahihi na sijui pia kama hapa nchini pia vipo vinatengenezwa
Labda mimi nanunua vya bei ndogo lakini kama vipo vya bei kubwa ambavyo ni vizuri zaidi wadau kama mpo tujuzeni.
Lakini kwa majiko hatari kama ya gesi suala kutengeneza vitu feki ni hatari sana kwamba eti utachagua cha bei ndogo ili usave bajeti.
Mi naomba serikali ijaribu kuangalia haya majiko na ubora wake.Shirika la viwango tanzania Tbs lijaribu kufuatilia haya majiko hasahasa hivi vichuma.
Mitungi iko imara sana hofu yangu ni hivi vichuma jamani tusicheze na majiko ya gesi tusilete masihara kabisa. Juzi kuna mtu kaleta uzi hapa kuna familia ya watu 4 imepoteza maisha kwa haya majiko.
Kuna vitu vya kununua feki vya bei rahisi au vizuri vya bei kubwa lkn sio kwa haya majiko.Ni sawasawa na kuziba pancha tairi la ndege.
Au unaenda dukani kununua tairi feki la gari unasema nasave bajeti.
Kumbe vipo hadi vya elf 5 hii hatari mbona.ubora ni pesa yako tu. vipo vya tshs. 5,000/- havimalizi miezi sita vinakuwa vishaharibika na kuanza kuvujisha gesi na vipo vya elfu 15 ndo mwisho wa matatizo. wewe ulinunua cha tshs ngapi?
Si unajua tena Mchina anatuwezeaga sana.Kumbe vipo hadi vya elf 5 hii hatari mbona.
Duh kuna watu mnatumia gas mpaka leo? Kwanini msitumie umeme asee?
Si unajua tena Mchina anatuwezeaga sana.
Vingi ni feki unakuta madogo K/koo wamevimwaga kwenye beseni wanauza, ukweli ni hatariUnachosema ni kweli. Muhimu kuwa karibu na wale wauzaji.. hao ndo wanajua kipi kizuri kipi cha kawaida.
Hiki ndo cha tshs 5,000 huwa ndani ya miezi sita hivi kinakuwa kimeshachoka utakuta kinavujisha gesiSijui kama inaonekana vizuri.
Picha mkuu
Gas ni very cheap tofauti na umeme.Duh kuna watu mnatumia gas mpaka leo? Kwanini msitumie umeme asee?
ikabidi akimbie nje kuita watu, tukatoa jiko nje, tukalifunika na sufuria ndipo likazimaKweli aisee juzi kati kuna binti wa kazi akati anazima gesi kikakatika afu moto ukajiongeza, ikabidi akimbie nje kuita watu, tukatoa jiko nje, tukalifunika na sufuria ndipo likazima, ikabidi kichuma kibadilishwe, vibovu sana hivi vichuma
Kama unazungumzia burner hakikisha isilegee iwe imetight alafu ukishaitumia ukiona imekuwa nyeusi ibadilishe maana baada ya hapo itashika kutu alafu itatoboka.Sijui ni mimi tu ndio naona hili au kuna wapo wengine mmeona hivi vichuma vya kufungua na kufunga gesi kabla ya kuwasha kwenye mitungi midogo.
Sivijui jina lake kwa kingereza au kiswahili wee elewa ivo tu nilivoandika.
Ubora wa hivi vichuma nina mashaka nao kama uko sahihi na sijui pia kama hapa nchini pia vipo vinatengenezwa
Labda mimi nanunua vya bei ndogo lakini kama vipo vya bei kubwa ambavyo ni vizuri zaidi wadau kama mpo tujuzeni.
Lakini kwa majiko hatari kama ya gesi suala kutengeneza vitu feki ni hatari sana kwamba eti utachagua cha bei ndogo ili usave bajeti.
Mi naomba serikali ijaribu kuangalia haya majiko na ubora wake.Shirika la viwango tanzania Tbs lijaribu kufuatilia haya majiko hasahasa hivi vichuma.
Mitungi iko imara sana hofu yangu ni hivi vichuma jamani tusicheze na majiko ya gesi tusilete masihara kabisa. Juzi kuna mtu kaleta uzi hapa kuna familia ya watu 4 imepoteza maisha kwa haya majiko.
Kuna vitu vya kununua feki vya bei rahisi au vizuri vya bei kubwa lkn sio kwa haya majiko.Ni sawasawa na kuziba pancha tairi la ndege.
Au unaenda dukani kununua tairi feki la gari unasema nasave bajeti.
OkayGas ni very cheap tofauti na umeme.
Hadi nilijikata na kisu kukitoa aiseeNa siku hizi uki badilisha gas ule mtungi kwa juu wame weka kifuniko kigumu kukitoa sijui ndo wana taka tutumie visu tufe haraka[emoji81][emoji81]