chamng'asi
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 215
- 396
Nahitaji Kagari cha mizunguko ya Mjini na Visafari vichache vya mikoani,
Baadhi ya Maeneo nitakayofika yana Rough and Aggressive Roads.
Hiki kisuzuki kina cc 1300 na kipo juu kiasi kwamba kinaweza kuhimili hizo mbilinge.
Shida ni kwamba siwajui sana Suzuki kwenye ishu za Changamoto na Ubora,
Tafadhali Wajuvi wa Hizi mambo hebu nielimisheni kidogo Ama namna gani Wajameni.
Baadhi ya Maeneo nitakayofika yana Rough and Aggressive Roads.
Hiki kisuzuki kina cc 1300 na kipo juu kiasi kwamba kinaweza kuhimili hizo mbilinge.
Shida ni kwamba siwajui sana Suzuki kwenye ishu za Changamoto na Ubora,
Tafadhali Wajuvi wa Hizi mambo hebu nielimisheni kidogo Ama namna gani Wajameni.