sasa we umesoma cjui muccobs,ubora wa ud utaujulia wap mkuu?tanzania kuna vyuo vkuu viwil,ud na sua,atleast mzumbe,udom,ifm,muhas na ardhi nao wanafanya vzr!hvo vlvobaki haijulikan kama ni vyuo au secondary,hutaki chukua bango uandamane..Nairobi university na makerere ndo the best in EA asikudanganye m2,UDSM zamani
inamana St. Joseph ni ya waliofel? Kwamba hakuna wenye dvshn one, two or three zao za A level? Eti we ndo msomi, mentor, guider wa walio chini yako! Dah kweli Schooling is nothing as it makes ppo more stupid as hosptalz makes patient mor ck!ok,piga msuli wa nguvu,ufaulu vzr ili nawe ubahatike kukanyaga udsm,otherwise st joseph patakuhusu.
we ni case mojawapo ya m2 kusoma na kuzid kuwa mjinga na mpumbavusasa we umesoma cjui muccobs,ubora wa ud utaujulia wap mkuu?tanzania kuna vyuo vkuu viwil,ud na sua,atleast mzumbe,udom,ifm,muhas na ardhi nao wanafanya vzr!hvo vlvobaki haijulikan kama ni vyuo au secondary,hutaki chukua bango uandamane..
mbona maneno mengi unamaanisha udom na udsm ni sawa?Jaman wenzangu wa Udsm hivi mnafikir elimu inayotolewa hapa inalingana na ile ya miaka ya nyuma?elimu imechakachuliwa tz nzima siku hzi,hapa udsm mm mwenyewe naona madhaifu chungu nzima basi tu watu sisi si wakweli.na ictoshe nawaona vilaza weng tu hapa udsm wanafunikwa na wale wacovilaza.chuo kama st.joseph wanatoa elimu bora kwakuangalia uwezo binafs wa mwnfnz mmoja mmoja kuhusu walmu wao sisi hatujui coz vyuo vingne navyo ni vyakimadharia tu ktk ufaulu wake.halaf hata huyu ****** jmk,si nikilaza wa Udsm na wana ccm wengne?judge urself kama kweli kuwa tu ifm,udsm nk kulitosha wengne wasiwe vilaza?kwan pale ifm c2mewahsikia wanaofanyiwa mitihan?nini sifa ya kujiunga pale ifm,mum na SAUT?Kwann Udom pekee,2ache unafiki watz ndo maana hatuendelei.
kacheze kiduku..Mh!!ngojeni nami niingie chuo ndo ntaweza kuongea
kwann usiende kule kwa akina Lizzy uchangie.Hii thread siipendi kuna mtu kila siku anairudisha front..crap!
habari ndo hiyo.ok,piga msuli wa nguvu,ufaulu vzr ili nawe ubahatike kukanyaga udsm,otherwise st joseph patakuhusu.
kama unaongelea majengo meupe yenye kung'aa basi udom ni bora E.A,lakin ukiconsider knowledge na ubora wa maticha,ud ni wakari,angalia ubora wa vyuo vikuu,UD ni ya 13, Sua tisini na zaid hakuna chuo kingine,kwa mantik hiyo ata dunia inakikubari chuo hiki.UDSM is th best in East Africa kwa vigezo vipi jamani? get serious mnapenda mpaka mnasahau ukweli,its th best coz @kina miaka mingi@wanaenroll madent wengi kuliko facility za madarasa na hostel,tuweke wazi tujue
shangaa ji2 limesoma cjui muccobs au huko st joseph linakiponda.....kama unaongelea majengo meupe yenye kung'aa basi udom ni bora E.A,lakin ukiconsider knowledge na ubora wa maticha,ud ni wakari,angalia ubora wa vyuo vikuu,UD ni ya 13, Sua tisini na zaid hakuna chuo kingine,kwa mantik hiyo ata dunia inakikubari chuo hiki.
kwi kwi kwi,naona hasira zako za kushindwa kufika udsm umeamua kuniletea mie...wasalimie muccobs.we ni case mojawapo ya m2 kusoma na kuzid kuwa mjinga na mpumbavu
sasa naona unanzid kwa vjembe na mipasho cjui ndo mnachofundshwa hapo mliman,nway 2takutana kwenye soko la ajirakwi kwi kwi,naona hasira zako za kushindwa kufika udsm umeamua kuniletea mie...wasalimie muccobs.
hehehehehehe, mkuu unaua bendi banaa! Hahahah,eti muccobskwi kwi kwi,naona hasira zako za kushindwa kufika udsm umeamua kuniletea mie...wasalimie muccobs.
UDOM ni chuo cha vilaza hatasikumoja huwezi kuta mtu mwenye div one ya ukweli akapangwa UDOM.Kule wanaenda wajinga ili waje kuwa makada wa CCM Tu.st joseph napo wizi mtupu hamna chochote si lolote.Chuo chenye hadhi na heshima Tanzania Ni UDSM peke yake.Pia hata kwenye interview huwa wanafukuzwaga kama jibwa koko.
usiogope,udsm the best varsity in Ea..
sio kweli!tunafanaya kazi na magraduate waliotoka hapo UDSM.... kwa taarifa yako.. ni wavivu.. wazembe.... kujieleza hawajui..... hawajiamini.... wanaviburi et kisa tu wametoka hicho chuo.. . kifupi sio wachapa kazi wazuri.. 24 hrs huwaza migomo tu.