Ubora wa degree za UDOM na St Joseph

Ubora wa degree za UDOM na St Joseph

vyuo hivi serikali inapotoka havina viwango tusiharakishe kwa kupata wasomi fake,St.joseph waalim fake last yr kulikuwa na doctorate moja tena kaondoka...nyingine ni principal hao wengine wahind wana masters za kuunga taarifa zilifika had kwa pinda ihakuna ufatiliaj..engineer alisoma EGM si utan,udom siasa wapi tunakwenda

Ndugu yangu unapopewa akili tumia kwa hekima na sio kuwadharau wengine. Ni kwel udsm ni cha pili kwa ubora east africa lakini tujue kilianzia chini kwa iyo tusijikweze na kuwadharau wenzetu hawatajisikia vizuri
 
Udom kinapaswa kutoa Certificate, hakina hadhi hata ya kutoa Diploma. Samahani kama nitawakwaza wana udom.
 
Udom kinapaswa kutoa Certificate, hakina hadhi hata ya kutoa Diploma. Samahani kama nitawakwaza wana udom.
Kwa upande wangu nakusamehe bure kwa kua hujui ufanyalo!.Japo si mwana UDOM!
 
Kwa upande wangu nakusamehe bure kwa kua hujui ufanyalo!.Japo si mwana UDOM!

mwenyewe ingawa co mwana udom bt nimemsamehe kwa niaba ya wana udom ambao hawamo humu jf.over
 
Sijui mmemuelewa mtoa mada? Anazungumzia st joseph na udom. Ngoja niwape siri, watanzania wengi hawaijui. St joseph hakuna chuo pale, nchi inaibiwa. Kama una ndugu yako anataka kwenda mwambie aache kabisa. Tatizo sisi tunathamini sana ngozi nyeupe, wale wahindi wote matapeli wana elimu za ku unga unga na hawana vigezo kabisa. Wanafunzi wamejaziwa syllabus, units 5 kwa semister na ratiba ngumu kila siku darasani for 8hrs tena kwa kuitwa majina utadhani primary! Mbaya zaidi mitihani lukuki jst to kip them busy wasiweze ku mobilize. Chuo hakina facilities, hata website tu ya chuo hakuna. Internet hakuna, ada juu 1.75m per yr, michango kibao nje ya ada pia usahishaji mbovu wa mitihani. Mwenye mwandiko mzuri na anae remba ndo anafaulu bila kujali utumbo alioandika, upendeleo kwa wasichana uliopita kiasi wakiandika namba ya mtihani tu washafaulu ! Jamaa ni mafia, wanatumia kigezo cha dini kuficha makucha, wanahonga bahasha nacte, usalama wa taifa, tcu, bodi na wizarani, wanatumia vyombo vya habari kujitangaza na mabango mtaani. Kuna kipindi waliweka bango posta likionesha chuo chao kina jengo zuri sana la ghorofa 4 wakati halikuwepo! Na bado, nchi italiwa mpaka basi !
 
Kaka tunakushukuru kwa kutufumbua macho,maana rahaa ya ngoma uicheze mwonyewe kumbe hizi sifa tunazo sikia ni biznec,ila kaka vipi kuhusu technical fitness wako poa kidogo nikimaanisha wahitimu wa pale st joseph???
 
Elimu inayotolewa leo katika vyuo vyetu vikuu vingi vilivyoibuka kama uyoga ni janga kubwa la kitaifa kesho. Hayo yasemwayo kuhusu UDOM na St. Joseph ni kielelezo tu. Na sasa nasikia baadhi ya vyuo vikuu nchini wanataka kuanzisha Masters by coursework tu bila thesis yenye research component !! Hii ni balaa jingine. Maana yake ni kuwa sasa chuo kikuu ni sawa na sekondari: Unafundishwa kama toto, unatungiwa mitihani, unafaulu hata kwa kuibia, halafu unapata Masters !! Watazalishwa wapi watafiti ?
 
Elimu inayotolewa leo katika vyuo vyetu vikuu vingi vilivyoibuka kama uyoga ni janga kubwa la kitaifa kesho. Hayo yasemwayo kuhusu UDOM na St. Joseph ni kielelezo tu. Na sasa nasikia baadhi ya vyuo vikuu nchini wanataka kuanzisha Masters by coursework tu bila thesis yenye research component !! Hii ni balaa jingine. Maana yake ni kuwa sasa chuo kikuu ni sawa na sekondari: Unafundishwa kama toto, unatungiwa mitihani, unafaulu hata kwa kuibia, halafu unapata Masters !! Watazalishwa wapi watafiti ?
hey kaka Share ungeandika source ya taarifa yako maana bila ya hivyo kila mtu anauwezo wa kukurupuka na kuandika lolote lile.
 
Udom hakuna shule pale. Kozi nyingi hawasomi kwa muda muafaka. Wanategemea waalimu wengi kutoka vyuo vingine. Kuna mzee namfahamu aliitwa last semister kufundisha computer. Alitumia only two weeks, hapo kuna Elimu? Siasa tupu.
 
Jamani fist yr mnaenda udom pateni hii, chuo kikubwa hamna ki2 elimu uchwara 2, mtatoka shalo na chadema 2kishika nchi 2taangalia uwezo co history mtajijua hii ndo rai yangu kwa manyoya wote wa udom
 
huelew lipi?ni kwamba NACTE wamesajili st.joseph bila kufatilia ubora wao hata wakienda kukagua wana toa taarifa kabla ya kwenda,hakuna facilities za kutoa degree na mazingira mabovu..balaa ukifatilia elimu za walim wao wengi si nzuri..UDOM serikali wanaendesha kisiasa watu hawasomi vile inavyotakiwa

chuo kikuu kinasajiliwa na TCU si NACTE
 
"fact fight for itself"
hakuna chuo bora bongo viko vyenye nafuu tu,tofautisha chuo kipya na chenye muda.kama wewe ni critical thinker huwezi kulinganisha udsm chenye miaka zaidi 30 na st.john chenye less than 5 years. Rudia chekechea inaelekea hujapitia ndio maana una mere discussion.

hakuna Udsm yenye miaka 30.
 
Wa2 walosoma oxford au havard hawanaga dharau kwa wenzao lakn m2 kusoma mzumbe,iaa,sua na kwngne ndo anakuja kumkashfu m2 wa udom na st joseph,hamuwatendei haki hao jamaa.
 
Wa2 walosoma oxford au havard hawanaga dharau kwa wenzao lakn m2 kusoma mzumbe,iaa,sua na kwngne ndo anakuja kumkashfu m2 wa udom na st joseph,hamuwatendei haki hao jamaa.

Sio hawawatendei haki pia inaonesha hao wa wanaohoji ubora wakati hawakusoma hapo wanaumwa funza wa ubongo, nyonyo kanyonya kwenzako af we unasema eti maziwa yake mabaya!si ubwege huu!post kama hizi zilishadiliwa humu ndani mpaka kero!watu wanajaza server tu!kwan mtu wa UDOM au St Joseph alokosa kazi kisa kasoma hapo???mbona vjana kibao wa vyuo vyenu vilivyotukuka wanabugi tu ramani huku mtaani!!!UKIENDA CHUO SOMA!ACHA KWENDA CLUB UKAFELI AF USINGIZIE CHUO!

NAWASILISHA!!!!!!!!
 
wewe sawa na Teofilo kisanji University.
bado hujakua wewe unaropoka tu kisa umepata pa kuropokea kama unadis Teku au any institution na fikra zako changa unapoteza nin kwa wanaosoma huko na utapata nin wakisoma hapo ulipo..utawaua na njaa wanao kwa mawazo ulio nayo fikiria kwa kichwa na sio kwa moyo.
 
Back
Top Bottom